Lakini vipi hakuna hata mmoja alienusurikaa labda kuwaambia nini kilitokea wenzake kupoteza maisha esp ile situation uwa tunaambiwa wanafunzi wa Rugambwa walikufa wameshikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani kukukumbusha yaliyopitaaYes tulirudia mitihani kwa sababu ya awali ilizama katika meli. Katika darasa la watu 58 tulibaki 26. Tulirudi shule kabla hawajafungua likizo ya June. Kufanya mitihani ukiwa kwenye tension ya kupoteza wenzio na kwamba huna materials za kujisomea na wakati huo mko wachache sana shuleni ilikua changamoto lakini lilipita na maisha yanaendelea.
Alinusurika mmoja aliepanda meli ile lakini alikua mbali na wenzetu kwaiyo si rahisi kujua kama ni kweli walishikana au la. Na katika wanafunzi wote watatu ndio walipatikana, mmoja alizikwa kwao na wawili walizikwa Igoma.Lakini vipi hakuna hata mmoja alienusurikaa labda kuwaambia nini kilitokea wenzake kupoteza maisha esp ile situation uwa tunaambiwa wanafunzi wa Rugambwa walikufa wameshikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru
Mkuuu muwa utazamishaje meli?Mkuu hii meli ndo wanasemaga muwa uliizamisha si ndo hii mkuu
Kumbe uenda hii story uwa sio kwel au pengn ao watatu ndo walishkana wengn hapana, lakin katika simulizi za huyu mmoja alisema kilitokea nn mpk ajali kitokeaaAlinusurika mmoja aliepanda meli ile lakini alikua mbali na wenzetu kwaiyo si rahisi kujua kama ni kweli walishikana au la. Na katika wanafunzi wote watatu ndio walipatikana, mmoja alizikwa kwao na wawili walizikwa Igoma.
Meli ilikua imejaa sana abiria pamoja na mizigo. Walipokaribia gatini ikawa haibalance hivyo wafanyakazi wa melini wakawa wanajitahidi kubalance uzito wa watu on both sides ikawa ngumu ndio ilipoanza kuyumba hatimae ikapindukaKumbe uenda hii story uwa sio kwel au pengn ao watatu ndo walishkana wengn hapana, lakin katika simulizi za huyu mmoja alisema kilitokea nn mpk ajali kitokeaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwiru to mwanza centre Ni kilometa 7 vp ziwe km 30? Au umetumia newtical mile? Basi coz umbali was majini wanatumia newtical mile convert to km mkuu
MV Bukoba ilikuwa moja ya meli kubwa katika ziwa Victoria. Ilikuwa ina uwezo wa kusafirisha watu zaidi ya 400 na tani zaidi ya 100.![]()
Meli hii ilikuwa ikiondoka Bukoba siku za Jumatatu, Jumatano na Ijumaa. Meli hii sio kongwe kama ilivyokuwa MV Victoria iliyojengwa mwaka 1961; hii ilijengwa mwaka 1979 lakini ilikuwa chini viwango na mbovu kuliko MV Victoria.
Meli iliua watu zaidi ya 800 siku ya Jumanne ya tarehe 21 ya mwezi wa tano mwaka 1996 eneo la Bwiru KM 30 kutoka bandari ya Mwanza.
Basi nawakaribisheni mwenye kujua chochote kuhusu meli hii au alishasafiri na meli hii au aliponea chupuchupu ajali atupe experience.
Karibuni
Poleni sana kwa kushuhudia tukio la hatari.Yes tulirudia mitihani kwa sababu ya awali ilizama katika meli. Katika darasa la watu 58 tulibaki 26. Tulirudi shule kabla hawajafungua likizo ya June. Kufanya mitihani ukiwa kwenye tension ya kupoteza wenzio na kwamba huna materials za kujisomea na wakati huo mko wachache sana shuleni ilikua changamoto lakini lilipita na maisha yanaendelea.
Sheria ni ngumu ndugu yangu, watu wanaposhitakiwa ushahidi uwe solid.Aisee Bongo Nyosso... hawa Jamaa wooote walioshtakiwa waliachiwa huru.
Kweli maisha hayapo fair... View attachment 874966View attachment 874967
Mkuu hiyo ya maiti kuelea ufukweni maeneo ya nera tena ukienda kupiga mswaki ni chai tena ile ya kuwaua virus wa corona.Mv bukoba kuna kipindi miaka ya tisini mwanzoni ilikuwa inaenda musoma pia,tukiwa wadogo tuliipanda,nakumbuka kwenye meli walikuwa wanakataa watoto wachanga kulia eti itazama,sifa nyingine ilikuwa inasafiri kiupande upande kama imeelemea upande mmoja!
Siku inazama pale shule ya nyanza primary mapema tulipata taarifa,sie tuliokuwa tunakaa nera kando ya ziwa,kuna muda miili ilikuwa unaikuta ufukweni mwa ziwa ukienda kupiga mswaki "bichi"
Ilikuwa hatari sana tulimpoteza mwanafunzi mwenzetu wa nyanza ali mwarabu na familia yake wakitoka harusini,pia imam wa kwanza wa masjid al asais makongoro nae mauti yalimkuta humo!
kiliniuma sana wale wanafunzi wasichana wa Rugabwa waliokuwa wamemaliza kidato cha sita wote waliteketea; walivyoona sasa wanakufa walishikana wote kuagana kwa safari ya milele - too sad.
We jamaa umesoma nyanza na umekaa nera?!!the same to me
96 ulikua darasa la ngapi kama la pili itakua we ni classmate wangu tena from the same neighborhood!!!
Nakumbuka tulikua tunakaa kwenye kile kimlima juu(nera)kinachoangalia ziwani kuangalia zoez la uokoaji coz shule ilifungwa due to huo msiba wa kitaifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona treni watu wanapanda mkuuUna uhakika kizazi hiki kingeendelea kuipanda pamoja na kumbukumbu mbaya?
Sisi tulikuwa tunacheza mpira (one touch) tukisubiri muda wa kuingia shule mchana ghafla ndio tunasikia hiyo habari radioniNipo Std 6 kijijini. Tunajenga ukuta fulani na Mshua huku tumefungulia radio. Tunaisikia hii habari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo tatizo la wwatanzania tu ...ni kote duniani hasa kwa nchi zinazoenddeleaSijui watanzania tuna tatizo gani na kuoverweight hata kwenye gar imeandikwa tan moja gar inabeba tan na nusu siti za watu wa tano tunakaa 9
Umeleta mada ya maana Sana...hongera
MV Bukoba ilikuwa moja ya meli kubwa katika ziwa Victoria. Ilikuwa ina uwezo wa kusafirisha watu zaidi ya 400 na tani zaidi ya 100.![]()
Meli hii ilikuwa ikiondoka Bukoba siku za Jumatatu, Jumatano na Ijumaa. Meli hii sio kongwe kama ilivyokuwa MV Victoria iliyojengwa mwaka 1961; hii ilijengwa mwaka 1979 lakini ilikuwa chini viwango na mbovu kuliko MV Victoria.
Meli iliua watu zaidi ya 800 siku ya Jumanne ya tarehe 21 ya mwezi wa tano mwaka 1996 eneo la Bwiru KM 30 kutoka bandari ya Mwanza.
Basi nawakaribisheni mwenye kujua chochote kuhusu meli hii au alishasafiri na meli hii au aliponea chupuchupu ajali atupe experience.
Karibuni
Walikuja mpaka wazamiaji wa Afrika KusiniYani nimeshangaa Yani mita 80 kweli Sasa hiyo ni meli au pantoni inspita hapo