Tujikumbushe hii kauli tata ya marehemu mwanamuziki Diana Aston Villa kwa faida ya wote

Hii story inaukweli...hiyo ni chain ya ngono hapo..kuna mmoja yupo hai bado na nishamhudumia kitengoni...ukimwi unaua na upo....bado bongo muvi na kubadilishana kwao viburudisho

Tuma picha yke plz plz
 
Zama zile walijiachia sana hawa watu wa band za muziki hapa nchini.

Huyu Mr. Nice anajitetea tu, lakini ukweli wote anauanika yeye mwenyewe baada ya kuwa anajitetea sana.

Kuugua sio kufa.
R.I.P wote waliotangulia.
 
Ally naye Siku hizi hasomekii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…