Tujikumbushe MV Bukoba enzi za uhai wake

Lakini vipi hakuna hata mmoja alienusurikaa labda kuwaambia nini kilitokea wenzake kupoteza maisha esp ile situation uwa tunaambiwa wanafunzi wa Rugambwa walikufa wameshikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani kukukumbusha yaliyopitaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini vipi hakuna hata mmoja alienusurikaa labda kuwaambia nini kilitokea wenzake kupoteza maisha esp ile situation uwa tunaambiwa wanafunzi wa Rugambwa walikufa wameshikana

Sent using Jamii Forums mobile app
Alinusurika mmoja aliepanda meli ile lakini alikua mbali na wenzetu kwaiyo si rahisi kujua kama ni kweli walishikana au la. Na katika wanafunzi wote watatu ndio walipatikana, mmoja alizikwa kwao na wawili walizikwa Igoma.
 
Alinusurika mmoja aliepanda meli ile lakini alikua mbali na wenzetu kwaiyo si rahisi kujua kama ni kweli walishikana au la. Na katika wanafunzi wote watatu ndio walipatikana, mmoja alizikwa kwao na wawili walizikwa Igoma.
Kumbe uenda hii story uwa sio kwel au pengn ao watatu ndo walishkana wengn hapana, lakin katika simulizi za huyu mmoja alisema kilitokea nn mpk ajali kitokeaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe uenda hii story uwa sio kwel au pengn ao watatu ndo walishkana wengn hapana, lakin katika simulizi za huyu mmoja alisema kilitokea nn mpk ajali kitokeaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Meli ilikua imejaa sana abiria pamoja na mizigo. Walipokaribia gatini ikawa haibalance hivyo wafanyakazi wa melini wakawa wanajitahidi kubalance uzito wa watu on both sides ikawa ngumu ndio ilipoanza kuyumba hatimae ikapinduka
 
B
Bwiru to mwanza centre Ni kilometa 7 vp ziwe km 30? Au umetumia newtical mile? Basi coz umbali was majini wanatumia newtical mile convert to km mkuu
 
Poleni sana kwa kushuhudia tukio la hatari.
 
Mkuu hiyo ya maiti kuelea ufukweni maeneo ya nera tena ukienda kupiga mswaki ni chai tena ile ya kuwaua virus wa corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kiliniuma sana wale wanafunzi wasichana wa Rugabwa waliokuwa wamemaliza kidato cha sita wote waliteketea; walivyoona sasa wanakufa walishikana wote kuagana kwa safari ya milele - too sad.

Hii ajali ilimtwaa Dada yangu akitoka kumaliza mitihani yake ya FVI hapo Rugambwa Secondary
 
Nakumbuka hii siku ilikuwa jumatano kama sikosei nikiwa darasa la Pili, nikiwa tayari nimeshajiandaa kwenda shule mida ya saa nne asubuhi ndipo niliposikia habari Mvunjiko kutoka Radio Free Africa, nikamuita dada angu aje asikilize.

Hakuweza kuvumilia, akapiga ukunga, watu wakaja kujua nini kimetokea, mmoja wa waliokuja alikuwa ni mke wa mwalimu wetu wa tuition alikuwa ni mhaya. Kumbe yule mama alikuwa anamsubiri mgeni wake kutoka Bukoba na alikuwa ndani ya ile meli. Yule mama alipagawa, wala hata hakufunga ofisi yake akakimbia kwenda Custom. Tuliokuwa Mwanza kipindi hiko tunajua namna mji ulivyozizima kwa Majonzi kipindi kile
 
Hahahaa inawezekana mie nimesoma nyanza from 1992-1997.na nilikuwa nakaa kona ya Nera opposite na hospital ya dr chogo,karibu na kiwanda cha pipi karanga ziwani kabisa pale!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui watanzania tuna tatizo gani na kuoverweight hata kwenye gar imeandikwa tan moja gar inabeba tan na nusu siti za watu wa tano tunakaa 9
Siyo tatizo la wwatanzania tu ...ni kote duniani hasa kwa nchi zinazoenddelea
 
Umeleta mada ya maana Sana...hongera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…