Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Ujue tayari Kimewaka hapo ๐Kwamba someni maswali vizuri muyaelewe ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujue tayari Kimewaka hapo ๐Kwamba someni maswali vizuri muyaelewe ๐
Badoo hakujakucha MissKumekucha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear jamani poleeee, nimechekaaa hatarii.nishawahi zabwa kibao kimoja heavy kwa uoga na ubishi wa kukinga mikono nichapwe,,,aseeee baada ya lile kofi nilipata wenge nkakinga mikono,,nilitandikwa fimbo nakuja shtuka bakora ya 8 ndo naanza kufeel maumivu [emoji16][emoji16][emoji1487][emoji1487]sekondari io f3
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiiNishawahi ongoza mtihani wa math aseee[emoji23][emoji23]na nilipiga chabo aseeee,, nakumbka ile test hadi vichwa walifeli,sasa ticha alitamka tuu,,naona huu mtihani umekua vise versa,wa chini wapo juu wa juu wapo chini,,sasa nikaanza kuwaza akisema nikasolve hata swali moja pale[emoji1787][emoji1787] uzuri ticha alikua mwelewa sana yule.
๐๐๐ Asante ila usicheke ni huzuni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear jamani poleeee, nimechekaaa hatarii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani nimechekaa had machoziii.Teacher wa mathe alikuwa anapiga pindi ,halafu mi niko kimyaa tu nimechill hata simfatilii .Ghafla akanipoint niende mbele kusolve manamba.Kila akinipoint mimi nimekausha tu ,sio kama nilikuwa namdharau ni vile manamba yalikuwa yananipa shida sana.Nikamsikia anasema liangalie kama limeshonelewa hapo hapo.
Nakumbuka topic ilikuwa 'polynomial function' kidato cha tatu.
Huu uzi utachekesha balaa, subiri uone comments za waja. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Asante ila usicheke ni huzuni
๐๐Nina visa vingi sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiii
Mimi mpaka nimetamani kulia alikuwa mwalimu poa sana mtu mzima,alikuwa na nia ya dhati kabisa vijana tufaulu hesabu.Ila ndio hivyo tulikuwa hatujajitambua .Waliojitambua piga mabanda kama hawana akili.Pumzika kwa amani mwalimu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani nimechekaa had machoziii.
Math baba mkwe ujue? Sema ukikamia unatoboa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi mpaka nimetamani kulia alikuwa mwalimu poa sana mtu mzima,alikuwa na nia ya dhati kabisa vijana tufaulu hesabu.Ila ndio hivyo tulikuwa hatujajitambua .Waliojitambua piga mabanda kama hawana akili.Pumzika kwa amani mwalimu.
๐๐ kuna kijamaa kilikutwa na cm sasa walimu katika kupekua wakakuta jina R..... ambalo ndo jina langu,nikaitwa ofisin,nkaulizwa maswali nakataa ila hawaelewi,,sasa tumekaa tunasubir hukumu yetu,,yule wajina si akatuma mesej akamuita jamaa mpenz.......... uuuuweeeeh ikawa pona yanguHuu uzi utachekesha balaa, subiri uone comments za waja. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shusha mahi diha sie tufurahi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nina visa vingi sana
Mimi hata nikamie vipi na nilikuwa nimezungukwa na mabrother wanashuka mathe si mchezo.Mimi mfano nauona mwepesi swali linakuja mara kwenye decimal mara fraction mara maelezo ,basi ni makuchanganyikiwa jamani.Math baba mkwe ujue? Sema ukikamia unatoboa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
io siku bwan tupo mstarini๐๐๐๐พnpo mimi na mwenzangu sasa utando wa buibui ukawa umepta mbele yetu,tukawa tunajionesha huku tunacheka,,kiranja alokua mbele alikua na kengeza,si akajua tunamcheka,,,alitupeleka kwa ticha tulitandikwa balaa,, mwenzangu kumbe hakupenda,akaenda kumuita dingi ake,,aseee aliporomosha mitusiiii.....to be continued,๐๐๐๐๐พShusha mahi diha sie tufurahi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cm nilikutwa nayo advance, afu haikua yangu, ilikua ni ya mtu mwingine, niko 5 yeye yuko 6, sasa wengi walijua ile cm Co yangu, wakaenda kusema staff, acha nibanwee taja hii cm ya nani mie nakazia yangu.[emoji23][emoji23] kuna kijamaa kilikutwa na cm sasa walimu katika kupekua wakakuta jina R..... ambalo ndo jina langu,nikaitwa ofisin,nkaulizwa maswali nakataa ila hawaelewi,,sasa tumekaa tunasubir hukumu yetu,,yule wajina si akatuma mesej akamuita jamaa mpenz.......... uuuuweeeeh ikawa pona yangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeMimi hata nikamie vipi na nilikuwa nimezungukwa na mabrother wanashuka mathe si mchezo.Mimi mfano nauona mwepesi swali linakuja mara kwenye decimal mara fraction mara maelezo ,basi ni makuchanganyikiwa jamani.
๐๐๐๐ Moments kam hiz ndo hunifanya nkumbke shule mambo ya masomo nehiii ๐๐พ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cm nilikutwa nayo advance, afu haikua yangu, ilikua ni ya mtu mwingine, niko 5 yeye yuko 6, sasa wengi walijua ile cm Co yangu, wakaenda kusema staff, acha nibanwee taja hii cm ya nani mie nakazia yangu.
Nilitaka kupewa suspension ya siku 30, na nilikua nipo tayari, ila akatokea mwalimu wa kike alikua mtu mzima,ndo akaniombea msamaha pale stuff, nkasamehewa, ila cm ilipasuliwa.
Baadae kuna maadam akaja kunitonyaa ungetaja ile cm Co yako na ungemtaja mwenye cm, case ndo ingeanzaa upyaaa, kumbe mwenyewe nilishajua kitambo wao wanawaza nn na wanataka kugundua nn woiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilicheza km peleeee.