Mwanamalundi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,125
- 1,435
Mtu anapoanzisha mada inaweza kuwa isiwe na faida kwake likini ikawa na faida kwa wengine. hebu fuatilia reactions za watu juu ya huu uzi ndipo utagundua watu hawana shida na hawa watangazaji ila idadi ya wachangiaji wanakumbuka zaidi maisha yao ya kale. Think beyond what you said.
Ahsante sana kamanda. Unalo la kuongezea?