Extrovert24
Senior Member
- Jun 23, 2022
- 144
- 211
Kilioo kikatanda kwa mfupi, alafu nikasikia Shwaaa ๐Nilikua muoga Sana WA fimbo.Kabla sijachapwa uso ushajaa machozi nakuwa mwekundu.
Wa hivo akikuchapa zinakuwaga za moto sana Bakora zakeNiliwahi kupigwa fimbo ya mgongo nikiwa la tano, mgongo ukabaki umekakamaa kama kuku wa kuchoma.
Bado nikiwa ninawenge mwili umeganda damu ikanirukia kutoka kwa jirani sijui alichapwa sehemu gani.
Yule Teacher alikuwa poa sana, alikuwa deep geopolitics. Tulikuwa na uelewa mkubwa sana wa mambo ya dunia ila kosa lake mumkorofishe. Kwa mwaka anaweza kukuchapa mara moja ila hiyo moja lazima usiisahau.
๐๐ Ulileta kipingamizi cha kuweka mikono akakuweka kwanza sawanishawahi zabwa kibao kimoja heavy kwa uoga na ubishi wa kukinga mikono nichapwe,,,aseeee baada ya lile kofi nilipata wenge nkakinga mikono,,nilitandikwa fimbo nakuja shtuka bakora ya 8 ndo naanza kufeel maumivu ๐๐๐๐พ๐๐พsekondari io f3
Kwamba someni maswali vizuri muyaelewe ๐Shule zote huwezi kukosa haya mambo mawili
Kuna ile ya wakati wa mtihani Ticha anakusogelea afu anasema jamani someni maswali kwa makini na myaelewe
Na kuna ile wakati wa paredi Ticha yuko mbele anauliza huko nyuma mnanisikia?hapo lazima wanafunzi wa nyuma waseme hayukusikii bc hapo nae Ticha lazima ajibu kama hamnisikii mmejuaje kuwa naongea?
๐๐ Angekumaliza, we umezipataje hiziNishawahi ongoza mtihani wa math aseee๐๐na nilipiga chabo aseeee,, nakumbka ile test hadi vichwa walifeli,sasa ticha alitamka tuu,,naona huu mtihani umekua vise versa,wa chini wapo juu wa juu wapo chini,,sasa nikaanza kuwaza akisema nikasolve hata swali moja pale๐คฃ๐คฃ uzuri ticha alikua mwelewa sana yule.
HatariWa hivo akikuchapa zinakuwaga za moto sana Bakora zake
sina hamu aseeee๐๐sikuwahi pigwa kofi kama lile maishani mwangu,halikuuma mda ule na wala sikulia,ila kitendo cha kutoka ofisin na watu kuanza kuniangalia alama za vidole shavuni na kunambia pole,,aseeee kilinitia uchungu na hasira,nililia toka saa mbili hadi saa nne.๐๐ Ulileta kipingamizi cha kuweka mikono akakuweka kwanza sawa
I love ๐ You๐ ๐ ๐nishawahi zabwa kibao kimoja heavy kwa uoga na ubishi wa kukinga mikono nichapwe,,,aseeee baada ya lile kofi nilipata wenge nkakinga mikono,,nilitandikwa fimbo nakuja shtuka bakora ya 8 ndo naanza kufeel maumivu ๐๐๐๐พ๐๐พsekondari io f3
๐๐๐ daah umenikumbusha mbali MkuuShule zote huwezi kukosa haya mambo mawili
Kuna ile ya wakati wa mtihani Ticha anakusogelea afu anasema jamani someni maswali kwa makini na myaelewe
Na kuna ile wakati wa paredi Ticha yuko mbele anauliza huko nyuma mnanisikia?hapo lazima wanafunzi wa nyuma waseme hayukusikii bc hapo nae Ticha lazima ajibu kama hamnisikii mmejuaje kuwa naongea?
nilichabo aseee,, muhim nilikumbka kuandka jina langu๐๐ Angekumaliza, we umezipataje hizi