Tujikumbushe Kauli ya Kadogosa Kuhusu SGR yake na umeme

Tujikumbushe Kauli ya Kadogosa Kuhusu SGR yake na umeme

JOHNGERVAS

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2016
Posts
1,011
Reaction score
1,681
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Masanja Kadogosa, amesema wananchi waondoe hofu kuhusu tatizo la kukatika kwa umeme katika safari za treni inayotumia umeme akisema treni hiyo ina mkondo wa umeme unaojitegemea.

Hayo yamesemwa leo Februari 26, 2024 na Mkurugenzi huyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kabla ya kuanza kwa safari ya majaribio ya treni ya umeme ya abiria kutoka jijini hapa kuelekea mjini Morogoro.

 
Mtendaji yeyote aliyependwa Sana na Magufuli, msikilize kwa tahadhari.
Kuna mmoja alikuwa anakopa Ili akatoe gawio la Serikali kwenye kampuni Moja ya mawasiliano
haaa
 
ila huyu si mtendaji? kwani ni mwanasiasa
Ameteuliwa na mwanasiasa. Anamfurahisha aliyemteua kwa mapambio bila facts. Automatically naye ni mwanasiasa.

Angekuwa ameomba hiyo kazi nakufanyiwa usahili angekuwa huru kiutendaji, kifikra na kimtazamo. Na asingekuwa kwenye kapu la wanasiasa.
 
Ameteuliwa na mwanasiasa. Anamfurahisha aliyemteua kwa mapambio bila facts. Automatically naye ni mwanasiasa.

Angekuwa ameomba hiyo kazi nakufanyiwa usahili angekuwa huru kiutendaji, kifikra na kimtazamo. Na asingekuwa kwenye kapu la wanasiasa.
Kujipendekeza anasahau taaluma yake, anajidharaulisha
 
kwa mvua hizi, hitilafu za umeme haziwezi kukwepeka, hasa katika nchi za dunia ya tatu ambako miundombinu ya umeme haijasukwa vizuri. jambo la msingi ni kwamba treni hii ni mradi mzuri, tujipongeze, ni wa kwetu, uende vizuri au vibaya ni wa kwetu, tunatakiwa kujipongeza na kutoa maoni ya kuboresha sio kukosoa.
 
kwa mvua hizi, hitilafu za umeme haziwezi kukwepeka, hasa katika nchi za dunia ya tatu ambako miundombinu ya umeme haijasukwa vizuri. jambo la msingi ni kwamba treni hii ni mradi mzuri, tujipongeze, ni wa kwetu, uende vizuri au vibaya ni wa kwetu, tunatakiwa kujipongeza na kutoa maoni ya kuboresha sio kukosoa.
Tunafahamu hilo shida ni kudanganya umma kupitia vyombo vya habari kwamba hata iweje haiwezi kukwama kwa sababu umeme umekatika
 
Wewe una uzoefu wa masuala ya SGR au unaokota tu habari vijiweni na kuzileta sawa nchi imejaa vilaza na ww ni kilaza
Habari gani za vijiweni mkuu mbona yeye mwenyewe Kadogosa ndio alisema. ama yeye hicho alichosema ndio aliokoteza kijiweni
 
Back
Top Bottom