Tujikumbushe kauli mbali mbali zilizoletwa humu wakati Yanga akipangiwa Club African

Tujikumbushe kauli mbali mbali zilizoletwa humu wakati Yanga akipangiwa Club African

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Kutokana na profile ya Club African, kuna wachambuzi wa kibongo pamoja na mashabiki wa Simba walikuwa wakitoa kauli mbali mbali za kuonesha mwisho wa Yanga umewadia kabla na baada ya game ya Dar es salaam. Weka hapa kauli unazokumbuka.

Mimi nakumbuka, Walisema safari ya Yanga kimataifa imeishia hapo.

1. Mpira waliocheza Club African dakika za mwishoni ndio mpira wao halisi hivyo uto jiandae kupigwa hamsa kule Tunisia.

2. Kipanga ilikuwa hivyo hivyo sare lakini uliza kilichowakuta, uto msijifariji hawa jamaa kwao wanashambulia kama nyuki

Baada ya mechi ya jana, Club African ni sawa na Ihefu tu. Waarabu hawana kitu simba tungemfunga tano.
 
Kutokana na profile ya Club African, kuna wachambuzi wa kibongo pamoja na mashabiki wa Simba walikuwa wakitoa kauli mbali mbali za kuonesha mwisho wa Yanga umewadia kabla na baada ya game ya Dar es salaam. Weka hapa kauli unazokumbuka.

Mimi nakumbuka, Walisema safari ya Yanga kimataifa imeishia hapo.

1. Mpira waliocheza Club African dakika za mwishoni ndio mpira wao halisi hivyo uto jiandae kupigwa hamsa kule Tunisia.

2. Kipanga ilikuwa hivyo hivyo sare lakini uliza kilichowakuta, uto msijifariji hawa jamaa kwao wanashambulia kama nyuki

Baada ya mechi ya jana, Club African ni sawa na Ihefu tu. Waarabu hawana kitu simba tungemfunga tano.
kuna mmoja alisema yanga ni sawa na mwenge wa uhuru .... ati hauvuki mipaka
nilichojifunza Tanzania kuna mashabiki wengi wa mpira wasiojua kitu kuhusu mpara wa miguu
ndo maana yule kocha wa yanga alisema
 
Kutokana na profile ya Club African, kuna wachambuzi wa kibongo pamoja na mashabiki wa Simba walikuwa wakitoa kauli mbali mbali za kuonesha mwisho wa Yanga umewadia kabla na baada ya game ya Dar es salaam. Weka hapa kauli unazokumbuka.

Mimi nakumbuka, Walisema safari ya Yanga kimataifa imeishia hapo.

1. Mpira waliocheza Club African dakika za mwishoni ndio mpira wao halisi hivyo uto jiandae kupigwa hamsa kule Tunisia.

2. Kipanga ilikuwa hivyo hivyo sare lakini uliza kilichowakuta, uto msijifariji hawa jamaa kwao wanashambulia kama nyuki

Baada ya mechi ya jana, Club African ni sawa na Ihefu tu. Waarabu hawana kitu simba tungemfunga tano.
Efm hao na Mikia FC wao Jemedari.
 
Walisema mpira wa Africa ni kushinda nyumbani magoli mengi ukienda ugenini ni kumaliza shughuli wamesahau kua mpira sio baiskeli kwamba ukijua umejua.
 
Kweli yanga wenye akili ni wawili ina maana wale mashabiki wa yanga waliokuwa wanalalamika kwenye mitandao wakidai nabi kaishiwa mbinu hukuwaona na walikuwa hawaamini kama itatokea vile kiufupi sio wachezaji wala viongozi au mashabiki waliokuwa wanaamini kama yanga inatoboa sema imetokea basi msijione ndio mmechukua Caf champions league safari bado ndefu.
 
Back
Top Bottom