Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

Bingwaman

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2010
Posts
549
Reaction score
288
Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:

Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngw’anangw’alu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaang’w
 
Mungai, Mongella, Kimaro, Malecela, Marando, kabourou


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
..Solomon Ole Saibul

..Joseph Lemomo

..Maalim Nabahan

..Ayoub Kimbau

..Abel Mwanga
 
Kiongozi umenitajia Lepilal ole Moloimet ukanikumbusha mtifuano wake na Eddo Ngoiyai Lowassa those old days,
 
Ngawaiya, Cleopa Msuya. Kisanga, L. Masha, Kihiyo

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
ni ningependa sana kupata wale miamba wakuu yaani G48 kama sijakosea, wale wapinzani ndani ya Bunge enzi za mwalimu.
nafikiri kiongozi wao alikuwa Njeru Kisaka, si na uhakika kama sitta alikuwapo ndani, mwenye data - ni kujikumbisha tu sina jingine.
 
Back
Top Bottom