Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Victor Lindelof toka benfica kuja Man U,cjui kama ata improve yule jamaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata mm nilitaka nimtaje huyu mtuThomas Vermaleen, Barcelona
- KANA -
Berbatov hapanaBarbetov-----------------> Man Utd
Depay----------------------> ManUtd
HLeb>>>>>>>>>>>>> Barcelona
Silvester ------------------> Arsenal
Sent using Jamii Forums mobile app
Nna_scrow chini ili nitype naona na umeniwahi.Pogba Man u
Djemba djemba alisajiliwa km kiungo muhimu kabisa mbadala wa Paul scholes,tatizo alishinikizwa ili apate number asikubali kuitwa ktk team yake Taifa,jambo ambalo nilikuwa gumu kwake. Ferguson alishindwa kumpa nafasi kwa sababu akiitwa team ya Taifa ataacha pengo km angeaminiwa..Tangu hapo fergie hajawaamini tena wachezaji kutoka Africa. Mabadiliko yaliyofanywa na Caf yatawapa ahueni ya kuaminiwa wachezaji kutoka nchi zetu.. !!Djemba djemba man u..huyu jamaa alikuwa garasaaa ikafikia hatua SAF kutowaamini ma black tena
Falcao------>Chelsea
Falcao-------> man U
Chamakh-----> Arsenal
Sarah --------> Chelsea
Torres --------->Chelsea
Benteke --------> Liverpool
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew mpira haujui kabsaSong kutoka Arsenal kwenda Man U.
Falcao kutoka Man utd kuja Chelsea.
Bila kusahau OKWI alipotoka uarabuni kuja Yanga.
Morata siwezi kumlaumu naamini akipata muda wa kucheza zaidi ata improve. Naomba asifananishwe na wachazaji wengine hivyo mimi sioni kama ni muda muafaka kumlaumu.
Niulizwe swali..
Mkuu nilikosea siyo man utd. Ni Barca typing errorWew mpira haujui kabsa
Song hajawah kwenda man utd
Falcao hakutokea man utd Bali Monaco ndo akaenda Chelsea man utd Alikua kwamkopo tu
sent from my Nokia kidole juu (mshindi) using jamiiforums Mobile app