Tujikumbushe MV Bukoba enzi za uhai wake

Tujikumbushe MV Bukoba enzi za uhai wake

Nilikuja kufahamu kiundani kilichotokea siku ya ajali ya meli hii pale niliposoma hukumu ya walioshitakiwa kusababisha ajali hiyo. Miongoni mwao alikuwemo captain..

Mashahidi waliotoa ushahidi mahakamani walinipa picha kamili ya kile kilichotokea. Lilikuwa janga kubwa sana.
Nipe citation ya kesi basi na mm nisome
 
Nilikutana na Nahodha wake(Jumanne Rume Mwiru) kwa mara ya kwanza mwaka 2008.

Katika kupiga stori naye, akasema ile meli ilikuwa kubwa sana, anasema alikuwa anaiendesha(operate) akiwa amesimama maana uskani wake ulikuwa mkubwa mno hadi usimame ndio unaweza kuuzungusha.
 
Nilikutana na Nahodha wake(Jumanne Rume Mwiru) kwa mara ya kwanza mwaka 2008.

Katika kupiga stori naye, akasema ile meli ilikuwa kubwa sana, anasema alikuwa anaiendesha(operate) akiwa amesimama maana uskani wake ulikuwa mkubwa mno hadi usimame ndio unaweza kuuzungusha.
Yeye anadai sababu ya kuzama ilikua ipi?
 
Kwenye hio meli alifariki jamaa aliemfukuza kazi mzee wangu lakini Mungu alikua pamoja na mzee wangu alifanikiwa kujiajiri na mambo yakawa vizuri tuu
 
Kwa msio jua meli ilipinduka ndio ikazama, yaani kichwa chini mi guu juu!!

Hii meli ilikuwa imejaza kupita kiasi na ilikuja upande upande toka bukoba!!

Na ijulikane meli ya victoria na iyo mv bukoba zina sehemu ya kukaa abiria chini kabisa wanaziitaga third class sasa ilipo binuka watu walikua wanagonga kitako cha meli wakiwa ndani ya meli kuomba msaada, ndipo wakaja na wazo watoboe kwenye kitako ili wawatoe kumbe ndio wanaizamisha!!

Izo third class ambazo ndio wengi ujazana huko zinatisha aisee, yaani meli ikiwa inaenda mnakuwa tayari mshazama kama ikotoboka chini, maji yanaanzia kwenu!! Kunakuwa na ngazi mnaingia huko chini kabisa aisee yaani hata kama meli ina kwangua chini mnaisikia!! Wameweka siti.
 
Hii hapa mkuu.
Aisee Bongo Nyosso... hawa Jamaa wooote walioshtakiwa waliachiwa huru.

Kweli maisha hayapo fair...
Screenshot_20180923-053510.jpg
Screenshot_20180923-053319.jpg
 
kiliniuma sana wale wanafunzi wasichana wa Rugabwa waliokuwa wamemaliza kidato cha sita wote waliteketea; walivyoona sasa wanakufa walishikana wote kuagana kwa safari ya milele - too sad.

Despondencing
 
Ilikuaje mkuu? Yani alikua nani na alitoboa vp

!
!
Meli Ilipinduka Juu Chini Chini Juu Kama Hivyo. Akaja Sijui Alitokea Wapi Na Cheo Chake Kilikuwa Kipi, Alipanda Na Mtungi Wa Gas Pale Juu Akaanza Kutoboa Ili Atoe Watu. Baada Ya Kutoboa Upepo Uliokuwa Unazuia Meli Isizame Ukatoka Meli Ikazama Mazima. Lilikuwa Wazo La Kijinga Mno Kuwahi Kutokea.
 
!
!
Meli Ilipinduka Juu Chini Chini Juu Kama Hivyo. Akaja Sijui Alitokea Wapi Na Cheo Chake Kilikuwa Kipi, Alipanda Na Mtungi Wa Gas Pale Juu Akaanza Kutoboa Ili Atoe Watu. Baada Ya Kutoboa Upepo Uliokuwa Unazuia Meli Isizame Ukatoka Meli Ikazama Mazima. Lilikuwa Wazo La Kijinga Mno Kuwahi Kutokea.
Labda kulikua hakuna namna nyingine mbadala ya kuokoa watu?
 
Aisee Bongo Nyosso... hawa Jamaa wooote walioshtakiwa waliachiwa huru.

Kweli maisha hayapo fair... View attachment 874966View attachment 874967
Mkuu mawakili wa serikali ni tatizo....
Yani makosa 159 lakini wakashindwa kuwapata na hatia...

Too bad, huyo Feleshi aliyekua anaendesha iyo kesi ndo akaja kua DPP!
Sasa hivi ni Jaji Kiongozi...so unaweza kuona system ilivooza
 
Kwa msio jua meli ilipinduka ndio ikazama, yaani kichwa chini mi guu juu!!

Hii meli ilikuwa imejaza kupita kiasi na ilikuja upande upande toka bukoba!!

Na ijulikane meli ya victoria na iyo mv bukoba zina sehemu ya kukaa abiria chini kabisa wanaziitaga third class sasa ilipo binuka watu walikua wanagonga kitako cha meli wakiwa ndani ya meli kuomba msaada, ndipo wakaja na wazo watoboe kwenye kitako ili wawatoe kumbe ndio wanaizamisha!!

Izo third class ambazo ndio wengi ujazana huko zinatisha aisee, yaani meli ikiwa inaenda mnakuwa tayari mshazama kama ikotoboka chini, maji yanaanzia kwenu!! Kunakuwa na ngazi mnaingia huko chini kabisa aisee yaani hata kama meli ina kwangua chini mnaisikia!! Wameweka siti.
Sasa mkuu kama kichwa chini miguu juu....ina mana sasa 3rd class walikua juu?

Ilikaa kwnye maji siku ngap mpaka wakaja kupata msaada?
 
Back
Top Bottom