Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

Bila mleta hoja kuanza na majina weye tomaso ungeanza wapi kumuelezea Majiyatanga?! Heshimu fikra za wenzio kama chemchemu ya kusonga mbele!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngunangwa (RIP), Lutaraka, Anne Makinda, Chief Adam Sapi Mkwawa(RIP), Piusi Msekwa, Ukiwaona Ramadhani Ditopile Mzuzuri (RIP), Kuna yule mbunge wa ileje na waziri wa fedha enzi za mwinyi alikataa kuidhinisha pesa za mahujaji,

Stephen Kibona
 
Njelu kasa na kuwayawaya bado wanapumua hawa
 
Ditopile mzuzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…