juve2012
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 3,343
- 2,040
ronaldo de lima
uwezo wake wa kufikiri umeishia hapo jamani msimcheke!kwani hamjaona zile answer sheet za NECTA zilivyochorwa?wako wengi humu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ronaldo de lima
Majina mazuri
Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:
Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngwanangwalu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaangw
wewe ndo umeandika wabunge wa zaman,mtu anataja akina Wangwe na Kaboyonga wa juzi tu.
Maalim Nabaan alishafarik huyo mzee alikua anatembea na baskeli licha ya kuwah kuwa mbunge na dc.
Capt Theodos J Kasapira(Ulanga Mashariki)Chief Humbi Ziota - Igunga
Richard Saimora Wambura - Maswa
Edward Barongo - Taifa (Ziwa Magharibi sasa ni Mkoa wa Kagera)
Chief Stanslaus Kasusura - Biharamulo
Joseph K. Nyerere - Taifa (Mara)
Daniel Machemba - Mwanza
Dr. Wilbert Chagula
Hussein Shekilango - Korogwe
Alphonse Rulegura - Sengerema
Stephen Nandonde - Newala
Derek Bryson - Kinondoni
Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:
Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngwanangwalu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaangw
Mkuu hata jana ni zamani pia!NSANZUGWANKO, zamani si hata 2010 ni zamani au?
Charles Kileo
Majina mazuri
ni ningependa sana kupata wale miamba wakuu yaani G48 kama sijakosea, wale wapinzani ndani ya Bunge enzi za mwalimu.
nafikiri kiongozi wao alikuwa Njeru Kisaka, si na uhakika kama sitta alikuwapo ndani, mwenye data - ni kujikumbisha tu sina jingine.
Kutyangatyanga Mpunguti