Tujikumbushe JJ Mnyika alivyomkabili Rais Magufuli kuhusu Demokrasia, Maendeleo ya Watu, na vyuma kukaza

Tujikumbushe JJ Mnyika alivyomkabili Rais Magufuli kuhusu Demokrasia, Maendeleo ya Watu, na vyuma kukaza

..Sijui kwanini Jpm alichukia wapinzani kiasi kile.
Hakushinda uchaguzi uliomuweka madarakani , ndio maana akalazimishwa kumteua Kipilimba kuwa DG wa Tiss , kumbuka kwamba Kipilimba aliingizwa wiki moja kabla ya uchaguzi kuwa kamishna wa NEC (Usiniulize zaidi).

Baada ya Magufuli kujua kwamba hakushinda bali alipewa basi akaamua kupiga marufuku vyama vya siasa .
 
Hakushinda uchaguzi uliomuweka madarakani , ndio maana akalazimishwa kumteua Kipilimba kuwa DG wa Tiss , kumbuka kwamba Kipilimba aliingizwa wiki moja kabla ya uchaguzi kuwa kamishna wa NEC (Usiniulize zaidi).

Baada ya Magufuli kujua kwamba hakushinda bali alipewa basi akaamua kupiga marufuku vyama vya siasa .
Ahh ila kweli nakumbuka hilo tukio. Na baada ya uchaguzi akwa DG
 
..kulikuwa na TENSION kubwa sana kuhusu uwepo wa JJ Mnyika ktk mkutano wa Raisi.

..angalia sura na reaction ya Jpm, Jafo, na Kamwele, baada ya JJ Mnyika kutambulishwa.



..hapa chini ni maneno ya JJ Mnyika baada ya kupewa nafasi ya kuzungumza.

..wanasiasa wachache sana walikuwa na ujasiri wa kuzungumza mbele ya Jpm kama alivyofanya JJ Mnyika.



Demokrasia na maendeleo ni mapacha.
 
Chadede naona mnabrand Mnyika kwa sasa.
 
..Sijui kwanini Jpm alichukia wapinzani kiasi kile.
Sababu ni Marehemu Phares Kabuye alimshinda Magufuli kwenye kugombea ubunge jimbo la Biharamuro.

Tangu wakati huo Magufuli hakuamini katika uchaguzi jimbo la Chato alikuwa anapita ubunge bila kupingwa kwa kuwanunuwa wapinzani.

Haka kazee kalianza ushenzi wake siku nyingi ila bahati mbaya watu wengi walichelewa kumjuwa rangi zake halisi.

Mfano hata leo hii kuna watu hawajui kama Mwigulu Nchemba ni kiumbe katili sana kwa sababu Watanzania huwa hawatunzi kumbukumbu.
 
Sababu ni Marehemu Phares Kabuye alimshinda Magufuli kwenye kugombea ubunge jimbo la Biharamuro.

Tangu wakati huo Magufuli hakuamini katika uchaguzi jimbo la Chato alikuwa anapita ubunge bila kupingwa kwa kuwanunuwa wapinzani.

Haka kazee kalianza ushenzi wake siku nyingi ila bahati mbaya watu wengi walichelewa kumjuwa rangi zake halisi.

Mfano hata leo hii kuna watu hawajui kama Mwigulu Nchemba ni kiumbe katili sana kwa sababu Watanzania huwa hawatunzi kumbukumbu.
Ndio maana Mungu aliamua kumaliza ubishi
 
Back
Top Bottom