Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Status
Not open for further replies.

He teh teh teh teh! Yaani nyie wasafwa mnapeana majina yyt bila kujali asili yake?
Hii ndio naskia leo! Yaani SOMJI MALEKANI! teh teh teh teh teh!
Basi kama skosei mtoto wa baba yako mdogo anaitwa CHAVDA UFALANSA!
teh teh teh teh!
Waambie wazee wako kuwa mara nyingi tabia za mtoto zina kawaida ya kufanana na Jina lake!
Sasa si unaona kama wewe!
Tabia yako imechanganyika ya kihindi na ki safwa! Matokeo yake unatokwa mapovu ovyo ovyo!

We mi nakushauri badili jina haraka kabla hujakosa mchumba!
 


sioni mantiki ya kunijadili ubinafsi wangu.!

Naanza kuhisi una mapungufu ya akili,tulikua tuna discuss hii thread,ukataka kujua mambo yangu binafsi nimeshakwambia sasa turudi kwenye mada unaishia kunitukana.!

Kama majina yana akisi tabia basi nahisi wewe unaitwa matatizo..
 



Barkat Al Eid, Al Akhiy Faby.

Insha Allah, shukran zoote za haki zimfikie Mola wetu mtukufu,anayetujaalia karima hizi na kutusaidia pumzi yake hii tukufu tuvutayo kila sekunde;ili kuwajibu kiduchu na kuwafunua macho hawa "jamaa zetu"!

Wala usitaharuki Al Akhiy,kwa hayo matusi,kashfa na karaha zao zilozagaa takriban kwenye kila thread humu Jf... nasi tutakwenda nao hivihivi mpaka wacheue! Kwi ! Kw! Kwi!

Kwa sasa hivi;wameanzisha hata childish tactic ya kuwaomba hao jamaa zao Mods wawafungulie mpaka thread/s nyingine kadhaa tena za miaka ya nyuma/zilipendwa!?....ama kwa hakika wana shughuli ilo pevu mno! Kwi! Kwi! Kwi!

Kama wanataka/wataleta mijadala ya hishma na staha;sisi tutayari mno maana ndo dasturi na makuzi yetu...la' wanataka makhanatha na tashtit basi "inatulazim" twende nao kihivyohivyo! Kwi! Kwi! Kwi!

Ma'salaam!

Ahsanta.
 


Dr Kahtaan

Salaam zilo nyingi zikufikie Maulana!

Yaani,tayari umeshaanza kunivunja mbavu! Kwi! Kwi! Kwi!

Kumbe huyo punda wa Somji ni kabila hilo!? Kwi! Kwi! Kwi!...

Nilikhis tu kutokana na fedhuli zake lazim atakuwa ndo kati ya walewale makanjanja alotuletea/kutuachia yule Nyerere na kutuambia ati hao ndo "wasomi"!? Kwi! Kwi! Kwi!

Unajua punde tu huyo punda wa Somji,katoka kuniachia matusi na kashfa kwenye thread ya upuuzi fulani wa "vita ya Uganda"...ati "amegundua" yakuwa mimi lazim ni wa kutoka Uganda sababu ati Kiswahili changu ni kibovu mno, naye hakukipenda!? Kwi! Kwi! Kwi!

Kipata fursa embu muulize Al Akhiy;hiyo picha aloweka kwenye hiyo avatar ni ya kwake!? Mbona kapendeza mno kuliko hao Waswafa/Wasafa wengine niwajuao!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.
 

Teh teh teh teh !
Al habiib gombesugu wallah wanivunja mbavu huku!
Mtoto wa somji hakuwahi kuadhiniwa huyu!
Hawa ndio wale vizazi vya bahati mbaya! Sasa kalaaniwa toka jina lake mpaka maneno yake!
Teh teh teh teh!

Angelijua kiswahili safi mzazi wake angemwita SOMJI JUMA MALEKANI???
Teh teh teh teh teh! Kwi kwi kwi kwi!

Majina yao hawa kama mitishamba!
😀😀😀😀
 
Last edited by a moderator:
Huyu Bi Mkubwa Bibi Titi alifanyiwa fitna nyingi sana watu wanakaririshwa uongo mwingi kuhusu Bibi Titi.
Hapa chini soma kidogo kisha cha ugomvi wa Nyerere na Bibi Titi.
 
Mujitahid faby,

Hebu soma hizi bayana za Bi mkubwa hapa chini.

 
Last edited by a moderator:
 

Al habib gombesugu hii bayana yako hapa tosha kabisa! Mi sitii neno hata moja!
Ahsanta kutupa darasa ghali! Yafaa watu wakulipe kwa hizi data lkn kwa uungwana wako unawapa wagalatia darsa buure!!

Shukran maalim!
 
Last edited by a moderator:
Sikiliza wewe Somji wa Chadema, mnadhani haya matusi yenu kwa Waislam yanaisaidia Chadema au yanaobomoa Chadema?

Endeleni mtakuta na Waislam kwenye uchaguzi ulivyokuwa hauna akili wewe ni Verified user tena umevaa t-shirt ya Chadema halafu unatukana Waislam.

Nyie ndiyo mtakaompa wakati mgumu Dr.W.Slaa. mbele ya jamii ya Kiislam wakati wa uchaguzi.
 
Last edited by a moderator:
Maulana gombesugu,

If people display bad character towards us, it should not make us drop our good character as a result....teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Huyu Bi Mkubwa Bibi Titi alifanyiwa fitna nyingi sana watu wanakaririshwa uongo mwingi kuhusu Bibi Titi.

Hapa chini soma kidogo kisha cha ugomvi wa Nyerere na Bibi Titi.



Shariff Ritz,

Salaam Al Akhiy.

Yaani hawa wabwasha hawana hoja wala wajuacho...yaani wao kutwa kucha shughuli zao ni kashfa na chuki za kidini!?

Watajuaje hawa history ya nchi hiyo au harakati za uhuru wetu!?...

Hata hao Wazungu wao wanaowathamini;mambo na khabar zoote walizoandika kuhusu history ya nchi hiyo ilibidi wakhadithiwe/wasimuliwe na walewale Wazee Wetu na ndugu zetu ambao leo hii hawa mabwasha ati wanathubutu kufunua vinywa vyao vichafu kuwatukana!

Duh! Yaani hawa jamaa hawajui kabisa maana ya Fadhila wal Ihsan!

Sasa hivi woote wameingia mitini...mbona hawaleti hizo "history" zao za kutunga hapa!?

Yaani hata wale Wazungu/"wavumbuzi" wao...wanawajua hao jamaa yakuwa ni "watupu".

Wajiulize katika ya hao Wazungu wao/"Historians" wanaowathamini wao...ina maana woote waliamua tu nao kutunga history za kizushi zenye kuonyesha na kuthamini mchango/harakati adimu za Waislam kwenye nchi hiyo,tena huku wakijua kabisa yakuwa kuna Wakristo wenzao ati ndo waliokua wamepigania huo "uhuru"!?

Yaani kama ni hivyo;basi hata yule Nyerere wao "mtakatifu" nae alikua na khitilaf za maarifa. Maana yeye ndo alokua kinara kutwa kucha "kusifia" na kukhadith mchango adimu wa Waislam kwenye ukombozi wa nchi hiyo na kwake mwenyewe binafsi....japo pembeni alikua akiamrisha waporwe mali zao na kufungwa!?

Kwanini sasa huyo Nyerere,hakuona hiyo michango ya Makasisi wa Huko Peramiho na kuitaja hadharani!?

Inajulikana wazi kihistoria yakuwa;Makasisi wa Peramiho na Viongozi wengine mbalimbali wa Makanisa mengine walikua wao wakivinjari tu na Wakoloni/mabwana zao wa kizungu...huku yule Nyerere akitaabika kwa dhiki na shida bega kwa bega na Wazee wetu.

Kama kweli huko mikoani/makanisani ndo kulikua na mapesa mengi mno na makanisa yalikua ati pia yalikua "yakijali" harakati za kuleta uhuru;hivi ingefikia kweli yule Nyerere asaidiwe mpaka,just a single bed to put his head!?

Chakula alikua hana kabisa na wanae,mpaka afuate Wazee Wetu pale sokoni ndo akafungiwe kitoweo na madikodiko mengine!

Hata baiskeli/usafiri pia mpaka ililazim itoke huruma na michango ya Wazee wetu!!

Sasa hayo mapesa ya mikoani na makanisani yalikua wapi wakti huo!?...huku mwenzao tena "mkristo mwenzao mtiifu" akitaabika na kusaidiwa na Waislamu/"watubaki", wapuuzi wasiojua hata kusoma,wacheza bao na wenye mabusha kama mnavyodai humu mtandaoni!?

Ahsanta sana
 
Somji wa Chadema wewe tena unalalamika umetukanwa hebu jisome unavyomkashifu Bibi Titi...

acha umbumbu wewe..Ni sawa na kutaka chadema wamuenzi Juliana Shonza ...
Jisome tena hapa chini matusi yako.
Halafu Yericko anatuita sisi wadini kwa sababu tunajibu ujinga wenu wa udini.
 
naona wazee wa madrasa wanatamba kwi kwi kwi
salaams gombesugu salaams sharifff salaams mr GOAT
me siku hizi sio sana kumechafuka sana hapa jamvini matusi ndio ada na sisi wanafunzi wa madassa haya kwetu ni haram lakini hawa jamaa wataelewa tu twende nao taratibu
samahani kwa uchechefu wangu huu
AHSANTA
CC: J . SINDE WArIOBA A.K.A MZEE WA KATIBA
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…