Mwanamalundi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,125
- 1,435
Mtu anapoanzisha mada inaweza kuwa isiwe na faida kwake likini ikawa na faida kwa wengine. hebu fuatilia reactions za watu juu ya huu uzi ndipo utagundua watu hawana shida na hawa watangazaji ila idadi ya wachangiaji wanakumbuka zaidi maisha yao ya kale. Think beyond what you said.
Sawa sawa mkuu,huyo alikuwa anafanya kipindi kimoja cha mchana na B12 alivyofariki B12 akakibadili jina akakiita XXL akamleta Fetty kama mbadala wa Vivian na Mchomvu pia ndo akaingia kipindi hiko ndo wanaanza anza kazisawa sawa mkuu asante kwa kunirekebisha!
Niko std 6 hapo sijui hata huyo mdada ana mahusiano na nani wala nini,
Just enjoying good things from them...
clouds fmWatangazaji walikuwa poa fred waaaa yupo yupo saa hz
Mkuu comment zako hazilingani na umri ulionao JF, jirekebishe tafadhali.Ahsante sana kamanda. Unalo la kuongezea?
Mkuu comment zako hazilingani na umri ulionao JF, jirekebishe tafadhali.[/QUO Msamehe bure huyu hajui wengine hii thread inauzito gani kwetu. Nimekumbuka mbali sana basi tu.
Jamaa aliwahi kufanya ngoma moja kali sana na JCB,Kuna jamaa wa kiss FM aliitwa Joachim Mwengaluguru mkali wa rap na ngeli iliyosmama sjui yko WAP,kwa kwel hawa jamaa walinisaidia kias kikubwa kjua lugha ya queen Eliza
Dj malis alikuwa na dada mmoja hivi pale kiss fm mida ya jioni,dada alikuwa anaitwa Tamimu,sijui yupo wapi,daaa those daysNamkumbuka dj malis na mtoto wa mama sabuni kuanzia mida ya kumi na mbili jioni hadi raha unahisi upo peponi yani hadi raha!!
m ciamin kabisa kuhusu huyu jamaaJamaa aliwahi kufanya ngoma moja kali sana na JCB,
Keshaitwa na makonda mwenzie, jumatatu anatakiwa ajisalimishe kwa Siro, RFA ya miaka hiyo ni kama RTD ya miaka hiyoooo haitakaa itokee tena....mwenye uwezo wa kurudisha Hali anayoipoteza ktk tasnia ya habar n ruge somehow anatetea fan yake
Kitambo sana,wangelikuwepo bado pale radio free,ingekuwa ndio habari ya town hii radio saiv waisha japo sio kivile!!Dj malis alikuwa na dada mmoja hivi pale kiss fm mida ya jioni,dada alikuwa anaitwa Tamimu,sijui yupo wapi,daaa those days
Hii redio ndiyo iliyosambaza muziki wa Africa Mashariki kanda ya ziwa(sijui kwa mikoa mingine), kuanzia 2003. Na siku zote huwa nasema hakuna pahala unapigwa muziki mzuri katika redio za Tanzania kama Kiss fm. Kipindi hicho hapa Steven Kafire hapa Dj Malis.Kwa mfano ile KISS FM ya kuanzia 2000 kuja 2010 ilikuwa powa sana, wako wapi akina Tracy, Bella, DJ Malis, DJ Carter, Chriss Mac.etc
Hii redio ndiyo iliyosambaza muziki wa Africa Mashariki kanda ya ziwa(sijui kwa mikoa mingine), kuanzia 2003. Na siku zote huwa nasema hakuna pahala unapigwa muziki mzuri katika redio za Tanzania kama Kiss fm. Kipindi hicho hapa Steven Kafire hapa Dj Malis.[/QUOT