Murano
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 2,056
- 1,102
In addition.. sio mbaya tukapost kazi zetu humu huku tukipeana ushauri wa jinsi game inavyokwenda maana nowdays watu wameamisha mziki wa bongo fleva kwenda south na naija so tufanyaje ili tuutambulishe mziki wetu badala ya sampling za mbele?
tuweke vionjo gani vya kuutambulisha muziki wetu? marimba,ngoma,Miruzi, ama nini? tuendeleeni kuchangia ili hii thread yetu idumu wakuu ama nini? Cc Kram Billz magnifico okaoni KRISTIAN P shyja Kifimboplayer big-diamond eliasmushi
tuweke vionjo gani vya kuutambulisha muziki wetu? marimba,ngoma,Miruzi, ama nini? tuendeleeni kuchangia ili hii thread yetu idumu wakuu ama nini? Cc Kram Billz magnifico okaoni KRISTIAN P shyja Kifimboplayer big-diamond eliasmushi