Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Status
Not open for further replies.
Naendelea kusoma kitabu cha The Dark Side of Nyerere.Kitabu hiki kilipigwa marufuku Nchini.Lakini iliniongezea kiu kukisoma

Hadi Muda Huu Kambona amesahaulika kwenye Historia.Ipo siku atarudi kwenye Historia ya Nchi hii.

Nilitegemea Barack Obama Road iwe Kambona Road au Shanty Town Moshi iwe Oscar Kambona Streat.Osterbay iitwe Oscar Kambona Streat.Taifa haliwezi kurithi maadui wa mtu mmoja.Ni ujinga na Uzuzu.Ni laana.Tutende haki
Wala haitakusaidia kufikia malengo yako ya kisiasa.Kuwa mkweli siku zote bila woga wowote hakika utakuwa mshindi.Usithubutu kuwa mnafiki kwa lengo la kuridhisha kundi flani.Tenda haki kwa watu wote.Nyota yako inang'aa ipo siku utakuwa kiongozi mkubwa udumu sana katika ukweli na uwazi.Chunga sana.
 
Maalim Chamviga,

Asalaam Alaykum,mimi hufurahika kila mara nionapo hizo nondo zako...Mwinyi Al Sahib wangu!

Maneno yako hayana shaka wala dhaka yakhe!...

Umenichekesha pasi kiasi kumwita huyo mjaaluta Nyakageni aka Mkanyageni yakuwa ni Panya-buku! Kwi! Kwi! Kwi!

Na yule mwingine mnywa mbege/mataputapu Mchaga Jambazi... anayejiita jina la Slave Master wake Nicholas! Kwi! Kwi! Kwi!

Hawa takriban woote watu wa Chadema hawana hoja wala hawakusoma kama vile wanavyojifanza na kujinasib humu mitandaoni...wamejawa tu na chuki dhidi ya Uislam/Waislam basi!...

Yaani sasa hivi humu Jf,imekua ni kama trendy vile; Chadema/Mkristo yoyote akishindwa hoja au akijihisi hana mantik,basi atakimbilia kutukana Uislam/Waislam ili apate cheap support ya wapuuzi wenzie!

Hawa kwenye hiyo Chadema/Ukristo wao ni kama mahawara wa kisiasa tu,hawana tafauti yoyote na yule Mama yao wa Kihaya...Josephine Mushumbusi! Kwi! Kwi! Kwi!


Ahsanta.

Waalykum salam warahmatullah wabarakatuh. Naam akhy alhabib gombesugu nimemueka sawa huyu mwanachadema ajue matusi dhidi ya uislamu/waislamu ni kosa la jinai na anakichafua chadema yake. kanyageni ni kampeni meneja wa Ben Saanane na huyu Nicholus aka mnywa mbege ni kampeni meneja wa Dr.W.Slaa, kwahiyo matusi yao kwenye uislamu/wairlamu tunayatumia kuwatanabaisha wapiga kura waislamu Tanzania kabla hawajaipigia kura chadema wafahamu wanawapigania kinani.
Tuko pamoja maalim.
 
Last edited by a moderator:
Wanaume wote wenye hekima dunia hii ni wakware!Anza ni king David,Solomon,Bill Clinton na wengine uwajuao...Huwezi kuongoza vizuri kama unajidai mgumu utaishia kuwa gaidi tu!'Kazi na dawa!'

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Nimeipenda hii na huenda kuna kaukweli flani kiaina
 
Shariff Ritz,

Salaam.

Huyo Mag3,nafikiri uzee wake unamjia vibaya.

Lakini asikupe taabu,huyo shughuli yake niachie mimi!

Tuombe Mola hao Mods wasijekuufunga na huu mnakasha pai!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.

Gombesugu, naunga mkono hoja kwamba Mod asiifunge hii thread ili na mie nikukabe sawasawa!
 
Mkuu!

Ni kwakuwa tu humu Jf hatufahamiani...napenda kukufahamisha yakuwa Family yangu yoote tangia karne hatuna asili ya kukosa Ilm. Nina maanisha Ilm ya kisawaswa sio pale "Mlimani". By the way Mzee wangu aliwahi pia kukufundisheni pale Mlimani kwa miaka "michache" enzi za yule Nyerere.

Haya nikwambiayo hata huyo Nyerere wenu hilo alikua analifahamu saana tu!...kuna mengi nitakujuza Insha Allah penye majaaliwa "siku nyingine" ndugu yangu.

Nakuheshimu ndugu yangu,nastaajabu kama wewe ungekuwa mstaarabu/"msomi" japo kiduchu;ilitakiwa umkanye huyo "Mkristo mtiifu" mwenzio kwa zile kashfa zilizokua hazina mantik yoyote tena huku aki-blanket na kutukana Waislam woote!?

Au yale wewe binafsi hayakukutia dhiki!?

Ahsanta sana.

Mkuu Gombesugu,ni hisia zangu kwamba kama c Sheikh Mohamed Said,basi ni mtu wa karibu yake.
Nilikuwa ninaombwa tu kuhabarishwa kwa maoni yenu.Yapata miaka 14 mwalimu hayupo,pamoja na hayo nchi ipo mikononi mwa nyinyi wenye malalamiko kila kukicha kwenye position zote kubwa labda wizara ya Ulinzi ya Nchimbi,miaka kumi ya Kikwete ingelitosha kuondoa malalamiko haya,sasa tatizo limebaki nini?Je ni kupotoshwa kwa historia tu au Kuna mengine?na kama ni historia iliopotoshwa je ina athari zipi katika muislamu wa Leo kujikomboa?na kama ni mengineyo ni yapi?
NB:uwe neutral sana,usiwe one sided katika jibu lako ikitokea ukanijibu ili nipate kuelewa zaid.
 
Mkuu Gombesugu,ni hisia zangu kwamba kama c Sheikh Mohamed Said,basi ni mtu wa karibu yake.
Nilikuwa ninaombwa tu kuhabarishwa kwa maoni yenu.Yapata miaka 14 mwalimu hayupo,pamoja na hayo nchi ipo mikononi mwa nyinyi wenye malalamiko kila kukicha kwenye position zote kubwa labda wizara ya Ulinzi ya Nchimbi,miaka kumi ya Kikwete ingelitosha kuondoa malalamiko haya,sasa tatizo limebaki nini?Je ni kupotoshwa kwa historia tu au Kuna mengine?na kama ni historia iliopotoshwa je ina athari zipi katika muislamu wa Leo kujikomboa?na kama ni mengineyo ni yapi?
NB:uwe neutral sana,usiwe one sided katika jibu lako ikitokea ukanijibu ili nipate kuelewa zaid.

Huyu hawezi kukujibu kwa ustaarabu mkubwa uliouonesha! Huyu mwenzetu ngombesugu ni MDINI sijawai kuona! Lakin ngoja nitoke kazini nitulie nimkabe koo sawasawa! Nitamjibu kwa kadri ya maelezo yake na kwa viwango vile vile ama zaidi!
 
halafu changia kwa adabu, sawa?!! Kama unataka matusi nenda kule mmu kwa wenzio!

Hizo kwanini hazitakusaidia kitu bila kua na ilmu, kasome ndugu ufahamu ukweli wa mambo!

kama ningekua nimechangia matusi ningekua banned sahiv,labda unaelewa matusi kivingine..

Endlea kujua sijasoma
 
Nawashauri ndugu zangu Watanzania tufuatilie historia yetu kuhusu Tanganyika tusikubali kushikiwa akili, hauezi kusema kuwa eti Bibi Titi alitaka kumuua Nyerere, kama angetaka kumuua angefanya zamani hebu angalieni hizi picha chini hapa Bibi Titi akimsimamisha Nyerere kumtambulisha wakati huo Nyerere ajulikani.
Bibi+Titi.jpg


bibiNyereretalk.jpg
 
Angalieni hii picha halafu mpime wenyewe mtu aliyetaka kukuua unaweza kuwa naye hivi.

bibi-titi.jpg
 
Hii picha imepigwa kabla ya uhuru wa Tanganyika, kulia kwa Nyerere ni Bibi Titi ambaye tunakaririshwa kuwa alitaka kumuua Nyerere, hawa wazee wa Dar es Salaam, walikuwa na mapenzi makubwa sana na Nyerere waliishi naye kama ndugu yao.


BibiNyerrecruiting.jpg
 
Hii picha imepigwa kabla ya uhuru wa Tanganyika, kulia kwa Nyerere ni Bibi Titi ambaye tunakaririshwa kuwa alitaka kumuua Nyerere, hawa wazee wa Dar es Salaam, walikuwa na mapenzi makubwa sana na Nyerere waliishi naye kama ndugu yao.


BibiNyerrecruiting.jpg

Ritz Toa hoja tukuelewe,hii picha nadhani kwa Mzee Mwinjuma,Mwananyamala.Hoja ni kwamba baada ya uhuru harakati za kiislsmu zilichukua mkondo upi?na nini ilikuwa response ya serikali ya Nyerere?And swali langu nini suluhisho sasa?maana Tanzania is for every one reagardless of your religion,tatizo tunataka kuvictimize watu,mbaya zaid waliodeal na situation rightly,muwe wakweli jamani.Hakuna mahali popote Nyerere aliudidimiza uislama,amin usiamin adui mkubwa wa Nyerere ni Marehemu Oscar Kambona(RIP),na yote hii in historia yake,ipo wazi.
Tuache itikadi za kidini,tuseme ukweli,wale wote waliondesha harakati zile za Madai kabla Nyerere kujoin hakuwepo hata mmoja wa kuongoza nchi,na mapinduzi ya kipind kile yangemwacha Sykes?kwa nini binafsi baada ya kupitwa kura moja kwenye uchaguzi wa TAA uliokuwa na waislamu wengi aliaccept Nyerere awe Mwenyekiti?Tukubali tusikubali kulikuwa na njama za kumuondoa Mwl madarakani,Sasa wekeni hisia za udini pembeni tafitini ni kweli au hapana,Kisha mje na majibu ya kweli,ni -------- atakayetaa vuguvugu za uislam na harakati zake ndizo chanzo cha harakati za kudai uhuru wa Tanganyika,na je nini impact za vuguvugu hizo baada ya Uhuru,na je zilikoma au la,na kama hzikukoma nini kilitokea?Natanabahi this is a right forum for you people to tell us.
 
Hii picha picha wazee wa Dar es Salaam wakimsindikiza Nyerere uwanja wa ndege kwenda UNO mwanamke peke yake ni Bibi Titi ambaye leo tunaambia alitaka kumuua Nyerere.

nyerere_departing_for_UNO.jpg
 
Ritz Toa hoja tukuelewe,hii picha nadhani kwa Mzee Mwinjuma,Mwananyamala.Hoja ni kwamba baada ya uhuru harakati za kiislsmu zilichukua mkondo upi?na nini ilikuwa response ya serikali ya Nyerere?And swali langu nini suluhisho sasa?maana Tanzania is for every one reagardless of your religion,tatizo tunataka kuvictimize watu,mbaya zaid waliodeal na situation rightly,muwe wakweli jamani.Hakuna mahali popote Nyerere aliudidimiza uislama,amin usiamin adui mkubwa wa Nyerere ni Marehemu Oscar Kambona(RIP),na yote hii in historia yake,ipo wazi.
Tuache itikadi za kidini,tuseme ukweli,wale wote waliondesha harakati zile za Madai kabla Nyerere kujoin hakuwepo hata mmoja wa kuongoza nchi,na mapinduzi ya kipind kile yangemwacha Sykes?kwa nini binafsi baada ya kupitwa kura moja kwenye uchaguzi wa TAA uliokuwa na waislamu wengi aliaccept Nyerere awe Mwenyekiti?Tukubali tusikubali kulikuwa na njama za kumuondoa Mwl madarakani,Sasa wekeni hisia za udini pembeni tafitini ni kweli au hapana,Kisha mje na majibu ya kweli,ni -------- atakayetaa vuguvugu za uislam na harakati zake ndizo chanzo cha harakati za kudai uhuru wa Tanganyika,na je nini impact za vuguvugu hizo baada ya Uhuru,na je zilikoma au la,na kama hzikukoma nini kilitokea?Natanabahi this is a right forum for you people to tell us.
Mkuu naona hostoria ya Tanganyika unapishana nayo, hapa siyo Mwanyamala ni Kariakoo hiyo, leta ushahidi wa haya maneno yako mkuu.

Cc; THE BIG SHOW, FaizaFoxy,
 
Last edited by a moderator:
Wanaukumbi,

Oscar_Kambona-1.jpg


Tumsome Oscar Kambona, kidogo ambaye tunaambiwa alikuwa anafanya mipango ya kumuua Nyerere.
Oscar Kambona ni miongoni mwa viongozi mahiri na shupavu waliowahi kuwa gumzo ndani na nje ya Tanzania, kutokana na uongozi wake, hekima na busara.
Ndiye Mtanzania wa kwanza kuwa waziri aliyeongoza wizara mbili kwa wakati mmoja. Ndiye Mtanzania pekee anayeaminika kusimama kidete na kufanikiwa kulidhibiti jeshi lililoasi mwaka 1964.
Hata hivyo, pamoja na umahiri huo, lakini kubwa zaidi kutokuwa na tamaa ya kutumia nafasi ya uasi wa jeshi kushika madaraka ya nchi.
Pamoja na hayo mchango wake hauthaminiwi kabisa. Tofauti na viongozi wengine wa siasa au hata utamaduni, mpaka sasa hakuna barabara yenye ukumbusho wa jina la mwanasiasa huyu aliyefariki akiwa katika matibabu mjini London, Juni 1997 na mwili wake kurudishwa Tanzania kwa mazishi.
Oscar Kambona alizaliwa mwaka 1925, katika kijiji cha Kwambe kilichoko mwambao mwa Ziwa Nyasa, karibu na Mbamba-Bay, wilaya ya Mbinga, mkoani wa Ruvuma.
Alikuwa ni mtoto wa Kasisi David Kambona ambaye alikuwa miongoni mwa Waafrika wa kwanza kupata upadri katika kanisa la Anglikana la Tanganyika, na kwa mama Miriam Kambona.
Akiwa mdogo, baba yake alikuwa akimweleza kuhusu ndoto zake juu ya uhuru wa nchi yake, hivyo kumfanya Oscar kujawa na hamu ya kuitumikia nchi yake.
Msingi wa elimu yake aliupata nyumbani kwao, chini ya mwembe (ambao bado uko mpaka sasa), katika kijiji cha Kwambe, kwa kuwatumia wazazi wake wote wawili na mjomba wake, ambao wote walikuwa walimu.
Alipelekwa shule ya kati ya Mt. Barnabas, Liuli na baadaye Shule ya Sekondari ya Alliance (sasa Shule ya Sekondari Mazengo), ambako alilipiwa ada na askofu Mzungu wa Anglikana kwa vile baba yake hakuweza kumudu kulipa ada ya pauni 30 kwa mwaka. Inasimuliwa kuwa kilichomvutia Mzungu huyo kukubali kumlipia Oscar ada ni baada ya kusali sala ya Baba Yetu Uliye Mbinguni kwa Kizungu.
Alichaguliwa kwenda ‘Tabora Boys Senior Government School ambako ndiko alikokutana na Mwalimu Julius Nyerere kwa mara ya kwanza. Wakati huo Nyerere alikuwa anafundisha katika shule ya Kikatoliki ya St Marys.
Kukutana tena na Nyerere
Ilikuwa mwaka 1954, kwenye mkutano wa kitaifa wa walimu, ndipo Oscar Kambona ambaye naye alikuwa amemaliza shule na kufundisha katika shule ya Alliance, alikutana tena na Nyerere na kujadili mambo mbalimbali ikiwemo harakati za chama cha TANU.
Oscar alishawishika kuitumikia TANU ambayo ilikuwa imeanzishwa muda si mrefu, bila malipo baada ya Mwalimu Nyerere kumweleza kuwa asingeweza kuajiriwa ndani ya chama kwa vile haikuwa na fedha.
Huo ulikuwa uamuzi mzito na mgumu mno, hasa kwa mtu kukubali kuachia nafasi ya ualimu ambayo alikuwa akilipwa vizuri na kufanya kazi bila malipo tena za chama ambacho ndiyo kwanza kilikuwa kikianza harakati za ukombozi.
Kwa miezi takriban sita, Oscar Kambona alifanya kazi ngumu ya kuzunguka sehemu mbalimbali za nchi na kuonana na machifu na wazee wa vijiji ili kusajili wanachama.
Kwa kipindi hicho huku akitumia fedha kidogo alizokuwa amejiwekea akiba yake, alifanikiwa kusajili wanachama 10,000 na haikuwa ajabu kuwa baada ya mwaka mmoja alikuwa amepata wanachama hai 100,000.
Ili kutunza fedha za chama, Kambona alifungua akaunti ya kwanza ya TANU na kisha kwenda Butiama kumshawishi Mwalimu Nyerere achukue uongozi wa chama moja kwa moja kama mtendaji mkuu.
Mwaka 1957, Kambona alikwenda kusomea sheria katika Chuo cha Middle Temple, nchini Uingereza kwa ufadhili wa Gavana.
Akiwa London Kambona alikuwa kiongozi wa chama cha wanafunzi wa Tanganyika na mwenyekiti wa tawi la TANU la London.
Kukutana na watu mashuhuri
Mwaka 1958, Kambona alipata fursa ya kukutana kwa mara ya kwanza na watu mashuhuri akiwemo George Padmore, mwanaharakati wa umoja wa wa Waafrika duniani, ambaye alimshawishi ahudhurie mkutano wa Waafrika wote (All Africa's Peoples Conference), uliofanyika nchini Ghana muda mfupi baada ya kupata Uhuru.
Kambona alisafiri mpaka Ghana, wakati huo akiwa bado anaendelea na masomo yake nchini Uingereza na huko alipata nafasi ya kukutana na mwanaharakati mwingine maarufu wa siasa za Afrika, Kwame Nkrumah.
Huyu ambaye alimuokoa Nyerere leo hii ndiyo tunakaririshwa kuwa alitaka kumuua Nyerere.
 
Mkiambiwa msome historia ya nchi yenu hamtaki, mmekalia siasa tu za maji taka!

Kwanza msome Bibi Titi Mohamed ni nani? Tewa Said Tewa ni nani? na EAMWS ni kitu gani?

Ukifahamu yote hayo bila shaka utajua chuki ya Mwl. Nyerere kwa Biti Titi ilitokana na nini/au ilianzia wapi? mpaka kubambikiwa hiyo kesi iliyokua haina kichwa wala Miguu!

Nendene mkasome nyie watu Nyakageni ichenjezya Mag3 Mama JJ asigwa Nicholas Yericko Nyerere ili mpate faida.

Mkitaka darsa niko tayari kuwafundisha nyote bure bila hata ya senti kutoka kwenu!
Kama historia yako unayotaka kutupa sio ile ya Mohammed Said na wahafidhina wenzie tuko tayari kuisikia, lakini kama ndio hiyo hiyo kaa nayo tu tushaisoma sana na haina jipya zaidi ya propaganda za kidini tu....
 
Bibi Titi Mohamed tumlinganishe na kina CUF, UDP, TLP, NCCR Mageuzi and the like!!!! Viongozi hawa na wengine wa upinzani watacheza same role aliyocheza Bibi Titi!!!!!! Ndiyo maana niliposikia CUF, CDM na NCCR Mageuzi eti wameungana wanataka maandamano hapo 10/10/2013 nilishangaa sana!!! CDM be careful!!!!
 
Angalieni hii picha halafu mpime wenyewe mtu aliyetaka kukuua unaweza kuwa naye hivi.

bibi-titi.jpg

Alikuwa anafanya kazi yake kama afanyavyo sasa Mbatia, Lipumba, Cheyo, Marando, Zitto Kabwe , Shibuda, etc!!!! Hapo chachaaaaaa tena sana. Siku ya siku itajulikana mpinzani wa kweli ni nani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom