alfakonisaga
Member
- Oct 23, 2012
- 15
- 5
Siraji juma kayabonga
Huyo kahamia BABATI pia kaukwaa ubungeKisyeri Werema Chambiri
Edward Moringe Sokoine
Salim Ahmed Salim. huyu nasikia ndugu zake wengi wamezikwa Arabuni zilikuwa tetesi kipindi alipokuwa anawania nafasi ya Uraisi na mzee FastJet!
Bila kumsahau Marehemu Oscar Kambona,Chifu Abdallah Fundikila
Sina uhakika kama Laurence Gama alishawahi kuwa Mbunge zaidi ya Ukuu wa Mikoa!
Walileta mchango gani katika taifa hili hawa watu?
Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:
Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngwanangwalu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaangw
Huyo kwa red ndo nilikuwa namtafuta, si alikuwa mbunge wa Mafia eehe!
tedi kasella bantu
babu nilikurupuka hata sikusoma uzi vizuri,ngoja niwaedit basi...Kilonzi Mporogomyi,Maokola Majogo,Masumbuko Lamwai,Ibrahim Lipumba,sir George Kahama,Hassan Diria,Cleopa Msuya,Omary Mapuri,Mudhihir...hivi Mary Chipungahelo aliwahi kuwa mbunge?
1. Fr. Supa
2. Sara Joy Mwenge
3. Elia Simon Chiwanga
4. Ditopile Wamzuzuri
5. Martha Wejja
Dr. Leader Stirling
Mary Hancock
Derick Noel Bryceson
John Hunter
Jakaya Mrisho kikwete mbunge wa Zamani Bagamoyo baadae kuwa Mbunge wa Kwanza wa Chalinze!