Tujikumbishe kidogo maisha ya vijijini

Tujikumbishe kidogo maisha ya vijijini

GUI1

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2017
Posts
4,007
Reaction score
5,290
Je umesha wahi kutengeneza mtego kama huu?
Wale walio zaliwa mjini hawata elewa kitu hapa
IMG_20181231_093050.jpg
IMG_20181231_093029.jpg
IMG_20181231_093034.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo unafunga vijiti viwili na kuweka mpira katikati yake. Kisha unaweka kijiti cha tatu nyuma kidogo katikati ambapo mpira unauvutia hapo na kamba yake. Unatengeneza kama "V" hivi. Kwenye angle ndio utabania kamba na ndipo utakapojificha kamba itakapoishia.

Hapo katikati au ndani kwenye "V" unamwaga nafaka za kuwavutia ndege. Wakitua tu kula nafaka unavuta kamba mpira unajifyatua unaenda kuwaokota.

Pia kuna ule mtego wa ungo, au upo wa manila mnazifunga vitanzi, au ule wa mti wa kukamatia nguruwepori

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom