Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Status
Not open for further replies.
Haroub Othman ni islamist mwingine ambaye alikuwa mhuni tuu aliyejificha chini ya mzungu wa prof...na UDSM enzi ya monopoly yake.Ndie aliyenifanya niichukie, niidharau na kuanza ifuatili UDSM kwa makini.Wao andio waligeuza chuo kuwa cha wapiga debe wa wahalifu wote wa Africa...Nilisikiliza mara moja moja akiohijiwa BBC na waandishi wajinga wenye mchanganyiko wa kijamaa, na kiislam..ambao ni ngumnu san kuona ukweli zaid ya propaganda.Kunazia hapo hadi Leo nasema afike haraka alipo John Mpiga Ramli aliyependa jiita mnajimu mkuua.Kutoka Magomeni.


Wewe unaamini Nyerere alivyoamua kutojibu alikosea....?Kweni Nyerere alikuwa kichwa, kma lizungukwa hadi na maprofessor wajinga wanaoendeshwa na masheikha wasio na shule......hakutaka wapa nafsi ya kuendesha propaganda au lolote la kuwafanya mpate sababua ya kuanzisha uasi na mwishowe muanze badilisha kila sbaabu ilimradi tuu ugaidi ufanyike..Matokeo yake Nyerere akafanikiwa wakata mishipa ya ugaidi ahadia kafa..angeomba nini Tena kwa Mungu.Km ni Legacy yake mejaribu izika bado haizibiki..yeye wala hahitaji sifa zote ila zile kdogo mlizoshindwa zificha zilizowapokonya.Kwani zinatohsa kuwamaliza bado.

prof Haroub othman, Lipumba, Malima,Shivji....ni laana ya nchi...wana abuse sana Ilm Dunia....kweli majinn yana nguvu ya kuwaharibu watu akili.Hata mimi nisingemjibu mbea km haroub Othman..Nyerere alijua nia ya yule kimeo ndio maana akamwacha..kwani Mwajiriwa wa serikali badala ya kutoa elimu alikuwa akihubiri dini....badala ya kufanya tafiiti alikuwa akifanya majungu.

Sas wamefikia wapi..?

Dah nicholaus hapo umeongea pumba tupu..inaonekana kumbe humjui haroub wala humjui shivji..nimeamini humjui uliposema shivji nae mdini...mwanangu we hakuna kitu..pumba..nyamaza tu..uchune..
 
Dah nicholaus hapo umeongea pumba tupu..inaonekana kumbe humjui haroub wala humjui shivji..nimeamini humjui uliposema shivji nae mdini...mwanangu we hakuna kitu..pumba..nyamaza tu..uchune..

Mkuu huyu Nicholas wala usibishane nae la sivyo tafta hedex kabisa atakupasua kichwa,kwanza sasa ivi ana comment wakati bichwa limejaa viroba
 
Last edited by a moderator:
Sikilizeni nyinyi vijana wa juzi halafu wavivu wa kusoma, kwa taarifa yenu nyerere ni mkosefu wa fadhila na mzee mshenzi hajawahi kutokea na hatatokea mzandiki kama yeye..wafuatao ndo walimkaribisha nyerere ndani ya mji huu na ndio wenye mchango mkubwa katika kuleta uhuru, abdulwahid sykes, aziz dossa, ally sykes, hassan bin ameir, john rupia,mshume kiate, suleiman takadiri, bibi titi mohammed, na kwa ufupi waislam ndo walichangia sana, na nyerere alikiri hilo wakati anawaaga wazee wa dsm mwaka 85, watu hata hamujui hotuba aliyotoa siku hiyo kazi yenu kuropoka tu...wazandiki nyie...nyere aliwatenga wote hao kwa ukosefu wa fadhila zaidi aliwatia kizuizini...kwa kuwasaidia nendeni mkasome kitabu cha mohammed said "maisha na nyakati za abdulwahid sykes" mtafaidika...

Hicho kitabu ni kwa elimu ya madrasa.
 
Huntsman, alikuja kutubu na kuomba radhi, akasamehewa...Mwalimu alikuwa na huruma sana. Yupo pia waziri aliwahi kutinga getini Ikulu na familia yake yote akibubujikwa machozi baada ya kutimuliwa. Mwalimu aliwaonea huruma mama na watoto (moja kabebwa mgongoni!) akampa uenyekiti wa Kampuni ya Umma. Lakini yote tisa, babukubwa ni ile ya baba mzima kutembelea magoti akimlilia Mwalimu asimtimue baada ya kuvurunda mambo!

Halafu kuna vijana wanashabikia porojo na hadithi za kijinga wanazosimuliwa na wachochezi...ushauri, please keep that pandora box closed, dont ever ever try to open it! Mods, naomba hii mada ikiwezekana ifungwe kwani kuna mambo yanafaa yakae huko huko yalikozikwa...wengi wa vijana wanaojitahidi kuchangia ni wazi nyakati hizo hata wazazi wao hawakujua kuna siku watakutana, hili ni ombi tu...am out.

cc Moderator
Acha uongo eti alikuja kutubu weka ushahidi, kina Bibi Titi ndiyo waliomsaidia Nyerere na kumpokea TANU mpaka kuwa rais wa Tanganyika.

Hizo ni chuki za Nyerere kwa wenzake waliopigania nao uhuru kina Kambona.

Kama Kambona alikuwa anataka kumpindua Nyerere si angeweza kufanya hivyo wakati wanajeshi wameasi na Kambona alikuwa waziri wa ulinzi ndiyo aliyekwenda kumficha Nyerere huko Kigamboni.
 
Last edited by a moderator:
Kweli dini ili haribu focus ya wa africa insteady kujadili mada ,na mustakabali wataifa mnaongelea midini yenu ya kimapokeo,shame on you guys! pole mleta mada,ndo jf ya sasa hiyo
 
naendelea kusoma kitabu cha the dark side of nyerere.kitabu hiki kilipigwa marufuku nchini.lakini iliniongezea kiu kukisoma

hadi muda huu kambona amesahaulika kwenye historia.ipo siku atarudi kwenye historia ya nchi hii.

Nilitegemea barack obama road iwe kambona road au shanty town moshi iwe oscar kambona streat.osterbay iitwe oscar kambona streat.taifa haliwezi kurithi maadui wa mtu mmoja.ni ujinga na uzuzu.ni laana.tutende haki

acha umbumbu wewe..

Ni sawa na kutaka chadema wamuenzi Juliana Shonza ...
 
Last edited by a moderator:
sikilizeni nyinyi vijana wa juzi halafu wavivu wa kusoma, kwa taarifa yenu nyerere ni mkosefu wa fadhila na mzee mshenzi hajawahi kutokea na hatatokea mzandiki kama yeye..wafuatao ndo walimkaribisha nyerere ndani ya mji huu na ndio wenye mchango mkubwa katika kuleta uhuru, abdulwahid sykes, aziz dossa, ally sykes, hassan bin ameir, john rupia,mshume kiate, suleiman takadiri, bibi titi mohammed, na kwa ufupi waislam ndo walichangia sana, na nyerere alikiri hilo wakati anawaaga wazee wa dsm mwaka 85, watu hata hamujui hotuba aliyotoa siku hiyo kazi yenu kuropoka tu...wazandiki nyie...nyere aliwatenga wote hao kwa ukosefu wa fadhila zaidi aliwatia kizuizini...kwa kuwasaidia nendeni mkasome kitabu cha mohammed said "maisha na nyakati za abdulwahid sykes" mtafaidika...


hao waliomkaribsha nyerere kwenye mji,kwanini wao walikaa mda wote huo bila kupata uhuru mpaka alipokuja nyerere..

Kiukweli waislam mna akili flani hivi za ajabu sana ambazo mnarithishana kizazi hadi kizazi..

Na ndiyo maana mwinyi na kikwete ndo ma-rais wanaosifika kwa kupindisha nchi wakati mkapa na nyerere wanasifika kwa kunyosha nchi..
 
quote_icon.png
By ChiefmTz

Baada ya kufahamiana na Mwalimu alipewa uongozi katika Women Wing ya TANU ambapo alishiriki katika kuhamasisha wanawake kuunga mkono harakati za TANU za kudai uhuru. Hata hivyo kwa mujibu wa Bibi Titi mwenyewe, (Kwa jinsi alivyowahi kuniambia) ni kwamba tofauti za msingi kati yake na Mwalimu zilianza mwaka 1958 ambapo Mwl. alimpeleka, kwa maelezo ya Bibi Titi, Demu wake masomoni Ulaya kwa kutumia Fedha za Umoja wa Wanawake badala ya mwanamke aliyekuwa amendekezwa na Umoja huo. Mwanamke huyo wakati huo alikuwa ni Nesi katika Hopitali mojawapo iliyokuwa mikoa ya kusini.

Japokuwa hakueleza, bayana kwa nini alichukizwa na kitendo kile cha Mwalimu, wadadisi wa mambo wanadai kuwa, chuki hiyo ilitokana na wivu wa kimapenzi kwani inadaiwa kuwa hata Mwalimu na Bibi Titi walikuwa................

Nimeinyofoa hapa : https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ammed-historia-harakati-na-wasifu-wake-2.html

mwalimu nae alikuwa mkware,.
 
Naendelea kusoma kitabu cha The Dark Side of Nyerere.Kitabu hiki kilipigwa marufuku Nchini.Lakini iliniongezea kiu kukisoma

Hadi Muda Huu Kambona amesahaulika kwenye Historia.Ipo siku atarudi kwenye Historia ya Nchi hii.

Nilitegemea Barack Obama Road iwe Kambona Road au Shanty Town Moshi iwe Oscar Kambona Streat.Osterbay iitwe Oscar Kambona Streat.Taifa haliwezi kurithi maadui wa mtu mmoja.Ni ujinga na Uzuzu.Ni laana.Tutende haki

mkuu nisaidie nami nikipate hcho kitabu Ben Saanane
 
Last edited by a moderator:
Huntsman, alikuja kutubu na kuomba radhi, akasamehewa...Mwalimu alikuwa na huruma sana. Yupo pia waziri aliwahi kutinga getini Ikulu na familia yake yote akibubujikwa machozi baada ya kutimuliwa. Mwalimu aliwaonea huruma mama na watoto (moja kabebwa mgongoni!) akampa uenyekiti wa Kampuni ya Umma. Lakini yote tisa, babukubwa ni ile ya baba mzima kutembelea magoti akimlilia Mwalimu asimtimue baada ya kuvurunda mambo!

Halafu kuna vijana wanashabikia porojo na hadithi za kijinga wanazosimuliwa na wachochezi...ushauri, please keep that pandora box closed, dont ever ever try to open it! Mods, naomba hii mada ikiwezekana ifungwe kwani kuna mambo yanafaa yakae huko huko yalikozikwa...wengi wa vijana wanaojitahidi kuchangia ni wazi nyakati hizo hata wazazi wao hawakujua kuna siku watakutana, hili ni ombi tu...am out.

cc Moderator

nawewe unataka kuingia kwenye dhambi yakuzika historia ya nchi
 
Last edited by a moderator:
Acha uongo eti alikuja kutubu weka ushahidi, kina Bibi Titi ndiyo waliomsaidia Nyerere na kumpokea TANU mpaka kuwa rais wa Tanganyika.

Hizo ni chuki za Nyerere kwa wenzake waliopigania nao uhuru kina Kambona.

Kama Kambona alikuwa anataka kumpindua Nyerere si angeweza kufanya hivyo wakati wanajeshi wameasi na Kambona alikuwa waziri wa ulinzi ndiyo aliyekwenda kumficha Nyerere huko Kigamboni.

Kuna watu hawaelimishiki wana ujinga sugu, utajitahidi kuwaelimisha but wenyewe watabaki kukupinga tu. Moja ya sababu iliyomtia hofu kufanya kazi na Kambona ni hii uliyoielezea hapa,, aliishia kuwaza jinsi gani kambona alimudu kuzima mapinduzi yale na SHUKRANI YAKE IKAWA YA PUNDA
 
Sikilizeni nyinyi vijana wa juzi halafu wavivu wa kusoma, kwa taarifa yenu nyerere ni mkosefu wa fadhila na mzee mshenzi hajawahi kutokea na hatatokea mzandiki kama yeye..wafuatao ndo walimkaribisha nyerere ndani ya mji huu na ndio wenye mchango mkubwa katika kuleta uhuru, abdulwahid sykes, aziz dossa, ally sykes, hassan bin ameir, john rupia,mshume kiate, suleiman takadiri, bibi titi mohammed, na kwa ufupi waislam ndo walichangia sana, na nyerere alikiri hilo wakati anawaaga wazee wa dsm mwaka 85, watu hata hamujui hotuba aliyotoa siku hiyo kazi yenu kuropoka tu...wazandiki nyie...nyere aliwatenga wote hao kwa ukosefu wa fadhila zaidi aliwatia kizuizini...kwa kuwasaidia nendeni mkasome kitabu cha mohammed said "maisha na nyakati za abdulwahid sykes" mtafaidika...

hcho kitabu kwenye mtandao kipo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom