JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Tangu kuanza kwa mfumo vyama vingi Tanzania mwanzoni mwa miaka ya 1990, mchakato wa kutafita Rais umekuwa ukifanyika tangu Mwaka 1995 na unaendelea kila baada ya miaka mitano.
Tujikumbushe hali ilivyokuwa kwa chama kilichoshinda dhidi ya kura za jumla za wapinzani katika kiwango cha wastani, mfano Mwaka 1995 ushindi ulikuwa 61.8%, upinzani ulipata jumla ya 38%,
2000: Ushindi 71.50%
Upinzani 28.50%
2005: Ushindi 80.30%
Upinzani 19.70%
2010: Ushindi 61.16%
Upinzani 38.84%
2015: Ushindi 58.46%
Upinzani 41.54%
2020: Ushindi 84.40%
Upinzani 15.60%
Chanzo: Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Tujikumbushe hali ilivyokuwa kwa chama kilichoshinda dhidi ya kura za jumla za wapinzani katika kiwango cha wastani, mfano Mwaka 1995 ushindi ulikuwa 61.8%, upinzani ulipata jumla ya 38%,
2000: Ushindi 71.50%
Upinzani 28.50%
2005: Ushindi 80.30%
Upinzani 19.70%
2010: Ushindi 61.16%
Upinzani 38.84%
2015: Ushindi 58.46%
Upinzani 41.54%
2020: Ushindi 84.40%
Upinzani 15.60%