Daahh mkuu unanikumbusha mbali sanaPia kuna ule mtego wa ungo, au upo wa manila mnazifunga vitanzi, au ule wa mti wa kukamatia nguruwepori
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaa ulikuwa unajificha wewe baba anakuja kukutafta si ndioMe nakumbuka kimama mamaaa
Kumbe umeanza zamani enh?Me nakumbuka kimama mamaaa
Yeah hvyo hvyo
Zamaniii sanaKumbe umeanza zamani enh?
Yeah hvyo hvyo
Ngoja nije kuona uzoefu wakoc[emoji2] [emoji2] [emoji2]Zamaniii sana
Hahaaaa hiyo tambia mbaya sanaMe ninachokumbuka ni kufunga nyasi kipindi cha mvua kutega walimu waanguke na wanaocheza mpira
Sent from my iPhone using JamiiForums
Una bahati hatukukua pamoja. Lazima ningekumama tuZamaniii sana
Naomba kuwasilisha nafasi ya baba....[emoji12] [emoji12]Me nakumbuka kimama mamaaa
[emoji14][emoji13][emoji126]Naomba kuwasilisha nafasi ya baba....[emoji12] [emoji12]
Enzi zako ulim mama nani?Una bahati hatukukua pamoja. Lazima ningekumama tu
Mkuu huo mchezo kwenye picha ya pili unaitwaje kwa lugha yenu? Sisi tunaita mgabo
Wengi asee. Nilikuwa bingwa wa kuwahi michuchu mikaliEnzi zako ulim mama nani?
Daah umenikumbusha mbali sanaMe ninachokumbuka ni kufunga nyasi kipindi cha mvua kutega walimu waanguke na wanaocheza mpira
Sent from my iPhone using JamiiForums