Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Status
Not open for further replies.
Mbona walimpa heshima ya barabara kama ni mhaini?
Huntsman, alikuja kutubu na kuomba radhi, akasamehewa...Mwalimu alikuwa na huruma sana. Yupo pia waziri aliwahi kutinga getini Ikulu na familia yake yote akibubujikwa machozi baada ya kutimuliwa. Mwalimu aliwaonea huruma mama na watoto (moja kabebwa mgongoni!) akampa uenyekiti wa Kampuni ya Umma. Lakini yote tisa, babukubwa ni ile ya baba mzima kutembelea magoti akimlilia Mwalimu asimtimue baada ya kuvurunda mambo!

Halafu kuna vijana wanashabikia porojo na hadithi za kijinga wanazosimuliwa na wachochezi...ushauri, please keep that pandora box closed, dont ever ever try to open it! Mods, naomba hii mada ikiwezekana ifungwe kwani kuna mambo yanafaa yakae huko huko yalikozikwa...wengi wa vijana wanaojitahidi kuchangia ni wazi nyakati hizo hata wazazi wao hawakujua kuna siku watakutana, hili ni ombi tu...am out.

cc Moderator
 
Last edited by a moderator:
Naendelea kusoma kitabu cha The Dark Side of Nyerere.Kitabu hiki kilipigwa marufuku Nchini.Lakini iliniongezea kiu kukisoma

Hadi Muda Huu Kambona amesahaulika kwenye Historia.Ipo siku atarudi kwenye Historia ya Nchi hii.

Nilitegemea Barack Obama Road iwe Kambona Road au Shanty Town Moshi iwe Oscar Kambona Streat.Osterbay iitwe Oscar Kambona Streat.Taifa haliwezi kurithi maadui wa mtu mmoja.Ni ujinga na Uzuzu.Ni laana.Tutende haki

Ben umeandika na Ume Conclude kwa Maneno ya Hekma na Mujarrab sana, NENO zito sana 'Taifa haliwezi kurithi Maadui wa Mtu Mmoja' nadhan wenye Uelewa wamekuelewa, niruhusu niwafafanulie wasioelewa'.... Sio kila Adui wa Nyerere ni Adui wa Taifa...', Naomba kufahamishwe hicho kitabu naweza kukipata wapi?
 
Huntsman, alikuja kutubu na kuomba radhi, akasamehewa...Mwalimu alikuwa na huruma sana. Yupo pia waziri aliwahi kutinga getini Ikulu na familia yake yote akibubujikwa machozi baada ya kutimuliwa. Mwalimu aliwaonea huruma mama na watoto (moja kabebwa mgongoni!) akampa uenyekiti wa Kampuni ya Umma. Lakini yote tisa, babukubwa ni ile ya baba mzima kutembelea magoti akimlilia Mwalimu asimtimue baada ya kuvurunda mambo!

Halafu kuna vijana wanashabikia porojo na hadithi za kijinga wanazosimuliwa na wachochezi...ushauri, please keep that pandora box closed, dont ever ever try to open it! Mods, naomba hii mada ikiwezekana ifungwe kwani kuna mambo yanafaa yakae huko huko yalikozikwa...wengi wa vijana wanaojitahidi kuchangia ni wazi nyakati hizo hata wazazi wao hawakujua kuna siku watakutana, hili ni ombi tu...am out.

cc Moderator

Unaelewa kuwa 1997 (siku hiyo hiyo) wakati tunaleta Mwili wa Oscar Kambona hapa nchini kutokea Uingereza alikofia Nyerere alipanda Ndege masaa machache kabla mwili haujawasili akaenda Butiama kujificha kwa Guilt Concious alokuwa nayo?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, kwa hiyo ni nini ilikuwa sababu au madai ya msingi ya jaribio hilo la mapinduzi...Ungeelezea hicho kipengele kwenye insha yako ili ilete mantiki kwa wanajf....
 
kwi kwi kwiii! Akina Tayeb, Ritz, FaizaFoxy na kahtaan! Kumbe unawajua

Nyerere alikuwa smart sana kuliko hawa mujahedeen , many times over......niliwahi waambia Nyerere alikuwa njia, ubongo na kila kitu kwa Tanganyaika na Tanzania.

Bibi Titi alikuwa chakula mjini km wengine..ila Nyerere alimhitaji sana kuwakusanya akina mama wa Kiislam..ndio maana hadi leo wanawake wajingawajinga wapo kwa vile mama zao wajingawajinga walipata nafasi za bure na kuwarithisha.....Nyerere aliona bora kuwachapa viboko kuliko waachia hawa magaidi wakajenge kambi ya shida.

Hata haoa kina sykes sijui na nani....Nyerere aliwawatibulia ugaidi wao km Israeli anavyochelewesha Iran kupata silaja kwa kuweka uchafu ktk vinu , kuweka virusu ktk computer na kugereverse issue ilimradi basi.Ili wawe busy na ushirikina wakidhani wamelogwa.

Nyerere kuna mara alitumia mchawi mpe mtoto ,,,,,mara nyingine aliwatokea ghfla na kuwachapa maswali wasiyotegemea hadi wakapoteza mistari wanayomzeshwa kwa ajili ya ubishi km wanavyokariri ya Biblia wakshidnane na wakristu...

Huyo ni bibi titi na kawawa wake, ambao ndio best ktk waislama waliokuwa wanataka Tanganyika waislam waliokuwa wanataka uhuru.....sijui itakuweje wengine ambao ndio waliofikia weka mashrti ,bila hivyo wasingeingia kuongeza idadi aliyotaka nyerere ili kuweza wakabili UN kuwapa watanganyika uhuru wao.

Leo hii wapo busy kuwa sijui uislam , sijui sykes, sijui nini na nini.........Hawa uazao wa binamu nyama ya hamu ....hawana ubongo wa kuchagua pande sahihi wa ya historia kitu chohcote duniani..Watapiga kelele san aila wakikaa watakubaliana na mimi.
 
Mbona walimpa heshima ya barabara kama ni mhaini?

kinamama kilikuwa taabu...NYERERE MUNGU AMWEKE PEMA... aliwajuwa sana hawa wanywa gahawa.Walikuwa busy kugombea rushwa za mzungu....km walivyorithishana hadi leo simba na yanga, ushuru wa masoko, misikiti kupinduliwa..hawakuwa na haja ya uhuru....walikuwa wakitaka bure ya mzungu, East Africa Muslim Welfare, kuchinja kwa Wakristu a kupiga ramli..

Bibi titi alikuw ana vikao kibao, leo katumwa na wanaojiita waislam wakipanga mpindua Nyerere, wakaimkaririsha mistari m ili yao ya ubishi, akifika kwa Nyerere ynakuwa uchafu yote na kujikuta akitakiwa eleza vikao vilikuwa vya nini.Hii ndio ilikuwa tabi aya waislam enzi ya uhuru...

Ndio wali mblack maila Nyerere hadi akaamua taifisha mashule ili kukata kiu n atamaa ya hawa jamaa wanaopenda issue zote za kubeba ndizi zilisvurugike kwa sababua ya uhuru.
 
Mkuu, kwa hiyo ni nini ilikuwa sababu au madai ya msingi ya jaribio hilo la mapinduzi...Ungeelezea hicho kipengele kwenye insha yako ili ilete mantiki kwa wanajf....

huw ahawajui haswa....ilimradi linaweza zungushwa ktk dini, likaitwa haki ya wenye dini,na linaweza kuwa ni dai linalorudiarudia.
 
Humo kwenye hicho kitabu utakutana na Sheakh Yahya Hussein katika sura yake halisi.
Ila kisome kwa tahadhari sana.................yaani za kuambiwa changanya na zako.

Yahaya yeee heeeee......X4....a.k.John(Yohane) Mpiga Ramli..yohane asiye mbatizaji........hawa huwa wana historia zao ambazo kuzisoma unahitaji kila nyenzo ili uweze zielewa, halafu aukimaliza unakutana na wenzio wote wakiw ana tafsiri tofauti.
 
Naendelea kusoma kitabu cha The Dark Side of Nyerere.Kitabu hiki kilipigwa marufuku Nchini.Lakini iliniongezea kiu kukisoma

Hadi Muda Huu Kambona amesahaulika kwenye Historia.Ipo siku atarudi kwenye Historia ya Nchi hii.

Nilitegemea Barack Obama Road iwe Kambona Road au Shanty Town Moshi iwe Oscar Kambona Streat.Osterbay iitwe Oscar Kambona Streat.Taifa haliwezi kurithi maadui wa mtu mmoja.Ni ujinga na Uzuzu.Ni laana.Tutende haki

Ben umeiweka unfairly...hii issue..sijui kwanini unapendea mini sana historia za kitanzania na version zake....ni disturbing sana..Mimi nitaandika yangu one day dhidi ya ..Huu ushujaa wa Sheikh Mohamed Mkwawa, fundikiras ,Milambo, Sheikh Kinjekitile, na Abushir .......na wauza watumwa wengine tunaoaambiwa kuwa ni mashujaa.km tunavyoweza ambiwa Saidi Mwema, JK, etc kuwa wana uongozi wakutukuka kwa vile wenye dini wapo tayari kwa lolote ilimradi tuu hawajamaa waandikwe vyema....

Ben unasahau kambona alikuwa ni proxy ya Mataifa ya magahribi waliposhindwa muelewa Nyerere anaelekea wapi.Mbaya zaidi Kambona alikuwa akiwa na maugugu ambayo baadae asingeweza yahandle km Nyerere....NI Kambona mwenyewe ndiye aliyeji position vibaya ktk historia..na hiakuw atena salama kumwandika...kwani ingebidi ukimwandika usiache mabaya na usiache mazuri..mwishowe .....mujahideen km akina Ritz ,mohamed saidi au Kambona Mwenyewe wangekuja fadhili chochote kiandikwe ch akuwafagilia na kwa vile watakuwa na jina sio baya basi wangeamua endelea mshambulia mwingine kwa kalamu.


Ben hata ukiwa mzuri vipi kuharibu legacy na kugeuka enemy of the people ni seconds.....ukishakuwa kiongozi ujue kulinda heshima yako ni gharama na ngumu kuliko kuipata.Bahati mbaya kambona hakuwa na huo uwezo.haijalishi uwezo wa Nyerere,ila trend ya Africa miaka ile Nyerere ili ni mapinduzi y akijinga ya kulinda masters tuu..Sidhani km Kambona alikuwa na Jipya.

Vipi Bashir Al Assad ......?
 
Sikilizeni nyinyi vijana wa juzi halafu wavivu wa kusoma, kwa taarifa yenu nyerere ni mkosefu wa fadhila na mzee mshenzi hajawahi kutokea na hatatokea mzandiki kama yeye..wafuatao ndo walimkaribisha nyerere ndani ya mji huu na ndio wenye mchango mkubwa katika kuleta uhuru, abdulwahid sykes, aziz dossa, ally sykes, hassan bin ameir, john rupia,mshume kiate, suleiman takadiri, bibi titi mohammed, na kwa ufupi waislam ndo walichangia sana, na nyerere alikiri hilo wakati anawaaga wazee wa dsm mwaka 85, watu hata hamujui hotuba aliyotoa siku hiyo kazi yenu kuropoka tu...wazandiki nyie...nyere aliwatenga wote hao kwa ukosefu wa fadhila zaidi aliwatia kizuizini...kwa kuwasaidia nendeni mkasome kitabu cha mohammed said "maisha na nyakati za abdulwahid sykes" mtafaidika...
 
Mohammed said...nakuomba uje uwaele weshe vijana hawa...you are most learned person of our history.
 
Kambona hana ata shule

Kambona alikuwa mjinga sana..aliwafanyia kazi akina Skykes, sewa haji, Bibi Titi, kawawa..na wengine wanaoendelea dai matund aya uhuru.....tuwalulize akina Ritz nchi ilisilimishwaje....sasa hivi kuchinja ni waislam hata wsichotakiwa kula, wakristu kuporwa vitu ili waislam wavifaidi, rukswa waislam kuwasingizi wakristu kila kitu il si wkaristu kudai ukweli, Historia ya Tanzania imeandikwa kwa mitizamo ya kiislam...huku wakigeuza wapiga uhuru, wauza watumwa, wauaji wa wamissionary ...etc kupew amjina mazuri, kuficha yale yao ya kiislam iliw aonekane waafrica safi..halfu baadaye kutumika km ngazi ya waislam kudai uislam ulishiriki kudai uhuru.


Kambona hakujua alichokuwa kaifanya..angeishia kuwa km kamuzu banda....angeishia kuachia magaidi na hii nchi leo ingekuwa km somalia.Kwa hata km wameloose, wale aliowasaidia akidhani walikwua na malengo sawa ya kisiasa wenzie walikuwa na ya kidini.
 
Mohammed said...nakuomba uje uwaele weshe vijana hawa...you are most learned person of our history.

mohamed said hawezi rudi hapa kuna majina akiyaona anasepa.Yericko alimtoa nishai humu..akaanza daia kuhadithia na hawao wanaojidai kuwa victims..ambao wanalamishwa kuwa mashujaa zaidi ya hata wenyewe anavyoweza tamani na wapenda miradhi.....Sijui kwanini ahakumhoji na Nyerere.....


Nyerere alijuwa kuwa wzandiki walikuwa wakitamani san shari dhidi yake akaamua historia yake isiandikwe, kwa maridhiano ya kitaifa.By the way hakuona kwanini ahitajiw akati mengi yanajisema yenyewe.
 
mohamed said hawezi rudi hapa kuna majina akiyaona anasepa.Yericko alimtoa nishai humu..akaanza daia kuhadithia na hawao wanaojidai kuwa victims..ambao wanalamishwa kuwa mashujaa zaidi ya hata wenyewe anavyoweza tamani na wapenda miradhi.....Sijui kwanini ahakumhoji na Nyerere.....


Nyerere alijuwa kuwa wzandiki walikuwa wakitamani san shari dhidi yake akaamua historia yake isiandikwe, kwa maridhiano ya kitaifa.By the way hakuona kwanini ahitajiw akati mengi yanajisema yenyewe.

Nyerere alifuatwa na prof haroub muda mchache kabla ya kifo chake..haroub alimwambia..mwalim watu wawili hujawajibu embu jitahid uwajibu kwa hoja, wa kwanza ni ally muhsin barwani na mwingine ni mohammed said, hapo nyerere alipanga ampe shivji kazi ya kuwajibu..lkn kwa bahati mbaya mpk leo haijaandikwa biography yake..coz hakuna cha kujibu kwenye kitabu cha mohammed said..the best book for history of tanzania.
 
Nyerere alifuatwa na prof haroub muda mchache kabla ya kifo chake..haroub alimwambia..mwalim watu wawili hujawajibu embu jitahid uwajibu kwa hoja, wa kwanza ni ally muhsin barwani na mwingine ni mohammed said, hapo nyerere alipanga ampe shivji kazi ya kuwajibu..lkn kwa bahati mbaya mpk leo haijaandikwa biography yake..coz hakuna cha kujibu kwenye kitabu cha mohammed said..the best book for history of tanzania.

Haroub Othman ni islamist mwingine ambaye alikuwa mhuni tuu aliyejificha chini ya mzungu wa prof...na UDSM enzi ya monopoly yake.Ndie aliyenifanya niichukie, niidharau na kuanza ifuatili UDSM kwa makini.Wao andio waligeuza chuo kuwa cha wapiga debe wa wahalifu wote wa Africa...Nilisikiliza mara moja moja akiohijiwa BBC na waandishi wajinga wenye mchanganyiko wa kijamaa, na kiislam..ambao ni ngumnu san kuona ukweli zaid ya propaganda.Kunazia hapo hadi Leo nasema afike haraka alipo John Mpiga Ramli aliyependa jiita mnajimu mkuua.Kutoka Magomeni.


Wewe unaamini Nyerere alivyoamua kutojibu alikosea....?Kweni Nyerere alikuwa kichwa, kma lizungukwa hadi na maprofessor wajinga wanaoendeshwa na masheikha wasio na shule......hakutaka wapa nafsi ya kuendesha propaganda au lolote la kuwafanya mpate sababua ya kuanzisha uasi na mwishowe muanze badilisha kila sbaabu ilimradi tuu ugaidi ufanyike..Matokeo yake Nyerere akafanikiwa wakata mishipa ya ugaidi ahadia kafa..angeomba nini Tena kwa Mungu.Km ni Legacy yake mejaribu izika bado haizibiki..yeye wala hahitaji sifa zote ila zile kdogo mlizoshindwa zificha zilizowapokonya.Kwani zinatohsa kuwamaliza bado.

prof Haroub othman, Lipumba, Malima,Shivji....ni laana ya nchi...wana abuse sana Ilm Dunia....kweli majinn yana nguvu ya kuwaharibu watu akili.Hata mimi nisingemjibu mbea km haroub Othman..Nyerere alijua nia ya yule kimeo ndio maana akamwacha..kwani Mwajiriwa wa serikali badala ya kutoa elimu alikuwa akihubiri dini....badala ya kufanya tafiiti alikuwa akifanya majungu.

Sas wamefikia wapi..?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom