ivi alienda wapi aisee? jioni walikuwa wanakinukisha na kina DJ Mali's na mabishano yao ya hapa na pale dah! I mc those days.Mimi namkumbuka Glory Robinson mtoto wa mama sabuni sauti yake ilikuwa inanikosha hatari
Sijui hata najiulizaga na ile sauti yake clouds kwanini hawakumtaka wakamchukuaivi alienda wapi aisee? jioni walikuwa wanakinukisha na kina DJ Mali's na mabishano yao ya hapa na pale dah! I mc those days.
Joachim alifariki aisee miaka kadhaa sasaKuna jamaa wa kiss FM aliitwa Joachim Mwengaluguru mkali wa rap na ngeli iliyosmama sjui yko WAP,kwa kwel hawa jamaa walinisaidia kias kikubwa kjua lugha ya queen Eliza
Hivi sasa?Watangazaji walikuwa poa fred waaaa yupo yupo saa hz