kiatu kipya
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 3,269
- 1,977
Alikuwa bongo5.com na Sky walker issue nakumbuka sky na the top ten billboard songs kila ijumaaKid bway nilimwona mwaka jana anarekebisha gari yake kwenye garage fulani Manyanya Kino.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa bongo5.com na Sky walker issue nakumbuka sky na the top ten billboard songs kila ijumaaKid bway nilimwona mwaka jana anarekebisha gari yake kwenye garage fulani Manyanya Kino.
Carter yuko Diamond kiotani anakipiga ngoma tunaruka majoka nayeKwa mfano ile Kiss fm ya 2000's ilikuwa powa sana, wapi akina Tracy, Bella, DJ Malis, DJ Carter..etc
Alifariki lini jamaa? May his soul rest in peace kama ni kweliJoachim alifariki aisee miaka kadhaa sasa
Au simu ya Muhily Obare utacheka naaaaaaaaaaaaaam Niko Igoma maeneno ya watu wazitoUkute sasa Rahabu Fredy kapokea simu ya Lawena Nsonda na zile " Eh mama" zake. Ilikuwa burudani sana.
Wapi Sylvestor Bahati?Carter yuko Diamond kiotani anakipiga ngoma tunaruka majoka naye
AlifarikiKuna jamaa wa kiss FM aliitwa Joachim Mwengaluguru mkali wa rap na ngeli iliyosmama sjui yko WAP,kwa kwel hawa jamaa walinisaidia kias kikubwa kjua lugha ya queen Eliza
Mkuu hiyo timu uliyoitaja haitakaa itokee tena pale Sahara, walikuwa na mpngilio mzuri wa vipindi na watangazaji waliofit kwenye vipindi vyao. Tangu kipindi cha kwanza asubuhi mpaka cha mwisho usiku ulikuwa ni moto wa kuotea mbali, walijua kucheza na wasikilizaji na walipata wasikilizaji wengi sana. Nadhani kwa kipindi kile KISS FM kilikuwa ndio kituo bora cha burudani Tanzania hususani kwa wasikilizaji waliokuwa wanapenda lugha ya malkia. Mara nyingi nilikuwa naifananisha na KISS FM ya Kenya (Nairobi Fresh), jamaa walikuwa na uwezo na vipaji.Aisee wakati kiss FM inaanza kina Toby,Bushbaby,DJ Mali ngumu aka Malis, Peter Omary ilikuwa hatari baadaye kwenye drive time akaja mkenya Jk alikuwa anapiga ngoma hatari jioni hapo African beat unamkuta Dee7 ,Sherry na Malis,au DJ Simba mtoto wa Buswelu ngoma juu ya ngoma mweee Sahara media inakwisha Diallo Fanya mpango waje watu
Rest in Peace.Alifariki
hivi chrismac yko ñje ama wapDJ Chrismac Kiss FM
Stive kabuye
John karani
Boly b the pilot
D-7
Jeff Jerry
Natasha yule mzungu na
Sheiza mwingila izi zilikua number Chafu pale kiss FM
yupo Uganda juice FM, Ogen Chriss ndo jina lake la passporthivi chrismac yko ñje ama wap
mwenye uwezo wa kurudisha Hali anayoipoteza ktk tasnia ya habar n ruge somehow anatetea fan yakeMkuu hiyo timu uliyoitaja haitakaa itokee tena pale Sahara, walikuwa na mpngilio mzuri wa vipindi na watangazaji waliofit kwenye vipindi vyao. Tangu kipindi cha kwanza asubuhi mpaka cha mwisho usiku ulikuwa ni moto wa kuotea mbali, walijua kucheza na wasikilizaji na walipata wasikilizaji wengi sana. Nadhani kwa kipindi kile KISS FM kilikuwa ndio kituo bora cha burudani Tanzania hususani kwa wasikilizaji waliokuwa wanapenda lugha ya malkia. Mara nyingi nilikuwa naifananisha na KISS FM ya Kenya (Nairobi Fresh), jamaa walikuwa na uwezo na vipaji.
Kwa kweli unakaa unakumbuka unabaki kusikitika maana siku hizi tunaskiliza radio bhasi tu ,was very fun baadaye alikuja DJ Muhksin Mambo wa watu wa 2000s tuliruka disco lake pale Rumours club near Mwanza hotel ile club sitasahauMkuu hiyo timu uliyoitaja haitakaa itokee tena pale Sahara, walikuwa na mpngilio mzuri wa vipindi na watangazaji waliofit kwenye vipindi vyao. Tangu kipindi cha kwanza asubuhi mpaka cha mwisho usiku ulikuwa ni moto wa kuotea mbali, walijua kucheza na wasikilizaji na walipata wasikilizaji wengi sana. Nadhani kwa kipindi kile KISS FM kilikuwa ndio kituo bora cha burudani Tanzania hususani kwa wasikilizaji waliokuwa wanapenda lugha ya malkia. Mara nyingi nilikuwa naifananisha na KISS FM ya Kenya (Nairobi Fresh), jamaa walikuwa na uwezo na vipaji.
Kiasi sasa mfano kwenye Pb Masoud na Ceaser wanafanya vizuri,na jahazi LA Captain really limerudi vizurimwenye uwezo wa kurudisha Hali anayoipoteza ktk tasnia ya habar n ruge somehow anatetea fan yake
Na dj johnMimi namkumbuka Glory Robinson mtoto wa mama sabuni sauti yake ilikuwa inanikosha hatari