Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Status
Not open for further replies.
Nasikitika kuona nimekaa kitako hapa kwa mda mrefu tangu uzi huu uanza lakini sioni historia zaidi ya histohisia tu na udini,

Mimi nilishasomesha sana kwenye mjadala wangu na Mzee wangu Mohamed Said uitwao

"Uchochezi wa Mohamed Said dhidi ya wapigania uhuru wa Tanganyika na Zanzibar"

Mjadala ule upo hapa jf, hivyo kila kinachoongelewa hapa tayari tulishakiongea kwa mapana yote,

Hakuna ambae alifuatilia uzi ule halafu leo atasema hajui historia ya Bibi Titi na wengine wote waliopigania uhuru na mapito yake,

Ninawashangaa sana Ritz na GombeSugu kwani niliwafundisha vya kutosha sana kule, lakini hapa wanapiga porojo za abunuasi tu,

Shukrani kwa Mag3, Nguruvi3 na Mwanakijiji ambao kwahakikika walishirikiana nami kumnyoa Mohamed Said
 
Alikuwa anafanya kazi yake kama afanyavyo sasa Mbatia, Lipumba, Cheyo, Marando, Zitto Kabwe , Shibuda, etc!!!! Hapo chachaaaaaa tena sana. Siku ya siku itajulikana mpinzani wa kweli ni nani?
Ndugu yangu nakushauri ungekuwa msomaji tu kwenye huu uzi ungejifunza mengi, bahati mbaya wewe kila sehemu unaleta mambo ya Chadema na CCM.
 
Nasikitika kuona nimekaa kitako hapa kwa mda mrefu tangu uzi huu uanza lakini sioni historia zaidi ya histohisia tu na udini,

Mimi nilishasomesha sana kwenye mjadala wangu na Mzee wangu Mohamed Said uitwao

"Uchochezi wa Mohamed Said dhidi ya wapigania uhuru wa Tanganyika na Zanzibar"

Mjadala ule upo hapa jf, hivyo kila kinachoongelewa hapa tayari tulishakiongea kwa mapana yote,

Hakuna ambae alifuatilia uzi ule halafu leo atasema hajui historia ya Bibi Titi na wengine wote waliopigania uhuru na mapito yake,

Ninawashangaa sana Ritz na GombeSugu kwani niliwafundisha vya kutosha sana kule, lakini hapa wanapiga porojo za abunuasi tu,

Shukrani kwa Mag3, Nguruvi3 na Mwanakijiji ambao kwahakikika walishirikiana nami kumnyoa Mohamed Said

Sishangai kuona uongo kuwa ni jadi kwenu. Hivi wewe haswa wa kumfundisha nani historia ya Tanganyika na hawa wazee wa Dar Es Salaam?

Unanchekesha!
 
JUMAMOSI Agosti 1, 1970 Mahakama Kuu ya Tanzania iliambiwa na mkurugenzi wa mashitaka jinsi Bibi Titi Mohamed alivyogharamia mapinduzi ya kumuua Julius Nyerere na kuiangusha serikali yake.

Mahakama iliambiwa kuwa Bibi Titi katika siku isiyojulikana aliitisha mkutano na katika kikao hicho, Michael Kamaliza alimshauri mtu mmoja aliyetajwa kwa jina la Leballo aende London kwa Oscar Kambona kumwomba atume fedha zaidi ili kufanikisha mpango wao wa mapinduzi.

Kamaliza alimtaka Chipaka amwandikie barua Kambona na kumtumia noti ya shilingi 10/- ili Kambona aitie saini ije isaidie katika kuwashawishi wabunge na baadhi ya mawaziri kumuunga mkono Kambona.

Noti hiyo pia ilikuwa isaidie katika kuchangisha fedha za mapinduzi na kuwashawishi watumishi wa TANU na NUTA kuipinga serikali.

Mkurugenzi wa mashitaka alisema; "Kamaliza alimwambia Leballo kuwa hakukuwa na shaka wafanyakazi wa Tanzania wangeliunga mkono mpango wa mapinduzi kwa sababu Rais alikuwa amemwondoa (Kamaliza) kutoka NUTA kinyume cha matakwa ya wafanyakazi.

"Leballo alikutana na Bibi Titi nyumbani kwake tarehe Juni 23 na mama huyo alimweleza alikuwa amekwenda Nairobi kwa muda wa siku nne na kwamba alimpigia simu Kambona kutoka Nairobi na kumtaka atume shilingi milioni moja (1,000,000/-) kwa ajili ya mapinduzi katika muda wa wiki mbili.

"Titi akampa Leballo shilingi 400/- na kusema kwamba alikuwa amepokea shilingi 2,000/- kutoka kwa Kambona, 1,000/- za Chacha kwa matumizi madogo madogo. Titi alimwambia Leballo atampa shilingi 600/- baada ya siku chache na alifanya vile tarehe 26, Juni". Fedha hizo zilitolewa mahakamani kama ushahidi kamili.

"Tarehe 28 Juni, Chacha alipanga kukutana na Leballo tarehe 30 Juni ili amjulishe Leballo kwa Meja Herman.

"Chacha na Luteni Kanali Marwa walikwenda nyumbani kwa Leballo tarehe 30 Juni saa 3 usiku. Chacha na Leballo walikwenda katika chumba cha kulala na kumwacha Luteni Kanali Marwa sebuleni.

"Huko chumbani Chacha alimwambia Leballo kwamba alikuwa tayari kuipindua serikali kama angelipwa shilingi 20,000,000 na akamtaka Leballo amwambie Kambona atume fedha hizo kwa haraka.

"Leballo na Chacha walikutana tena tarehe 3 Julai huko makao makuu ya Jeshi kwa maombi ya Chacha. Chacha alimwambia Leballo kwamba alikuwa amesikitishwa na ukawiaji wa fedha.

Akamtaka Leballo aende huko Lugalo barracks katika bwalo la maafisa ambapo Kapteni Lifa Chipaka atamtambulisha kwa Meja Herman.

"Leballo alikwenda kule, akamkuta Kapteni Lifa anamsubiri. Kapteni Lifa alimwambia Leballo kwamba hakuwa anamwamini Meja Herman katika mpango wa mapinduzi kwa sababu alikuwa chotara kutoka Iringa na kwamba yeye angempa orodha ya maofisa ikiwa pamoja na jina la mtu mmoja kutoka kisiwani. Kutoka kwenye orodha hiyo mtu wa kuongoza mapinduzi angechaguliwa. Baadaye Kapteni Lifa alimfahamisha Leballo kwa Meja Herman.

"Baada ya mkutano huo Leballo alionana na John Chipaka na Kamaliza wakiwa pamoja katika ofisi ya shirika la wafanyakazi la NUTA. Wote walizungumza na kumtaka Leballo aende London kwa Kambona kumtaka atume fedha zaidi.

"Kama saa kumi na robo alasiri siku hiyo Leballo aliitwa tena kwenye ofisi hiyo. Aliwenda na kumkuta Kamaliza peke yake. Kamaliza alimwambia kwamba alikuwa amemtuma mtu mmoja kwa Kambona "U That" akalete fedha.

"Kamaliza akamwambia Leballo kwamba yeye alipendelea Meja Herman aongoze mapinduzi kuliko Chacha".

Washitakiwa saba ambao wamekana mashitaka matatu ya uhaini na moja kuficha siri ya uhaini ni Gray Likungu Mattaka, John Dustan Lifa Chipaka, Bibi Titi Mohammed, Michael Marshal Mowbrya, William Makori Chacha na Alfred Philip Millinga.

My take:
Kwa anaeijua historia vizuri ya BIBI TITI atujuze hapa


Naona majina ni ya wale-wale tu, na wao walimpinga Nyerere? kwanini?
 
Mkuu naona hostoria ya Tanganyika unapishana nayo, hapa siyo Mwanyamala ni Kariakoo hiyo, leta ushahidi wa haya maneno yako mkuu.

Cc; THE BIG SHOW, FaizaFoxy,

Mkuu Ritz,mimi sipo kubishana,kumbukumbu yangu ya haraka iliniambia kwa Mzee Mwinjuma,Mwananyamala,natumia cmu,picha zote ninazo,ebu nijibu hoja zangu kaka,Leo na kesho hatupo.Tutimize majukumu yetu hata kama hatuwezi kusimama kwenye majukwaa.Mi napenda nifahamu zaid,Sheikh Mohamed Said,wajina wa rafiki yangu nimemusoma vitabu vyake karibu vyote,na hakika nampenda though anapotosha,Kuna kipindi kwenye maisha yangu nilimchukia Nyerere na historia nzima ya Tanganyika,kisa vitabu vya Sheikh Mohamed Said,may b Nina conflict of interest,maana mi ni mkiristo,lakin nimeutafuta ukweli,ucku uje,mchaba uondoke hakuna mtu waislamu wanapaswa wamheshimu kama Nyerere,vyovyote mtakavyomsema,it is ok,he was a great man and who ever shall try to undermine Nyerere ni wazi Ana lake jambo,was a great man.
 
Last edited by a moderator:
Naona majina ni ya wale-wale tu, na wao walimpinga Nyerere? kwanini?
Dada angu,ebu acha udini,nakupenda,nakuheshimu,After Ashadii,unayefuatia ni wewe lakin unakoelekea,ulikuwa wa kujenga hoja,lakin cku hiz,mh.
Ok.Tuacheni hisia za kidini,tusemezane ukweli wa haki ndugu zangu,hisia za kidini hazijengi maana ukimuita mbudha yeyote atakwambia uislamu na ukristo ni mambo ya ajabu,hivyo ondoemi hisia hizo.
 
Dada angu,ebu acha udini,nakupenda,nakuheshimu,After Ashadii,unayefuatia ni wewe lakin unakoelekea,ulikuwa wa kujenga hoja,lakin cku hiz,mh.
Ok.Tuacheni hisia za kidini,tusemezane ukweli wa haki ndugu zangu,hisia za kidini hazijengi maana ukimuita mbudha yeyote atakwambia uislamu na ukristo ni mambo ya ajabu,hivyo ondoemi hisia hizo.

Udini ni nini?
 
Mkuu Ritz,mimi sipo kubishana,kumbukumbu yangu ya haraka iliniambia kwa Mzee Mwinjuma,Mwananyamala,natumia cmu,picha zote ninazo,ebu nijibu hoja zangu kaka,Leo na kesho hatupo.Tutimize majukumu yetu hata kama hatuwezi kusimama kwenye majukwaa.Mi napenda nifahamu zaid,Sheikh Mohamed Said,wajina wa rafiki yangu nimemusoma vitabu vyake karibu vyote,na hakika nampenda though anapotosha,Kuna kipindi kwenye maisha yangu nilimchukia Nyerere na historia nzima ya Tanganyika,kisa vitabu vya Sheikh Mohamed Said,may b Nina conflict of interest,maana mi ni mkiristo,lakin nimeutafuta ukweli,ucku uje,mchaba uondoke hakuna mtu waislamu wanapaswa wamheshimu kama Nyerere,vyovyote mtakavyomsema,it is ok,he was a great man and who ever shall try to undermine Nyerere ni wazi Ana lake jambo,was a great man.

Halafu wewe ndio unaniambia mimi "wacha udini"? Unanshangaza! Hivi hicho ulichokiandika hapo ni nini? Jisome tena.
 
Nasikitika kuona nimekaa kitako hapa kwa mda mrefu tangu uzi huu uanza lakini sioni historia zaidi ya histohisia tu na udini,

Mimi nilishasomesha sana kwenye mjadala wangu na Mzee wangu Mohamed Said uitwao

"Uchochezi wa Mohamed Said dhidi ya wapigania uhuru wa Tanganyika na Zanzibar"

Mjadala ule upo hapa jf, hivyo kila kinachoongelewa hapa tayari tulishakiongea kwa mapana yote,

Hakuna ambae alifuatilia uzi ule halafu leo atasema hajui historia ya Bibi Titi na wengine wote waliopigania uhuru na mapito yake,

Ninawashangaa sana Ritz na GombeSugu kwani niliwafundisha vya kutosha sana kule, lakini hapa wanapiga porojo za abunuasi tu,

Shukrani kwa Mag3, Nguruvi3 na Mwanakijiji ambao kwahakikika walishirikiana nami kumnyoa Mohamed Said
Wewe umezaliwa 1982 kutokana na maandiko yako mwenyewe toke utoke Iringa kuja Dar es Salaam hauna hata miaka mitano.

Itakuwa kituko uwafundishe watu wa Mzizima historia ya Tanganyika.

AA,TAA, TANU zimetokana na mababu zetu na baba zetu.
 
Sikilizeni nyinyi vijana wa juzi halafu wavivu wa kusoma, kwa taarifa yenu nyerere ni mkosefu wa fadhila na mzee mshenzi hajawahi kutokea na hatatokea mzandiki kama yeye..wafuatao ndo walimkaribisha nyerere ndani ya mji huu na ndio wenye mchango mkubwa katika kuleta uhuru, abdulwahid sykes, aziz dossa, ally sykes, hassan bin ameir, john rupia,mshume kiate, suleiman takadiri, bibi titi mohammed, na kwa ufupi waislam ndo walichangia sana, na nyerere alikiri hilo wakati anawaaga wazee wa dsm mwaka 85, watu hata hamujui hotuba aliyotoa siku hiyo kazi yenu kuropoka tu...wazandiki nyie...nyere aliwatenga wote hao kwa ukosefu wa fadhila zaidi aliwatia kizuizini...kwa kuwasaidia nendeni mkasome kitabu cha mohammed said "maisha na nyakati za abdulwahid sykes" mtafaidika...
Huyu mzeee na historia zake anawapotosha sana wavivu wa kufikiri kama wewe...

Historia ya nchi hii unaijua wewe??
Kwa ufinyu wako wa kufikiri, unadhani TANU tu ndio kilikua chama kinachoendeleza harakati za kugombea uhuru wa nchi hii enzi hizo??, kwa taarifa yako vilikuwepo vyama zaidi ya kumi na tatu.

mbona hamtaki kutaja harakati za watu wa kilimanjaro na wale wapare kugombea uhuru, ambazo zilikua na nguvu kuliko hata hiyo TANU?? Au umeona tu hizo za watu wa Tanu ambao unafikiri wana mrengo wa kidini na wewe??
 
Hawezi, atautolea wapi?
Dada FaizaFoxy sipo hapa kubishana,nipo neutral kuliko maelezo,Sheikh Mohamed Said nimemusoma sana vitabu vyake,kiukwel anapotosha sana,ni wazi alihoji na kuongea na ndugu na jamaa wa Islamists waliokuwepo kwenye vuguvugu la uhuru,na kingine ukumbuke unasaba wake na watu hao.
Ni kweli historia haikuwakumbuka baadhi kulingana na umuhimu wao,maana hata mizani ulalia kulipo na uzito zaidi,ni nature.
Je Sheikh Mohamed Said aliyoandika kutokana na ufuatiliaji wake Yana uhakika wa percentage kiasi gani?
Yumkini tunaelezana pasipo kujua,lakin historia ya Nyerere haiwez kufutika kama ilivyo ya Kleist Sykes.Lakin daima mizani ulalia palipo na uzito,mwenye kuchukia uzito na achukie lakin ukweli utabaki hapo,Mbona chuki hizi za udini hawakuwahi Kuna nazo wakina Mzee Twalipo,Mzee Aziz Aly mpaka wanakufa?hakika Nyerere angekuwa wa ajabu Leo msingezungumza,chunguzeni na mje na ukweli.
 
Mkuu Ritz,mimi sipo kubishana,kumbukumbu yangu ya haraka iliniambia kwa Mzee Mwinjuma,Mwananyamala,natumia cmu,picha zote ninazo,ebu nijibu hoja zangu kaka,Leo na kesho hatupo.Tutimize majukumu yetu hata kama hatuwezi kusimama kwenye majukwaa.Mi napenda nifahamu zaid,Sheikh Mohamed Said,wajina wa rafiki yangu nimemusoma vitabu vyake karibu vyote,na hakika nampenda though anapotosha,Kuna kipindi kwenye maisha yangu nilimchukia Nyerere na historia nzima ya Tanganyika,kisa vitabu vya Sheikh Mohamed Said,may b Nina conflict of interest,maana mi ni mkiristo,lakin nimeutafuta ukweli,ucku uje,mchaba uondoke hakuna mtu waislamu wanapaswa wamheshimu kama Nyerere,vyovyote mtakavyomsema,it is ok,he was a great man and who ever shall try to undermine Nyerere ni wazi Ana lake jambo,was a great man.
Nani sasa yupo kwa ajili ya kubishana? Mie sina tatizo na fikra zako, wewe ndiyo umeanza kunishambulia kuniita mdini sijui tatizo ni nini.

Vizuri kama unazo hizo picha ukipata wasaa tuwekee utupe na historia yake tujifunze kutoka kwako.

Mada iliyopo ni Bibi Titi na Kambona walivyotaka kumuua nadhani huu ndiyo mjadala.
 
.....ufisadi nchi hii ulianza zamani, kachukua 1m akadai kapewa 2,000/=.....duu, hii ni balaa...


Mkuu ufisadi ulianza zamani... hata wale jamaa waliomsulubisha Yesu walipewa misumari minne ili watumie msumari mmoja kwenye kila mkono na mguu lakini walitumia misumari mitatu wakapiga msumari mmoja kila mkono afu miguu wakaunganisha wakatumia msumari mmoja. Jumla misumari mitatu.. Afu ule mmoja wa nne hawakurudisha...
 
Halafu wewe ndio unaniambia mimi "wacha udini"? Unanshangaza! Hivi hicho ulichokiandika hapo ni nini? Jisome tena.

Dada nipo zaid ya neutral,nimekir ni mkiristo,maana sipo kujibizana na mtu,wala kubishana na sipo kiimani am neutral kuliko unavyofikiria,tuzungumze ukwel.
 
Nani sasa yupo kwa ajili ya kubishana? Mie sina tatizo na fikra zako, wewe ndiyo umeanza kunishambulia kuniita mdini sijui tatizo ni nini.



Vizuri kama unazo hizo picha ukipata wasaa tuwekee utupe na historia yake tujifunze kutoka kwako.

Mada iliyopo ni Bibi Titi na Kambona walivyotaka kumuua nadhani huu ndiyo mjadala.
.
Yap,mada iliyopo ni ya Bibi Titi Mohamed na namna ALIVYOTAKA kushirikiana na Oscar Nathaniel Kambona kumuua Julius Kambarage Nyerere.
Tumeeleza nini chanzo,na kupingana na fikra mfu zilizopo.Miaka michache ijayo hakika kizazi chote chenywe ukweli kitapotea,chonde chonde,waislamu kwa wakristo tutafute ukweli,isiwe yale yale ya Zanzibar kumuuliza Mzee Nasooro Moyo,historia ya mapinduzi,anakuja na mambo ya abunuwasii,tuwe wakweli,ukweli na uongo ni kama mafuta na maji.Kusema uongo ni dhambi,hata kwa asiye abudu c vizuri,tujifunze kuwa wakweli,huwezi ukamsema vibaya Nyerere na wote wakina Ritz mliofuatia,tuwe wakweli.Alipenda dini yake but hakuwa mdini,it is the same like Kikwete,c mdini ila mnamsumbua anaamua kuwaridhisha.
 
Mkiambiwa msome historia ya nchi yenu hamtaki, mmekalia siasa tu za maji taka!

Kwanza msome Bibi Titi Mohamed ni nani? Tewa Said Tewa ni nani? na EAMWS ni kitu gani?

Ukifahamu yote hayo bila shaka utajua chuki ya Mwl. Nyerere kwa Biti Titi ilitokana na nini/au ilianzia wapi? mpaka kubambikiwa hiyo kesi iliyokua haina kichwa wala Miguu!

Nendene mkasome nyie watu Nyakageni ichenjezya Mag3 Mama JJ asigwa Nicholas Yericko Nyerere ili mpate faida.

Mkitaka darsa niko tayari kuwafundisha nyote bure bila hata ya senti kutoka kwenu!

hivi baada ya kujidangnaya mnapata faida gani?
 
Acha uongo eti alikuja kutubu weka ushahidi, kina Bibi Titi ndiyo waliomsaidia Nyerere na kumpokea TANU mpaka kuwa rais wa Tanganyika.

Hizo ni chuki za Nyerere kwa wenzake waliopigania nao uhuru kina Kambona.

Kama Kambona alikuwa anataka kumpindua Nyerere si angeweza kufanya hivyo wakati wanajeshi wameasi na Kambona alikuwa waziri wa ulinzi ndiyo aliyekwenda kumficha Nyerere huko Kigamboni.

Bibi Titi alikuwa changu tuu ktk siasa...alikuwa nusunusu kwa wanaharakati wa kiislam wazee wa MS wapindua misikitini , na alikuwa muu nje ktk TANU.Nyerere alimtumia tuu ktk kuhamasisha wanawake ....km CDM wasivyotaka deal evenly with Zitto au mama yake.Hakuna asiyejua kuwa wapo busy sana na vi deal vidogovidogo vya kidini , kikanda, kibinafsi etc...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom