Tujihoji: Kwanini sakata la Loliondo huwa linaibuka tunapokuwa na marais wanaokuwa wanatokea Zanzibar? Je, ni sababu ya vinasaba vya Oman?

Tujihoji: Kwanini sakata la Loliondo huwa linaibuka tunapokuwa na marais wanaokuwa wanatokea Zanzibar? Je, ni sababu ya vinasaba vya Oman?

Hii Katoliki mnapenda sana kuitumia ili ku justify ujinga wenu, better write your shit without mentioning that.

Unatetea ujinga.. upendo, neema, sijui na nini wakati wamasai wanaumizwa kule Loliondo usiku hawalali?

Stop this nonsense!.
Kama wewe ni Mpagani shauri yako, tuache tunaoamini Mungu tuendelee
 
Logically, semantically and grammatically there is huge difference between push through and push around.
Of course there is a difference; but you're completely missing the meaning intended in that statement you have quoted.
 
Loliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.

Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.

Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.

Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.

Watu wa Oman wana mkono?
Huyu mama ni mtoto wa mzee ruksa wa nje ya ndoa ambaye wajomba zake ni waarabu wa Oman, jiongeze
 
Hajaoa huko?
Hicho ni kinasaba tayari.

EeeenHeeee Heee!
Huwezi kuwa na vinasaba na mkeo bali watoto wenu ndio watakuwa na vinasaba vyenu kama wazazi hivyo ukisema Hussein Mwinyi ana vinasaba vya uarabu ni sawa kwani mama yake ana vinasaba vya uarabu.
Lakini sio sahihi kusema mzee Mwinyi ana vinasaba vya uarabu.
 
Hajaoa huko?
Hicho ni kinasaba tayari.

EeeenHeeee Heee!
Vinasaba mnarithishana kwa kuzaliwa kuanzia Babu,Bibi,Mama,Baba,Dada,Kaka hadi kwa watoto na wajukuu.Sasa mzee Mwinyi hawezi kuwa vinasaba vinavyolingani maana hawana uhusiano wa kindugu wa aina yoyote.
Kumbuka mzee Mwinyi alizaliwa Mkuranga na kwenye ukoo wao hawana uhusiano wa kindugu na waarabu hata kidogo bali yeye ndio alioa chotara wa kiarabu huko Zanzibar.
 
Huwezi kuwa na vinasaba na mkeo bali watoto wenu ndio watakuwa na vinasaba vyenu kama wazazi hivyo ukisema Hussein Mwinyi ana vinasaba vya uarabu ni sawa kwani mama yake ana vinasaba vya uarabu.
Lakini sio sahihi kusema mzee Mwinyi ana vinasaba vya uarabu.
Mkuu 'Chifu Sonze', kibiolojia ninakuelewa unachosema hapa; lakini elewa maana pana inayozungumziwa hapa.
Kuna watu akili zao zote zinanyofolewa na kuwekwa za wake/waume zao kiasi kwamba inakuwa hata zaidi ya 'vinasaba' unavyozungumzia wewe.
 
Loliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.

Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.

Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.

Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.

Watu wa Oman wana mkono?
Mambo mengi ya Tanganyika huwa yanazorota sana kukiwa na viongozi wakuuu wanaotokea visiwani. Uswahili mtupu.
 
Loliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.

Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.

Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.

Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.

Watu wa Oman wana mkono?
Kwani waliopewa Loliondo ni wa Oman au UAE?
 
Back
Top Bottom