Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Status
Not open for further replies.
Maulana Al Tayeb!

Asalaam Alaykum, Al Akhiy.

Wallahi,ndo nachungulia hapa kiduchu naona zile "Zah'ma Wa Min'karadas" ndo zimeshaanza!ahaaa!!

Naona unavyoshusha mipini yako kwa utaratibu!ahahaa!!

Ahsanta.

Walaykum Salam Al Ustaadh gombesugu,

Naam kaka, nashukuru kwa kujaaliwa muda huu kuwa hapa, ili niwape kile wanachokikosa katika yale machache wanayo yafahamu!

Kwa mipini hiyo hapo juu lazima wakae tehe tehe tehe!
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu, mbona tena unaleta khadith za kitoto na kutaka kuiharibu hii thread...jaribu kujitofautisha na hao mbumbumbu wengine!

Mbona hata Waislam unaowataja/unaowashutumu nao pia wanalalama pita kiasi yakuwa hizo mitaa/Barabara takriban zoote wamepewa maluuni wengine tu wasiokua hata na history,asili au hata kujitolea muhanga na hilo jiji au nchi/Taifa letu!?

Unafahamu yakuwa mitaa michache mno hapo D'Salaam hiyo mnayodai ati ina majina ya Waislam; ilipewa majina hayo baada ya msukosuko na lawama nyingi toka kwa Waislam na wapenda haki wengineo hapo nchini!? Hii ilikua khasa kipindi cha Alhaj Hassan Mwinyi na Kitwana Kondo.

Ikumbukwe zaidi,yakuwa hao unaowaona ati ni Waislam... asilan hawakupewa majina ya hiyo mitaa sababu ya Uislam wao...hasha abadan!

Hao walikua ndo Vinara,Wanaharakati,Wafadhili na Wahenga wakuu wa kupigania ukombozi/harakati za kutupatia huo "Uhuru" wetu.

Zaidi ya hilo,takriban woote kati yao hiyo D'salaam/Mzizima ni kwao au ni kwenye asili yao...kwa hiyo hawakuwa ati ni wageni hapo kama wengineo wengi tu!...

Hata hivyo wengi mno kati yao wamesahaulika kwa makusudi kwenye hiyo "Official History" ya nchi hiyo kama alivyoitaka yule Nyerere!

Nafikri pia unashuhudia hata leo wakijaribu kutajwa kiduchu tu humu mitandaoni-Jf na kwingineko,basi hutokea Wajaaluta kadhaa kuwakashifu hao Mashujaa wetu,Wanaharakati na Wakombozi wa huo "Uhuru" wetu!?

Nakhis ni uzuri ifike wakti baadhi ya jamaa zetu wengi mpunguze jazba na mihemuko ya kidini japo kiduchu na kuzipisha hizo Ilm na busara zenu kufanza shugulize japo thuluthi...na hii ni kwa faida yetu soote na Taifa letu changa!

D'salaam,ni mmojawapo wa mikoa michache saana kama sio pekee hapo Tanganyika usokua na ubaguzi kwa watu woote...embu kachungulie huko mikoani kuna mitaa mingapi yenye majina ya watu wenye asili au kutoka D'salaam/Mzizima!?

Nyerere alichukua ile ilokua Independence Avenue nafikiri ndo akaipa jina la yule Mmakonde Terrorist wake...ambae bila ya shaka kama angalikuwapo mpaka leo basi wale washenzi/Politicians wa Western World labda nae pia wangemwita pale Dan Hague/The Hague akajibu charges - Crimes against humanity!? Kwi! Kwi! Kwi!

Kuna wakti nilitoa maoni na sababu/history kiduchu humu Jf,kupinga yule mpuuzi Mwai Kibaki kupewa jina la mmoja wa mitaa/barabara zetu maarufu hapo Mzizima/D'Salaam...matokeo yake nilishambuliwa vibaya mno tena bila hata ya mantik yoyote ile!?

Ahsanta sana.

Mimi nadhani mnapotosha watu sana nyie,harakati za uhuru zilikuwa karibu kila mahari Tanganyika,isipokuwa Dar palikuwa ni kitovu cha harakati hizo,na sababu zipo nyingi sana,na kwa upande wa Dar zilianza kama harakati za Kidini,waislamu ambao ni wengi kwa kipindi na ndio wenye mji wao hawakupendezwa na utawala wa wageni,hivyo basi kila baada ya swala za jion walikusanyika na kupiga story kuhusu tawala hizo na nyingi ya history hizo ni namna gani wataondoa maudhi ya mtawala wa kigeni.
Harakati hizo ziligeuka na kutoka kwenye dini na kuingia kwenye siasa na hili lilikuwa vuguvugu la kila mahari kipindi hicho.
Bahati mbaya sana,kisiasa Mzizima bado haikuwa na watu wenye weredi,hivyo suala la kutafuta watu weredi lilifanyika.
Na uhuru ukapatikana.
Bahati mbaya sana kwa nyie wadini hamtaki kukubali ukweli kwamba vuguvugu za kiislamu ndizo hasa zilileta mambo mabaya sana baada ya uhuru kwa wale waliokuwa na tamaa zao baada ya uhuru,baadhi ya watu hawakukubali kamwe kutokupata vyeo,ingawa ni ukweli ulio wazi Mwl halijumuisha baraza lake la kwanza la mawaziri na watu ambao hawakuwahi kuuona mlango wa shule hii yote kupunguza vurugu,na hali imekuwa hi to mpaka Leo.
Conclusion,ni ukweli mchungu lakin kama Mwl angekuwa na roho za watawala kama wengine Kipindi like Bibi Titi asingeishi na kufika tamati ya maisha yake peacefully.Na ni wazi hulka za binadamu tunatofautiana hivyo basi kutokutamani hata uone maiti ya mtu aliyetaka kukuua kwa ushaid ulio wazi ni jambo linaloweza mtokea mtu yeyote.
Kifupi haya mambo yapo wazi,vitabu vya Mohamed Said ni upande mmoja,na ukumbuke Kuna conflict of interest kwenye vitabu vyake,sababu Ana unasaba na wakina Sykes and likes,na upande wa pili unasema hili.
Hivyo basi nadhani tufike mahari tumeze ukweli mchungu kwamba kwa waislamu ambao ni wengi nchi hii na harakati zao za kidini zilisababisha harakati za kisiasa na uhuru kupatikana,then after ukosefu wao wa elimu hawakuweza kushika nafasi mbambali baada ya uhuru,na Kisha kuanzisha vuguvugu za chini chini zilizoungwa mkono na wachache wagalatia wenye tamaa za madaraka kipindi kile,na kudhibitiwa na mwalimu,limekuwa ni donda sugu kwa kila kizazi cha kiislsmu kilichofuata kila wanaposimuliana na kureview mapito yale,wanahisi walidhulumiwa kitu,na lawama zao zote ni kwa Nyerere na sasa limezuka hilo la mfumo Kristo,kuwakumbusha tu waislamu ,Nyerere hakuwa na kosa lolote,ni nyinyi kosa lenu wenyewe,by 1961,nchi inapata uhuru wenye degree ni watu 12 tu kwenye taifa la watu milion tisa na wote ni wagalatia,mlitaka afanyeje?Go on forget the past my dears.
 
Mwanasiasa umkanye huyu panya buku atakuharibia kanyageni.



Maalim Chamviga,

Asalaam Alaykum,mimi hufurahika kila mara nionapo hizo nondo zako...Mwinyi Al Sahib wangu!

Maneno yako hayana shaka wala dhaka yakhe!...

Umenichekesha pasi kiasi kumwita huyo mjaaluta Nyakageni aka Mkanyageni yakuwa ni Panya-buku! Kwi! Kwi! Kwi!

Na yule mwingine mnywa mbege/mataputapu Mchaga Jambazi... anayejiita jina la Slave Master wake Nicholas! Kwi! Kwi! Kwi!

Hawa takriban woote watu wa Chadema hawana hoja wala hawakusoma kama vile wanavyojifanza na kujinasib humu mitandaoni...wamejawa tu na chuki dhidi ya Uislam/Waislam basi!...

Yaani sasa hivi humu Jf,imekua ni kama trendy vile; Chadema/Mkristo yoyote akishindwa hoja au akijihisi hana mantik,basi atakimbilia kutukana Uislam/Waislam ili apate cheap support ya wapuuzi wenzie!

Hawa kwenye hiyo Chadema/Ukristo wao ni kama mahawara wa kisiasa tu,hawana tafauti yoyote na yule Mama yao wa Kihaya...Josephine Mushumbusi! Kwi! Kwi! Kwi!


Ahsanta.
 
Naendelea kusoma kitabu cha The Dark Side of Nyerere.Kitabu hiki kilipigwa marufuku Nchini.Lakini iliniongezea kiu kukisoma

Hadi Muda Huu Kambona amesahaulika kwenye Historia.Ipo siku atarudi kwenye Historia ya Nchi hii.

Nilitegemea Barack Obama Road iwe Kambona Road au Shanty Town Moshi iwe Oscar Kambona Streat.Osterbay iitwe Oscar Kambona Streat.Taifa haliwezi kurithi maadui wa mtu mmoja.Ni ujinga na Uzuzu.Ni laana.Tutende haki
Kila mtu ana dark side hata wewe pia mkuu, kuna mambo ambayo hutamani tuyajue lakinipo siku tutayajua..ni jambo la muda tu na nafasi, vile vil eunaweza kutumia jina la kambona kwa watoto wako, ni nafasi nzuri kumuenzi sio lazima kila mtu apewe mtaa ndio mchango wake ukubalike
 
Mkuu Ritz pamoja na gombesugu mnamwona mzee wakuharisha Nicholas! Halafu nachoshangaa huyu mgalatia anaingia jf usiku tu,yaani kama changu na mitaa ya ohio

Basi nawewe ni CHANGU tena ulokubuhu maana umeingia saa nane ucku baada ya Nicholas! Hhahahahaa...kweli nyani haoni kundule!

Tatizo lenu ninyi waislam, mkishindwa hoja mnakua na vioja! Maneno meeeengi, facts zero, utendaji zero! Cheki mukulu JK, Mwinyi....tunawapuuza tu shwaain..
 
Last edited by a moderator:
Sikilizeni nyinyi vijana wa juzi halafu wavivu wa kusoma, kwa taarifa yenu nyerere ni mkosefu wa fadhila na mzee mshenzi hajawahi kutokea na hatatokea mzandiki kama yeye..wafuatao ndo walimkaribisha nyerere ndani ya mji huu na ndio wenye mchango mkubwa katika kuleta uhuru, abdulwahid sykes, aziz dossa, ally sykes, hassan bin ameir, john rupia,mshume kiate, suleiman takadiri, bibi titi mohammed, na kwa ufupi waislam ndo walichangia sana, na nyerere alikiri hilo wakati anawaaga wazee wa dsm mwaka 85, watu hata hamujui hotuba aliyotoa siku hiyo kazi yenu kuropoka tu...wazandiki nyie...nyere aliwatenga wote hao kwa ukosefu wa fadhila zaidi aliwatia kizuizini...kwa kuwasaidia nendeni mkasome kitabu cha mohammed said "maisha na nyakati za abdulwahid sykes" mtafaidika...
Wewe inaonekana ni mgeni humu ndani.
Hicho kitabu kilishajadiliwa sana humu zaidi ya miaka miwili na watu wengi tulifaidika kwa kupata taarifa kutoka sehemu mbalimbali......wapo waliokikosoa kwa hoja za maana na wapo waliokiunga mkono kwa hoja vilevile. Nadhani wewe ndio umekosa mengi kuhusu hicho kitabu kwa kuwa umeelemea upande mmoja wa stori.
 
Acha uongo eti alikuja kutubu weka ushahidi, kina Bibi Titi ndiyo waliomsaidia Nyerere na kumpokea TANU mpaka kuwa rais wa Tanganyika.

Hizo ni chuki za Nyerere kwa wenzake waliopigania nao uhuru kina Kambona.

Kama Kambona alikuwa anataka kumpindua Nyerere si angeweza kufanya hivyo wakati wanajeshi wameasi na Kambona alikuwa waziri wa ulinzi ndiyo aliyekwenda kumficha Nyerere huko Kigamboni.

Ritz, nshawahi kujibizana na ww humu. Nilifanya hivyo kutokana na thread zako zisizo na maslahi kwa taifa letu! Ni wazi, members wengi wanakujua kwa upuuzi huu na upo mashuhuri sana hapa jamvini bt ur good for nothing, completely nothing!!

Nayasema haya kwasababu kwa mtanzania mzalendo na mpenda nchi yake kwa dhati kabisa kabisa, huwezi hata kidogo kujaribu kufuta-legancy ya Mwl. Nyerere katika kudai uhuru wa taifa hili! Hao unaowatetea akina bibi titi na wengine, wale walikua hawadai uhuru walikua wanatetea na kudai mambo ya kiislamu wakati mwalimu yeye akipambana kwaajili ya uhuru wa watu wote bila kujali mkristu au muislamu!

Wewe kiumbe umekua ukiutetea san uongozi wa Kikwete na genge lao madarakani, na hii inatupa picha kwamba kwakua umekua ukitetea maslahi na misimamo ya serikali ya Kikwete, nalo hili unalopinga juu ya nyerere ni wazi ni msimamo wa JK na serikali yake maana kama wangekua wanautambua na kuudhamini kazi ilotukuka na ya kipekee ilofanywa na Nyerere, BASI ww kibaraka usingeenda kinyume nao!

Kwa muktadha huu, ni wazi kwamba ww na genge lenu la kidini wakiwemo kina Kikwete mtalitumbikiza taifa hili katika matatizo makubwa ya udini! Maana yooooote haya yanayozungumzwa sio kitu kingine zaidi ya UDINI tu!
 
Tatizo lenu ninyi waislam, mkishindwa hoja mnakua na vioja! Maneno meeeengi, facts zero, utendaji zero! Cheki mukulu JK, Mwinyi....tunawapuuza tu shwaain..




Ndugu yangu huyo Alhaj Mwinyi, kama umeamua kumuona kama ni Muislam tu na sio Rais wako Mstaafu wa Awamu ya Pili...basi una kazi kubwa mno ndani ya ubongo wako!?

Huyo Rais Mwinyi,si ndo alokuja kukutoeni tongotongo za macho na kukufundisheni kuvaa viatu vya maana badala ya kuvaa mipira michakavu ya motokari aka "makatambuga"...au mara hii mmeshasahau!? Kwi! Kwi! Kwi!

Huyo Mkristo mwenzio/mwenzenu unayemsifia Nyerere aka "Mwalimu";si alikuacheni mnatembea makende nje na wengine mkila nyasi kama kondoo na nchi nzima ilikua hoi bin taabani!?

Huo upuuzi woote wa hao Viongozi wachafu,mafisadi na wazandiki ambao ninyi Chadema/Wakristo mnalalamika humu mitandaoni-Jf kila kukicha kama vifaranga vya kuku...hujui yakuwa hiyo ndo mojawapo ya legacy ya yule Mkristo mwenzenu Nyerere!?


Unawezaje kuwalinganisha Marais wa nchi/pahala tena kwa kutumia vigezo vya kidini...khalaf ndo unajiita ati umesoma wewe!?

Kuna mengi ningekwambia/ningekufunza lakini nina shughuli za maana zimenibana hapa kiduchu....

Hizo myth zenu za kipuuzi/za kizamani mlizokua mnadanganywa na kubebwa na yule Nyerere zitakufikisheni pabaya...huna uwezo,nia,mbinu wala dhamira ya kuwadharau Waislam/Uislam...hizo nyakati ni zilipendwa!

Acha ujuvi na makhanatha ya kwenye keyboard!!

Kasome ujifunze...na pia punguza mihemuko na dharau/chuki za kidini!

Ahsanta.
 
Ndugu yangu huyo Alhaj Mwinyi, kama umeamua kumuona kama ni Muislam tu na sio Rais wako Mstaafu wa Awamu ya Pili...basi una kazi kubwa mno ndani ya ubongo wako!?

Huyo Rais Mwinyi,si ndo alokuja kukutoeni tongotongo za macho na kukufundisheni kuvaa viatu vya maana badala ya kuvaa mipira michakavu ya motokari aka "makatambuga"...au mara hii mmeshasahau!? Kwi! Kwi! Kwi!

Huyo Mkristo mwenzio/mwenzenu unayemsifia Nyerere aka "Mwalimu";si alikuacheni mnatembea makende nje na wengine mkila nyasi kama kondoo na nchi nzima ilikua hoi bin taabani!?

Huo upuuzi woote wa hao Viongozi wachafu,mafisadi na wazandiki ambao ninyi Chadema/Wakristo mnalalamika humu mitandaoni-Jf kila kukicha kama vifaranga vya kuku...hujui yakuwa hiyo ndo mojawapo ya legacy ya yule Mkristo mwenzenu Nyerere!?


Unawezaje kuwalinganisha Marais wa nchi/pahala tena kwa kutumia vigezo vya kidini...khalaf ndo unajiita ati umesoma wewe!?

Kuna mengi ningekwambia/ningekufunza lakini nina shughuli za maana zimenibana hapa kiduchu....

Hizo myth zenu za kipuuzi/za kizamani mlizokua mnadanganywa na kubebwa na yule Nyerere zitakufikisheni pabaya...huna uwezo,nia,mbinu wala dhamira ya kuwadharau Waislam/Uislam...hizo nyakati ni zilipendwa!

Acha ujuvi na makhanatha ya kwenye keyboard!!

Kasome ujifunze...na pia punguza mihemuko na dharau/chuki za kidini!

Ahsanta.

Mkuu we kweli mdini namna mnavyomchamba huyo bwana Nalli kuhusu maraisi Mwinyi na Jk,then unageuka na kumchamba Mwl Nyerere,hakika unanipa funzo moja ni ngumu sana kuiondoa imani ya mtu hata kwa mambo yalio wazi kabisa.Haya bana lakini usisahau kupeleka watoto shule,hasa za wagalatia watapata kitu pengine cha kuwasaidia.Msalimie Mohamed Said.Mapambano bado tunayaendeleza.
 
Nyerere alikuwa smart sana kuliko hawa mujahedeen , many times over......niliwahi waambia Nyerere alikuwa njia, ubongo na kila kitu kwa Tanganyaika na Tanzania.

Bibi Titi alikuwa chakula mjini km wengine..ila Nyerere alimhitaji sana kuwakusanya akina mama wa Kiislam..ndio maana hadi leo wanawake wajingawajinga wapo kwa vile mama zao wajingawajinga walipata nafasi za bure na kuwarithisha.....Nyerere aliona bora kuwachapa viboko kuliko waachia hawa magaidi wakajenge kambi ya shida.

Hata haoa kina sykes sijui na nani....Nyerere aliwawatibulia ugaidi wao km Israeli anavyochelewesha Iran kupata silaja kwa kuweka uchafu ktk vinu , kuweka virusu ktk computer na kugereverse issue ilimradi basi.Ili wawe busy na ushirikina wakidhani wamelogwa.

Nyerere kuna mara alitumia mchawi mpe mtoto ,,,,,mara nyingine aliwatokea ghfla na kuwachapa maswali wasiyotegemea hadi wakapoteza mistari wanayomzeshwa kwa ajili ya ubishi km wanavyokariri ya Biblia wakshidnane na wakristu...

Huyo ni bibi titi na kawawa wake, ambao ndio best ktk waislama waliokuwa wanataka Tanganyika waislam waliokuwa wanataka uhuru.....sijui itakuweje wengine ambao ndio waliofikia weka mashrti ,bila hivyo wasingeingia kuongeza idadi aliyotaka nyerere ili kuweza wakabili UN kuwapa watanganyika uhuru wao.

Leo hii wapo busy kuwa sijui uislam , sijui sykes, sijui nini na nini.........Hawa uazao wa binamu nyama ya hamu ....hawana ubongo wa kuchagua pande sahihi wa ya historia kitu chohcote duniani..Watapiga kelele san aila wakikaa watakubaliana na mimi.




I read your waste!

You talk like you blundered into someone else nightmare.

Wake up and get some sense in your bloody head!

Your attitude is always counter-productive. I wouldn't say arrogant,but comfortable ignorant.

You cannot provide a solution to the mess you live on! This is much deeper than being judgemental of finger pointing.

Muslims need an aggresive and intelligent response to the reality and issues we're facing in our Country... and We are here to stay,just get over it!

Ahsanta.
 
Ndugu yangu, mbona tena unaleta khadith za kitoto na kutaka kuiharibu hii thread...jaribu kujitofautisha na hao mbumbumbu wengine!

Mbona hata Waislam unaowataja/unaowashutumu nao pia wanalalama pita kiasi yakuwa hizo mitaa/Barabara takriban zoote wamepewa maluuni wengine tu wasiokua hata na history,asili au hata kujitolea muhanga na hilo jiji au nchi/Taifa letu!?

Unafahamu yakuwa mitaa michache mno hapo D'Salaam hiyo mnayodai ati ina majina ya Waislam; ilipewa majina hayo baada ya msukosuko na lawama nyingi toka kwa Waislam na wapenda haki wengineo hapo nchini!? Hii ilikua khasa kipindi cha Alhaj Hassan Mwinyi na Kitwana Kondo.

Ikumbukwe zaidi,yakuwa hao unaowaona ati ni Waislam... asilan hawakupewa majina ya hiyo mitaa sababu ya Uislam wao...hasha abadan!

Hao walikua ndo Vinara,Wanaharakati,Wafadhili na Wahenga wakuu wa kupigania ukombozi/harakati za kutupatia huo "Uhuru" wetu.

Zaidi ya hilo,takriban woote kati yao hiyo D'salaam/Mzizima ni kwao au ni kwenye asili yao...kwa hiyo hawakuwa ati ni wageni hapo kama wengineo wengi tu!...

Hata hivyo wengi mno kati yao wamesahaulika kwa makusudi kwenye hiyo "Official History" ya nchi hiyo kama alivyoitaka yule Nyerere!

Nafikri pia unashuhudia hata leo wakijaribu kutajwa kiduchu tu humu mitandaoni-Jf na kwingineko,basi hutokea Wajaaluta kadhaa kuwakashifu hao Mashujaa wetu,Wanaharakati na Wakombozi wa huo "Uhuru" wetu!?

Nakhis ni uzuri ifike wakti baadhi ya jamaa zetu wengi mpunguze jazba na mihemuko ya kidini japo kiduchu na kuzipisha hizo Ilm na busara zenu kufanza shugulize japo thuluthi...na hii ni kwa faida yetu soote na Taifa letu changa!

D'salaam,ni mmojawapo wa mikoa michache saana kama sio pekee hapo Tanganyika usokua na ubaguzi kwa watu woote...embu kachungulie huko mikoani kuna mitaa mingapi yenye majina ya watu wenye asili au kutoka D'salaam/Mzizima!?

Nyerere alichukua ile ilokua Independence Avenue nafikiri ndo akaipa jina la yule Mmakonde Terrorist wake...ambae bila ya shaka kama angalikuwapo mpaka leo basi wale washenzi/Politicians wa Western World labda nae pia wangemwita pale Dan Hague/The Hague akajibu charges - Crimes against humanity!? Kwi! Kwi! Kwi!

Kuna wakti nilitoa maoni na sababu/history kiduchu humu Jf,kupinga yule mpuuzi Mwai Kibaki kupewa jina la mmoja wa mitaa/barabara zetu maarufu hapo Mzizima/D'Salaam...matokeo yake nilishambuliwa vibaya mno tena bila hata ya mantik yoyote ile!?

Ahsanta sana.

Nilijua nitaambulia japo kujifunza jambo, wapi! UDINI, CHUKI na USWAHILI umekujaa moyoni!

Haya tumekusoma, kimbia wahi msikitini au kijiweni mkapige DOMO maana ndo zenu!
 
kambona hakuwa muislamu na barabara za dar Es Salaam nyingi ziligawiwa kwa kufuatia dini ya mtu. kama wangefuata ukweli mtu kama Lupia angepewa barabara ya msimbazi!!

Lupia,rafiki wa mwalimu,
 
Mkuu we kweli mdini namna mnavyomchamba huyo bwana Nalli kuhusu maraisi Mwinyi na Jk,then unageuka na kumchamba Mwl Nyerere,hakika unanipa funzo moja ni ngumu sana kuiondoa imani ya mtu hata kwa mambo yalio wazi kabisa.Haya bana lakini usisahau kupeleka watoto shule,hasa za wagalatia watapata kitu pengine cha kuwasaidia.Msalimie Mohamed Said.Mapambano bado tunayaendeleza.


Mkuu!

Ni kwakuwa tu humu Jf hatufahamiani...napenda kukufahamisha yakuwa Family yangu yoote tangia karne hatuna asili ya kukosa Ilm. Nina maanisha Ilm ya kisawaswa sio pale "Mlimani". By the way Mzee wangu aliwahi pia kukufundisheni pale Mlimani kwa miaka "michache" enzi za yule Nyerere.

Haya nikwambiayo hata huyo Nyerere wenu hilo alikua analifahamu saana tu!...kuna mengi nitakujuza Insha Allah penye majaaliwa "siku nyingine" ndugu yangu.

Nakuheshimu ndugu yangu,nastaajabu kama wewe ungekuwa mstaarabu/"msomi" japo kiduchu;ilitakiwa umkanye huyo "Mkristo mtiifu" mwenzio kwa zile kashfa zilizokua hazina mantik yoyote tena huku aki-blanket na kutukana Waislam woote!?

Au yale wewe binafsi hayakukutia dhiki!?

Ahsanta sana.
 
Amini kapinga ngoma Gadafi kaimba wimbo maiti nayo yasema Aa! aacha Tanzania utaitambua

Maiti siyo mwingine ni Amini,
Na Aminii amini kapiga ngoma...

Kambona aliagiza Chipaka a Kamaliza,pindueni mkiweza nitawapeni mapesa,nikirudi safarini Uingereza!

Nani alitunga wimbo huu tuliimba tukiwa watoto?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Nakumbuka those days tunakimbia mchakamchaka kwa kuimba Kambona ameolewa olewa olewa olewaaa, ameolewa kwa kuogopa, azimio azimioo la Arushaa, alafu inaendelea Kambona aah aah Kambona aolewa wapi aah aah huko ulaya....to be continued

Those days Kambona nilikuwa namwona mtu wa ajabu kweli kumbe ilikuwa ni kutofautiana kwa ideas tu kama inavyotokea sasa hivi lakini watu wanaishia kwenye magazeti tu.
 
Nilijua nitaambulia japo kujifunza jambo, wapi! UDINI, CHUKI na USWAHILI umekujaa moyoni!

Haya tumekusoma, kimbia wahi msikitini au kijiweni mkapige DOMO maana ndo zenu!




I try to answer the likes of you with silence and indifference...it works better,I assure you,than anger and silly argument/s!

Ahsanta.
 
Lupia,rafiki wa mwalimu,



Kama unamaanisha John Rupia...yule Mzee alikua ni rafiki mkubwa/wa karibu na wa miaka mingi wa Shariff Abdallah Al Attas,ambae ndipo baadae akamfahamisha na kumkutanisha na huyo Nyerere aka "Baba wa Taifa".

Kama utahitaji kuthibitisha hili...huna haja ya kusoma vitabu/maandiko ya Mohammed Said;kama upo hapo D'salaam/Mzizima jaribu kumtafuta Mpuya Rupia atakufahamisha vizuri na labda mengineyo mengi!

Ahsanta.
 
Acha uongo eti alikuja kutubu weka ushahidi, kina Bibi Titi ndiyo waliomsaidia Nyerere na kumpokea TANU mpaka kuwa rais wa Tanganyika.

Hizo ni chuki za Nyerere kwa wenzake waliopigania nao uhuru kina Kambona.

Kama Kambona alikuwa anataka kumpindua Nyerere si angeweza kufanya hivyo wakati wanajeshi wameasi na Kambona alikuwa waziri wa ulinzi ndiyo aliyekwenda kumficha Nyerere huko Kigamboni.


Shariff Ritz,

Salaam.

Huyo Mag3,nafikiri uzee wake unamjia vibaya.

Lakini asikupe taabu,huyo shughuli yake niachie mimi!

Tuombe Mola hao Mods wasijekuufunga na huu mnakasha pia!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.
 
JUMAMOSI Agosti 1, 1970 Mahakama Kuu ya Tanzania iliambiwa na mkurugenzi wa mashitaka jinsi Bibi Titi Mohamed alivyogharamia mapinduzi ya kumuua Julius Nyerere na kuiangusha serikali yake.

Mahakama iliambiwa kuwa Bibi Titi katika siku isiyojulikana aliitisha mkutano na katika kikao hicho, Michael Kamaliza alimshauri mtu mmoja aliyetajwa kwa jina la Leballo aende London kwa Oscar Kambona kumwomba atume fedha zaidi ili kufanikisha mpango wao wa mapinduzi.

Kamaliza alimtaka Chipaka amwandikie barua Kambona na kumtumia noti ya shilingi 10/- ili Kambona aitie saini ije isaidie katika kuwashawishi wabunge na baadhi ya mawaziri kumuunga mkono Kambona.

Noti hiyo pia ilikuwa isaidie katika kuchangisha fedha za mapinduzi na kuwashawishi watumishi wa TANU na NUTA kuipinga serikali.

Mkurugenzi wa mashitaka alisema; “Kamaliza alimwambia Leballo kuwa hakukuwa na shaka wafanyakazi wa Tanzania wangeliunga mkono mpango wa mapinduzi kwa sababu Rais alikuwa amemwondoa (Kamaliza) kutoka NUTA kinyume cha matakwa ya wafanyakazi.

“Leballo alikutana na Bibi Titi nyumbani kwake tarehe Juni 23 na mama huyo alimweleza alikuwa amekwenda Nairobi kwa muda wa siku nne na kwamba alimpigia simu Kambona kutoka Nairobi na kumtaka atume shilingi milioni moja (1,000,000/-) kwa ajili ya mapinduzi katika muda wa wiki mbili.

“Titi akampa Leballo shilingi 400/- na kusema kwamba alikuwa amepokea shilingi 2,000/- kutoka kwa Kambona, 1,000/- za Chacha kwa matumizi madogo madogo. Titi alimwambia Leballo atampa shilingi 600/- baada ya siku chache na alifanya vile tarehe 26, Juni”. Fedha hizo zilitolewa mahakamani kama ushahidi kamili.

“Tarehe 28 Juni, Chacha alipanga kukutana na Leballo tarehe 30 Juni ili amjulishe Leballo kwa Meja Herman.

“Chacha na Luteni Kanali Marwa walikwenda nyumbani kwa Leballo tarehe 30 Juni saa 3 usiku. Chacha na Leballo walikwenda katika chumba cha kulala na kumwacha Luteni Kanali Marwa sebuleni.

“Huko chumbani Chacha alimwambia Leballo kwamba alikuwa tayari kuipindua serikali kama angelipwa shilingi 20,000,000 na akamtaka Leballo amwambie Kambona atume fedha hizo kwa haraka.

“Leballo na Chacha walikutana tena tarehe 3 Julai huko makao makuu ya Jeshi kwa maombi ya Chacha. Chacha alimwambia Leballo kwamba alikuwa amesikitishwa na ukawiaji wa fedha.

Akamtaka Leballo aende huko Lugalo barracks katika bwalo la maafisa ambapo Kapteni Lifa Chipaka atamtambulisha kwa Meja Herman.

“Leballo alikwenda kule, akamkuta Kapteni Lifa anamsubiri. Kapteni Lifa alimwambia Leballo kwamba hakuwa anamwamini Meja Herman katika mpango wa mapinduzi kwa sababu alikuwa chotara kutoka Iringa na kwamba yeye angempa orodha ya maofisa ikiwa pamoja na jina la mtu mmoja kutoka kisiwani. Kutoka kwenye orodha hiyo mtu wa kuongoza mapinduzi angechaguliwa. Baadaye Kapteni Lifa alimfahamisha Leballo kwa Meja Herman.

“Baada ya mkutano huo Leballo alionana na John Chipaka na Kamaliza wakiwa pamoja katika ofisi ya shirika la wafanyakazi la NUTA. Wote walizungumza na kumtaka Leballo aende London kwa Kambona kumtaka atume fedha zaidi.

“Kama saa kumi na robo alasiri siku hiyo Leballo aliitwa tena kwenye ofisi hiyo. Aliwenda na kumkuta Kamaliza peke yake. Kamaliza alimwambia kwamba alikuwa amemtuma mtu mmoja kwa Kambona “U That” akalete fedha.

“Kamaliza akamwambia Leballo kwamba yeye alipendelea Meja Herman aongoze mapinduzi kuliko Chacha”.

Washitakiwa saba ambao wamekana mashitaka matatu ya uhaini na moja kuficha siri ya uhaini ni Gray Likungu Mattaka, John Dustan Lifa Chipaka, Bibi Titi Mohammed, Michael Marshal Mowbrya, William Makori Chacha na Alfred Philip Millinga.

My take:
Kwa anaeijua historia vizuri ya BIBI TITI atujuze hapa


bibititi2.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom