mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Sijui kipindi hiki wanetu wanajazwa Nini vichwaniKuku yai kwa maringo, wajidai hadharani
Ni Nani kwenye mtungo, aliwahi duniani
NAULIZA wenye bongo, mliopo darasani
Nani atutegulie, kitendawili Cha jadi?
Kwangwaru, jibebeSijui kipindi hiki wanetu wanajazwa Nini vichwani
Kila zama na kitabu ila kitabu ila kitabu hiki Cha uongoKwangwaru, jibebe
Ya kale dhahabuKuku yai kwa maringo, wajidai hadharani
Ni Nani kwenye mtungo, aliwahi duniani
NAULIZA wenye bongo, mliopo darasani
Nani atutegulie, kitendawili Cha jadi?
Hakika ilikua na evil spiritswakatia huo mashairi yakiendelea,mi nilikuwa nahangaila na vioo chini ya sketi
Ulikuwa unazingua Sana huu wimbo. ..na mpaka sasa unazingua wengihuu ulinifanya nichukie kuwahi shule jumatatu na alhamisi....
Nimecheka sana hii broKwangwaru, jibebe
Japo siku bahatika kulisoma lakini liko poaNyumbani kwako kuzuri, japokuwa ni pangoni
Nyumba yako ni johari, ya mwenzako sitamani,
Hata pawe pa tajiri, hapafai maisha
Nyumbani kwako johari, kwingine usitamani.
Uipende nyumba yako, utaona raha yake, Kisha penda ndugu yako, kwako apaone kwake
Dunia mahangaiko, usipende pekepeke, Nyumbani kwako johari, kwingine usitamani.
Lilikua kwenye vitabu fulani ivi ambavyo tulikua hatuvitumii shuleni , kuna mpaka ike hadithi ya "mfalme aliependa vitendawili" "Pwagu na pwaguzi" tulikua tunajiibia kuvisoma tukikumbana navyoJapo siku bahatika kulisoma lakini liko poa
mkuu hili shairi lote napataje?nimejaribu kwa mjomba google hola.Kuku yai kwa maringo, wajidai hadharani
Ni Nani kwenye mtungo, aliwahi duniani
NAULIZA wenye bongo, mliopo darasani
Nani atutegulie, kitendawili Cha jadi?
Mm nayakumbuk ya olevel CHEKA CHEKAWanangu Wa faida mpo?
.
Kuna vitu vinafanya wakati Fulani mtu mzima utamani kurudi utotoni
Ingawa ni ngumu ki nadharia (mawazo) yanaweza kukurudisha na ukajikuta Una tabasamu peke yako njiani
.
Nakumbuka moja ya vitu vilivyo ni Fanya niipende shule ili kuwa ni pamoja na kukaa makundi na kusoma hadithi mbalimbali na baadae kuulizana maswali ya hadithi husika.
.
Lakini pia ile Mwalimu anakuja ghafla darasani kisha anamchagua mwanafunzi yeyote aimbe shairi na akikosea basi viboko vinamiminwa
Basi ikawa kila unaporudi home unakariri haswa mashairi ili kesho na wewe uonekane konki
Mashairi yalikua murua Sana na haya ni mfano tu
[emoji652]
"BABA NA MAMA SALAMU
nyumbani nawatumia
Siwezi kupiga simu
Niko Mbali na dunia
Bila Shaka mwafahamu
Jela Nina tumikia
Sina Wa kumlaumu niliyataka mwenyewe"
[emoji654]
"NIKIMALIZA KUSOMA
Nitafanya kazi gani
Nipende kuwa rubani
Kazi nzuri ya heshima
Nirushe ndege angani
Inifikishe salama
Nikimaliza kusoma nitafanya kazi gani"
[emoji654]
"CHITEMO MIMI MASIKINI
uvivu wangu nyumbani
Nikiwa huru njiani nakufa
Nakufa hapa kwanini
Sadiki sasa hashiba
Chakula kingi kwa baba
Nirudi tena kwa baba nakufa hapa kwanini"
Ebwana tupia nawewe shairi lako pendwa tujikumbushe zile nyakati za dhahabu kabisa
Mimi panya ni mwepesi, hadi mnanidharau.
Vipi leo iwe kesi, mimi kuzamisha dau.
Dau kazamisha ng'ombe, ndipo likafanya pindu.
Kichwani ana mapembe, mgongoni ana nundu.
Kitambo sana
Mkuu hili shairi kama unalikumbuka lote naomba ulimalizie aiseeMimi panya ni mwepesi, hadi mnanidharau.
Vipi leo iwe kesi, mimi kuzamisha dau.
Dau kazamisha ng'ombe, ndipo likafanya pindu.
Kichwani ana mapembe, mgongoni ana nundu.
Kitambo sana
Mama wa kambo Ni mamaaisee umenikumbusha mbali sana braza
nilipewa kipande hiki kukariri ili nije kuimba siku ya kufunga shule
tulikua std 5 mwaka 2000