Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Status
Not open for further replies.
Somji wa Chadema wewe tena unalalamika umetukanwa hebu jisome unavyomkashifu Bibi Titi...


Jisome tena hapa chini matusi yako.

Halafu Yericko anatuita sisi wadini kwa sababu tunajibu ujinga wenu wa udini.

Teh teh teh shariff Ritz naona SOMJI JUMA MALEKANI kaenda kuomba msaada kwa mtoto wa baba yake mkubwa aitwae CHAVDA BAKARI UFALANSA !
teh teh teh teh !

Hii kabila ya kifwalia nuksi!! Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh shariff Ritz naona SOMJI JUMA MALEKANI kaenda kuomba msaada kwa mtoto wa baba yake mkubwa aitwae CHAVDA BAKARI UFALANSA !
teh teh teh teh !

Hii kabila ya kifwalia nuksi!! Teh teh teh teh!
Dr. kahtaan,

Somji bahi, yeye ni Verified halafu anatuka Waislam.

Ngoja tumsubiri.
 
Last edited by a moderator:

Dr kahtaan, achana na huyo mwafilombe hasiyejua hata kwanini baba yake akamuhita Somji tehe tehe tehe!

Hawana hoja hao wapuuzi! Waende skuli kwanza wakasome na sio kuleta blah blah
 
Last edited by a moderator:
hivi zawadi inayofaa iwe kumbukumbu kwa mwanasiasa lazima iwe barabara?
 
hivi zawadi inayofaa iwe kumbukumbu kwa mwanasiasa lazima iwe barabara?
Hapana mashule yetu, vyuo vyetu vinatakiwa visomeshe historia yetu watu wawafahamu hawa wazee mashujaa waliopigania uhuru kila mmoja kwa nafasi yake.
 
Ni wapi nilikosema ni lazima iwe barabara?
hujakosea ila nataka kujua maana ndo naona wanasiasa wanaenziwa kwa majina ya barabara.
je zawadi za kumbukumbu ndo barabara tu?
 
Halafu MFUMO KRISTO ULIVYO NUKSI HATA WANA HISTORIA WA KIISALMU PIA WANAFUTWA KTK KUMBUKUMBU TARATIIIBU!
mnfnssssssssss!

Mna laana nyie wagalatia?
 

Kamanda Ben ,nilikisoma twice hicho kitabu online .Upuuzi wa TISS ulianza toka enzi ya Nyerere.
Dentetion without trial etc,kama ulikuwa na tofauti kimawazo na Nyerere.
Bwana Ludovick ameandika vizuri kwa ufasaha!Yaliyomkuta ni shocking

History ya akina Kambona,Mapalala,Katanga Tumbo,Chief Fundikara,Chief Makwaia yote imemezwa !Vijana wa sasa hawajui lolote kuhusu Tanganyika.
 

cwezi nkaogopa kutoa mawazo yangu binafsi eti kisa nimevaa t-shirt ya chadema..
 
cwezi nkaogopa kutoa mawazo yangu binafsi eti kisa nimevaa t-shirt ya chadema..

We mtoto wa bahati mbaya! Siku ukitiwa mkononi na hao waislamu unao watukana ndipo utajua athari ya kuchanganya damu ya kihindi na kisafwa!
Hivi wewe una akili timamu.kweli?
We unatukana waislamu wakati wewe ni VERIFY USER??
Mi nadhani unatumia kiungo kingine kufikiri lkn sio kichwa.!!
 
cwezi nkaogopa kutoa mawazo yangu binafsi eti kisa nimevaa t-shirt ya chadema..

Teh teh teh! Somji Juma unajua haya majina ya kupewa yameponza wengi sana!?

Kuna jamaa kamdhalilisha kijinsia jamaa mmoja! Humu humu jf (jina namuhifadhi)

Halafu huyo jamaa mbakaji anajiita juma kama wewe!

Watu wakadhani muislamu, kumpa kibano kasema yeye ni mgalatia km wewe!

Sasa mi nakushauri hebu badili jina lako!
Unatuharibia dini namna hii!
 
Last edited by a moderator:
Mengi yameongelewa kwenye uzi huu, lakini swala la udini linatoka wapi watanzania wenzangu. Hivi hatuwezi kujadili maada bila kuweka udini? nifikiri ni wakati sasa watanzania tufikiri na tufanye mambo yetu kama watanzania na si kama waislamu na wakristo. Mbona ulaya na marekani katika utaifa wao hakuna udini? suala la dini linabaki kuwa issue ya mtu binafsi

Tujiulize, kwa utaratibu huu tunajenga tanzania ipi kwa miaka kumi ijayo.

Tafakari lifanyie kazi jambo hili
 
Jmii forum sio Home of Great thinker tena,watu munajadili nje ya mada huku ukijitetea bila kuimamia ukweli
 

Mkuu hii thread ukisoma kichwa cha habari tu utaona kuwa muanzilishi ana lengo moja tu! Kuonyesha ubaya wa mwislamu bi titi mohamed!
Na ukiangalia hakuna ushahidi wowote wa hakika alio uambatanisha na maneno haya!
Na mwisho anataka wenye kujua zaidi wamjuze!!!!!!!!

Sasa usishangae kuona waungwana wanao fahamu historia halisi kumtetea yule mama ambae ni mmoja wa watu walioteseka ktk kuutafuta uhuru wa nchi yetu!
Na huu ndio ukweli.
 


Dr Kahtaan,


Mie nilikua napita tu kuangalia kama kuna "uchafu" wowote ulioachwa ili nifagie...lakini naona umeshamaliza shughuli yoote wewe mwenyewe,na kuwaachia "vumbi"!? Duh! Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.

Cc;Hasanalis
 


Dr Kahtaan,


Mie nilikua napita tu kuangalia kama kuna "uchafu" wowote ulioachwa ili nifagie...lakini naona umeshamaliza shughuli yoote wewe mwenyewe,na kuwaachia "vumbi"!? Duh! Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.

Cc;Hasanalis

Al akhiy gombesugu hawa bila fagio la chuma hawendi hawa!
Teh teh teh teh!

Eid al mubarak ya alkhiy l kareeem!
 
Last edited by a moderator:
Kama historia yako unayotaka kutupa sio ile ya Mohammed Said na wahafidhina wenzie tuko tayari kuisikia, lakini kama ndio hiyo hiyo kaa nayo tu tushaisoma sana na haina jipya zaidi ya propaganda za kidini tu....

Asigwa,
Mimi kawaida yangu mtu akinitaja basi nami hutimiza ustaarabu wa
nami kumkirimu kwa kumtaja.

Je, una historia ya TANU zaidi ya hiyo niliyoandika mimi?
Ikiwa ipo inayoghitilafiana na hii yangu tufahamishe tuisome tufaidike.

Ikiwa wewe unaiona ni ''propaganda,'' catalogue za wenzetu historia
yangu wameipa jina, ''corrective,'' yaani inasahihisha hiyo ya uongo.


The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924- 1968)
The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism
in Tanganyika, Minerva Press London 1998

 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…