Tujikumbushe na Majizi ya Escrow

Tujikumbushe na Majizi ya Escrow

Kanye2016

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
2,904
Reaction score
3,006
Wakuu Habari!

Leo nimeona tujikumbushe kidogo na lile sakata la Escrow jinsi watu walivyoifaidi na wanaoendelea kuifaidi nchi hii bila kuguswa.

Kipindi ambacho Bunge ni Bunge hasa sio hili la sasa lilopoa kabisa. Inasikitisha Ila ndo vile tena Aluta kontinua.





 
Mkombozi benki ilipitishwa billion ngapi? Hili kanisa katoliki limescale fedha za wizi tu
 
Watu kama akina Lisu walinifanya nihisi sina kipawa cha kuwa mbunge, lkn hawa wasasa wananifanya nione ubunge ni kazi rahisi sana
 
Ila yule jamaa wa msoga ametupa hasara itakayogharimu vizazi na vizazi ngosha yeye alipewa akakataa wakataka ku ngoja niishie hapo.
 
Back
Top Bottom