Tujikumbushe hawa watangazaji wa redio free RFA

Tujikumbushe hawa watangazaji wa redio free RFA

Wengi naona mnazungumzia 2003 kuja kuui RFA ilikuwa ni FM yangu ya Kwanza kusikiliza ilikuwa imetulia balaa hadi tunashangaa maana tulishazoea AM.

Enzi za Akina JANE mukama aisee alikuwa ametulia huyu dada nadhani aliondoka kwenye 1998.

Frola Nducha walikuwa na mtindo wa kusoma habari za usiku kwa kupokezana. Kila baada ya habari moja kuna jingle flan hivi ilikiwa maarufu sana basi itabigwa katikati ya habari.

Kipindi cha Mambomambo saa 10 ni balaa na soundtrack yake iliokuwa inaanza. Michezo.saa 2:00 na akina steve moyo, mchongi, Deokaji makomba usikilize redio gani tena

Jioni pale kipindi cha saa 8-10 nimekisahau jina utamkuta Samweli Davis kihama uncle sam yupo na Sandu G a.k.a kidbway aisee huchoki RFA
Hawa jamaa walifanana sauti sana, Sam na kid bway usipokiwa makini unawachanganya, walipenda kutaniana sana pia.

Roy Maganga michezo chezo ya kipindi cha mahaba usiku akiwa na Stella stumbi akajikuta kawa Mke

Wote saizi wapo Redio Tanzania roy na mkewe stella.

Rahabu fred alikuwa na nyodo sana online kwenye simu ukimzingua anakata simu saizi naona yupo Azam.

Azam kabeba 60% ya Watangazaji wa Sahara Media

RFA iliwaunganisha watanzania maana ilisikika mara mpk mtwara. Dar mpk kigoma, bara na visiwani, haitatokea
RFA itabaki kumbukumbu kwa wengi.
 
Wengi naona mnazungumzia 2003 kuja kuui RFA ilikuwa ni FM yangu ya Kwanza kusikiliza ilikuwa imetulia balaa hadi tunashangaa maana tulishazoea AM.

Enzi za Akina JANE mukama aisee alikuwa ametulia huyu dada nadhani aliondoka kwenye 1998.

Frola Nducha walikuwa na mtindo wa kusoma habari za usiku kwa kupokezana. Kila baada ya habari moja kuna jingle flan hivi ilikiwa maarufu sana basi itabigwa katikati ya habari.

Kipindi cha Mambomambo saa 10 ni balaa na soundtrack yake iliokuwa inaanza. Michezo.saa 2:00 na akina steve moyo, mchongi, Deokaji makomba usikilize redio gani tena

Jioni pale kipindi cha saa 8-10 nimekisahau jina utamkuta Samweli Davis kihama uncle sam yupo na Sandu G a.k.a kidbway aisee huchoki RFA
Hawa jamaa walifanana sauti sana, Sam na kid bway usipokiwa makini unawachanganya, walipenda kutaniana sana pia.

Roy Maganga michezo chezo ya kipindi cha mahaba usiku akiwa na Stella stumbi akajikuta kawa Mke

Wote saizi wapo Redio Tanzania roy na mkewe stella.

Rahabu fred alikuwa na nyodo sana online kwenye simu ukimzingua anakata simu saizi naona yupo Azam.

Azam kabeba 60% ya Watangazaji wa Sahara Media

RFA iliwaunganisha watanzania maana ilisikika mara mpk mtwara. Dar mpk kigoma, bara na visiwani, haitatokea
RFA itabaki kumbukumbu kwa wengi.
Naikumbuka wakati huo nilikuwa na rising Radio! Siku hizi hakuna watangazaji
 
Kipind iko RFA ilikua noma ilikua imepangwa vizuri sana fumo, saiv naona mzee daa kasha yoyoma
 
Hawa jamaa gawakua wanatafta maslah tu bali kazi ikikua damni
 
Ha ha ha ha ha ha ha. Nimekugonga kwelikweli. Ungeanzisha topic ya maana usinge-react namna hiyo. Lakini kwa sababu umejiona huna mchango wa maana hapa JF, ndiyo maana umeamua kuja na matusi. Haikusaidii kitu. Jambo la msingi ni kujifunza kwa wenzako kuanzisha mada zenye mantiki. Tumechoka kusoma utumbo. Pole sana, dawa imekuingia, tulia kimya.
We ni bwege Haujitambui kama jambo Halikuusu pita kushoto by the way nina Asilimia 100 hakuna unachonizidi naweza wa kutunza familia yako........Acha kudhihak Mawazo ya watu
 
Mkuu sijaona JB Juma balagaza ilA umejitahidi sana afu kulikua na mmoja jina la Baba yake alikua anaitwa mfinanga(ke) na mwingine K2 the B Kill boy Salumu sandu
Mkuu hapo chini nimesema kama kuna Alopungua Ongeezeno......Asante kwa Kumbu kumbu
 
Prince Baina Kamukulu
Nilikua napenda sana kipindi chake cha Indian flavor hasa kipengele cha kusimulia movie
 
Kulikuwako dada mmoja anaitwa Stella Mathias, enzi zilee wakiwa na Double G!
 
Yap ni huyohuyo Anselm Tryphone Ngaiza a.k.a Soggy doggy hunter mtukutu aliacha kidogo utangazaji akajikita kwenye muzik baadae akarudi uhuru fm kisha akaenda nadhani ni ebony fm but dah jamaa tungi sana hotpot family kwelikweli
 
Back
Top Bottom