tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,315
Msemaji wa stand inited ni Deokaji Makomba.Hawa wote baadhi yao walishatimka mfano Baruan Muhuza na Ivona Kamuntu wapo azam tv, Muksin Mambo yupo TV one, Fredwaa yupo clouds fm, Samadu Hassan bado yupo star tv, Steve moyo Mchonge ni msemaji wa club ya stand united shinyanga, Ahmed Kipozi alikuja kuwa dc, Neville Meena ni kiongoz kwenye jukwaa la waandishi wa habari, Godwin Gondwe ni dc now, Irene Mwakalinga yupo TBC anaripoti kutoka iringa, Paul James yupo clouds fm, Isaac Muyenjwa Gamba yupo Deuschvelle ujerumani
Borry B The Pilot huyu hapa, jamaa anaweza sana.DJ Chrismac Kiss FM
Stive kabuye
John karani
Boly b the pilot
D-7
Jeff Jerry
Natasha yule mzungu na
Sheiza mwingila izi zilikua number Chafu pale kiss FM
alikua raia wa wap uyu jamaa? maana ile rugha haikua ya nchi hiiBorry B The Pilot huyu hapa, jamaa anaweza sana.
Umemsahau Lazaro Matarange the Voice ManWafuatao ni watangazaji wa Radio Free Africa (RFA). Nilikuwa shabiki mkubwa wa RFA kwa maana ilijitahidi kuziba mapungufu ya RTD! Sasa hivi sera za radio hii zimebadilika sana na kukosa mwelekeo, kimsingi imekuwa kama zile za wilayani ambazo watangazaji wake wengi ni ma DJ! Nimebaki nasikiliza 'Watanzania Tuzungumze Magazeti' japo nalo kuna Watangazaji wana UTOTO mwingi na wanapoteza muda mwingi kujiongelesha badala ya kutusomea magazeti! Ongeza na wewe majina niliyoyaacha!
1. Samweli Kiama
2. Rahabu Fungo (Fred) - Search Line
3. Prince Baina Kamukulu - Nyimbo za Kihindi, Matukio
4. Jose Kaila - Michezo
5. Baruan Muhuza - Michezo
6. Jumaa Ahmed Baragaza - Mambo mambo, Je huu ni UUNGWANA
7. Deo Kaji Makomba - Michezo, Jambo Afrika
8. Zubeir Msabaha - Bolingo Time
9. Deo Kududuye
10. Basil Mbakile
11. Paul James
12. Godwin Gondwe
13. Taji Liundi
14. Jacob Usungu - Muziki wa zamani, Roving DJ
15. Fredrick Bundala (Sky Walker)
16. Samada Maduhu
17. Steve Moyo Mchongi
18. Gabriel Zacharia
19. Gabriel Yotham
20. Roy Mlalike Maganga -Sitasahau
21. Wambura Mutani - Je huu ni UUNGWANA?
22. Stella Setumbi
23. Charles Mobea
24. Soggy Doggy
25. Samadu Hassan - Habari za Kimataifa
26. Mukhsin Mambo
27. Yahaya Mohammed Kimaro
28. Rankim Ramadhan
29. Thobias Chewe - KISS FM
30. Thobias Ngaraguru (Tobby The Flash) - KISS FM
31. Ezben the Rocker - KISS FM
32. John Kalani (JK) - KISS FM
33. Joan Itanisa
34. Irene Mwakalinga
35. Yvonne Kamuntu
36. Glorie Robinson Sabuni
37. Kid Bway
38. Borry Bwana - KISS FM
39. Leornad Mubali
40. Marko Munthali
41. Paul Mabuga
42. Malegesi Grayson
43. Lazaro Matalange
44. Alex Ngusa
45. Asia Mohamed
46. Jane Mukama
47. Mkamiti Juma
48. Enock Shilatu
49. Isaac Muyenjwa Nyagabona Gamba
50. Peter Omari
51. Ahmed Kipozi
52. George Vincent Sukari
53. Rosemary Mukangara
54. Beatrice Nyerere
55. Hamis Dambaya
56. Egbert Mkoko
57. Neville Meena
58. Stive Kabuye
59. Deborah Mpagama
60. Beatrice Rabach
61. Anselm Ngaiza
62. Thom Chilala
63. Lady the Butterfly - KISS FM
64. Fred Fidelis (Fredwaa) - Je huu ni UUNGWANA, Sindano tano za moto na Muziki wa Reggae
Hahaha, jamaa ni Mhaya naskia, mbongo mmoja hivi hata ukimuona huwezi mdhania!alikua raia wa wap uyu jamaa? maana ile rugha haikua ya nchi hii
Yupo kwa mapenzi mubasahara utamsikiliza kipindi cha asubuhiWatangazaji walikuwa poa fred waaaa yupo yupo saa hz
mbona bado ni 2000's mkuu.. any way naikubali sana kiss fm..Kwa mfano ile Kiss fm ya 2000's ilikuwa powa sana, wapi akina Tracy, Bella, DJ Malis, DJ Carter..etc
Lazaro matarange yupo.wapi alikuwa na Sauti nenerfa miaka ya 2000 ilitisha enzi za double g na lazaro matarange
Hahahaaa, point of correction, kuanzia 2000 kuja mpaka 2010. Ahsante mkuu.mbona bado ni 2000's mkuu.. any way naikubali sana kiss fm..
Dj Malis bonge la DjKwa mfano ile KISS FM ya kuanzia 2000 kuja 2010 ilikuwa powa sana, wako wapi akina Tracy, Bella, DJ Malis, DJ Carter, Chriss Mac.etc
Aisee achaaa!! Cjui yupo wp?Mimi namkumbuka Glory Robinson mtoto wa mama sabuni sauti yake ilikuwa inanikosha hatari
poa poa mkuu pamoja sana.Hahahaaa, point of correction, kuanzia 2000 kuja mpaka 2010. Ahsante mkuu.
Ni kweli KISS FM walikuwa na full package ya watangazaji, jamaa walikuwa wako poa na ulikuwa huboreki kusikiliza.poa poa mkuu pamoja sana.
Nime enjoy sana kiss fm mwaka 2004 hivi nikiwa malizia malizia primary school.
DJ malis nilikuwa namckia sana mida ya kuelekea saa mbili usiku..
Kuna jamaa mmoja alikuwa anaitwa Tobby da Splash, dah jamaa alikuwa safi sana..
Wengineo wengi, najaribu kukumbuka miaka 13 iliyopita, ilikuwa burudani sana..
Niliipenda kiss kwa ajiri yao asee, daa... kiss ilikuwa moto aseeWapi Sharubano Aboubakar "sherry' pamoja na DEE7 na kipindi chao cha African beats KISS fm
poa poa mkuu pamoja sana.
Nime enjoy sana kiss fm mwaka 2004 hivi nikiwa malizia malizia primary school.
DJ malis nilikuwa namckia sana mida ya kuelekea saa mbili usiku..kina steve B, Irene tilya sijui dah
Kuna jamaa mmoja alikuwa anaitwa Tobby da Splash, dah jamaa alikuwa safi sana..
Wengineo wengi, najaribu kukumbuka miaka 13 iliyopita, ilikuwa burudani sana..
wewe nae huna kazi acha ulofaWewe uliyeanzisha hii topiki huna kazi za kufanya zaidi ya kufuatilia majina ya watangazaji? wamekusaidia nini wewe kama wewe binafsi? Unapoteza muda wako bure kwa mambo ambayo hayana faida katika maisha yako. Pole sana.