Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:

Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngw’anangw’alu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaang’w

Chief Humbi Ziota - Igunga
Richard Saimora Wambura - Maswa
Edward Barongo - Taifa (Ziwa Magharibi sasa ni Mkoa wa Kagera)
Chief Stanslaus Kasusura - Biharamulo
Joseph K. Nyerere - Taifa (Mara)
Daniel Machemba - Mwanza
Dr. Wilbert Chagula
Hussein Shekilango - Korogwe
Alphonse Rulegura - Sengerema
Stephen Nandonde - Newala
Derek Bryson - Kinondoni
 
Tabitha Siwale. Al-Noor Kassam,Joseph nyerere.,Alfred Tandau,Amran Mayagila, Dr Leader Stirling,Amina Ali,Hassan Nassor Moyo, Salim Ahmed Salim,Joseph Mungai,David Mwakawago,Erasto Mang'enya(spika),Ali Hassan Mwinyi,Chief Abdallah Fundikira
 
wewe ndo umeandika wabunge wa zaman,mtu anataja akina Wangwe na Kaboyonga wa juzi tu.

Maalim Nabaan alishafarik huyo mzee alikua anatembea na baskeli licha ya kuwah kuwa mbunge na dc.

Ndugu unshangaa huyo kupanda baiskeli mbona Prof. Mbwiliza aliyekuwa naibu waziri wa mambo ya nje chini ya waziri kikwete kwa miaka 10 sasa anagombania daladala pale kinondoni b kila jioni atokapo kazini OUT?
 
Chief Humbi Ziota - Igunga
Richard Saimora Wambura - Maswa
Edward Barongo - Taifa (Ziwa Magharibi sasa ni Mkoa wa Kagera)
Chief Stanslaus Kasusura - Biharamulo
Joseph K. Nyerere - Taifa (Mara)
Daniel Machemba - Mwanza
Dr. Wilbert Chagula
Hussein Shekilango - Korogwe
Alphonse Rulegura - Sengerema
Stephen Nandonde - Newala
Derek Bryson - Kinondoni
Capt Theodos J Kasapira(Ulanga Mashariki)
Juma Ngasongwa(Ulanga Magharibi)
 
Kampeni aka Captain Ukiwaona Athumani Mwinshehe Ramadhani Ditopile Mzuzuri,
Makweta,




Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:

Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngw’anangw’alu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaang’w
 
Mgumia -Tabora mjini
Misigalo-Tabora Mjini
Kisanji-Tabora Mjini
Colona Busongo-Tabora Mjini
Prof Mgombero-Tabora Mjini
Ndimara Tengambwange-Muleba
Felix Mrema-Arusha Mjini
Rwakatare-Bukoba Mjini
Babeho-Igunga
Juma akukweti
John Mgeja-Solwa
 
ni ningependa sana kupata wale miamba wakuu yaani G48 kama sijakosea, wale wapinzani ndani ya Bunge enzi za mwalimu.
nafikiri kiongozi wao alikuwa Njeru Kisaka, si na uhakika kama sitta alikuwapo ndani, mwenye data - ni kujikumbisha tu sina jingine.

Tumtemeke Sanga na Abel Mwanga pia walikuwepo. Nyakati hizo ilikuwa raha. Walimnyima mzee wa Msasani usingizi kipindi hicho.
 
Back
Top Bottom