Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani


Kujikumbusha tu majina ya wabunge inasaidia nini? Ingeleta maana kama kwa kila mbunge jimbo alilowakilisha lingetajwa
na mchango maalum wa huyo mbunge ungetajwa pia. Hiyo ndo maana ya kumkumbuka mtu. Kwa mfano mzee Chrisant Maliyatanga Mzindikaya alikuwa mbunge wa Kwela na alijulikana sana bungeni kwa mtindo wake wa 'kulipua mabomu' ie kutoa hoja nzito za kushtua! nk.
 
ni ningependa sana kupata wale miamba wakuu yaani G48 kama sijakosea, wale wapinzani ndani ya Bunge enzi za mwalimu.
nafikiri kiongozi wao alikuwa Njeru Kisaka, si na uhakika kama sitta alikuwapo ndani, mwenye data - ni kujikumbisha tu sina jingine.

lilikuwa linaitwa g55 i think na ulimwengu alikuwa member.
 
Yete Sintemle Mwalyego, Benson Mwamfupe, Edward Shiiwa na Kitwana Kondo
 
Jakaya Kikwete,Zito Zuberi Kabwe,Mwakyembe,Mzindakaya,Nundu,Lwakatare,Kiyonzi Mpologomyi,Maokola Majogo,Tundu Lissu,Keenja,Kigoda,Lipumba,Mapuri,Masumbuko Lamwai,Mdee,Mgana Msindai(na ule mwili wake na staili yake ya mavazi)halafu na hawa madaktari wawili wenye jina la kwanza la Hamisi na ya pili ni Kagasheki,na huyu mwingine nawaachia homework ya kutamka...Kigwangala!
 
1. Fr. Supa
2. Sara Joy Mwenge
3. Elia Simon Chiwanga
4. Ditopile Wamzuzuri
5. Martha Wejja
 

ala!ulitaka wa zamani,basi nimechanganya!
 
Fakhrudin Adamjee
Charles Keenja
Lawrence Masha
Anthony Diallo
Batilda Buriani
Gertrude Mongella
 
Chufu Adam Sapi Mkwawa R.I.P huyu alikuwa Mbunge na pia Spika wa Bunge kwa Muda Mrefu zaidi ya Wote
Wahehe wanasemekana walikuwa wanakula Mbwa!
 
Majina ya mwanzo si yakumbuki :Hading'oka, Bryson wabunge wa kinondoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…