Tujikumbushe Nicknames za Wachezaji wetu wa Bongo

Tujikumbushe Nicknames za Wachezaji wetu wa Bongo

1.Makumbi Juma...homa ya jiji
2.Kelvin Yondan...Vidic
3.Nadir Haroub...Canavaro
4.Said Mwamba...Kizota
5.Mohamed Mwameja. Tone
6.Hamis Gaga...Gagarino
7.John Boko Adebayo
8.Mao Mkami...ball dancer
9.Jamuhuri Kiwelu...Julio


Umenikumbusha mbali mkuu, Said Mwamba Nassoro 'Kizota' unajua kwann aliitwa Kizota?
 
270139_10150390672129498_673909497_10026318_5678922_n.jpg


Mkuu Nyani Ngabu nimekuvulia kofia. Hao bila shaka ni Tp Lindanda
 
Last edited by a moderator:
- Abdul maneno "KIbavu" yanga
- Hamis Yusufu "waziri wa ulinzi"
- Alfonce Modest "moto pamba pasi"
- waziri Mahadhi bin Jabir "mandieta"
- Mohamed Husein "machinga"
- Abuu Ramadhan "Amokachi" (sijui yuko wapi huyu jamaa, alikua bonge la fowad


Amri Said 'Stam'
Ulimboka Mwakingwe 'VCD'
Juma Mkambi 'Jenerali'
 
Sanifu Lazaro ''Tingisha''

Maalim Salehe ''Romario''

Haruna Moshi ''Boban''

Bakari Malima ''Jembe Ulaya''

Nonda Shaban ''Papii''

Mwanamtwa Kiwhelu ''Dali Kimoko''

Edward Chumila ''Eddo Boy''

Makumbi Juma ''Homa ya Jiji''

Mohamed Hussein ''Mmachinga au Chinga One''

George Lukas ''Gaza'


Mwanamtwa Alikuwa anafananishwa na mpiga gitaa maarufu toka Kongo, Dali Kimoko
 
Back
Top Bottom