Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
Nasikitika kuona nimekaa kitako hapa kwa mda mrefu tangu uzi huu uanza lakini sioni historia zaidi ya histohisia tu na udini,
Mimi nilishasomesha sana kwenye mjadala wangu na Mzee wangu Mohamed Said uitwao
"Uchochezi wa Mohamed Said dhidi ya wapigania uhuru wa Tanganyika na Zanzibar"
Mjadala ule upo hapa jf, hivyo kila kinachoongelewa hapa tayari tulishakiongea kwa mapana yote,
Hakuna ambae alifuatilia uzi ule halafu leo atasema hajui historia ya Bibi Titi na wengine wote waliopigania uhuru na mapito yake,
Ninawashangaa sana Ritz na GombeSugu kwani niliwafundisha vya kutosha sana kule, lakini hapa wanapiga porojo za abunuasi tu,
Shukrani kwa Mag3, Nguruvi3 na Mwanakijiji ambao kwahakikika walishirikiana nami kumnyoa Mohamed Said
Mimi nilishasomesha sana kwenye mjadala wangu na Mzee wangu Mohamed Said uitwao
"Uchochezi wa Mohamed Said dhidi ya wapigania uhuru wa Tanganyika na Zanzibar"
Mjadala ule upo hapa jf, hivyo kila kinachoongelewa hapa tayari tulishakiongea kwa mapana yote,
Hakuna ambae alifuatilia uzi ule halafu leo atasema hajui historia ya Bibi Titi na wengine wote waliopigania uhuru na mapito yake,
Ninawashangaa sana Ritz na GombeSugu kwani niliwafundisha vya kutosha sana kule, lakini hapa wanapiga porojo za abunuasi tu,
Shukrani kwa Mag3, Nguruvi3 na Mwanakijiji ambao kwahakikika walishirikiana nami kumnyoa Mohamed Said