THOMASS SANKARA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,055
- 4,695
Yaaan sana aisee long timeRichie alikuwa noma alimtongoza monalisa akakataliwa basi akakaa mlangoni usiku kucha ,dah wajinga ilitu touch yaani nusu watu tuandamane ili jamaa likubaliwe
Ni rafiki na dida ni mashangingi tu mjini skuhizi kanenepa anaonekana sana kwenye mavigodoro,masherehe nadhani ni mpambaji or something,ila ni msomi ana kadegree na post graduate ya dipromasiaHuyo Sinta kapotelea wapi na ana mishe gani?
Dadeki ziko wapi siku tamu zile afuu baada ya kupiga wali maharage na juisi ya kuchanganyia maji na pakti ya unga wa juisi,kwa mbaali unasikia vitimbi ya masakuu inaanzaYaaan sana aisee long time
Umenikumbusha mbali sana hiyo scene naikumbuka sana
Monalisa asubuhi anafungua mlango anakuta richie kalala mlangoni.
Marry water.If my memory is correct ni pale karibu na ilipokuwa Spanish tiles ukitoka Mwananyamala ukiwa unakutana na njia yaAlhasn Mwinyi...I stand to be corrected
Mkuu hiyo ni kwenye movie au ni kweli? Wakati Nature anaimba wimbo wa inaniuma sana nilikuwa mdogo basi nikahisi ni kweli kuwa demu wake ana ngoma! Nilikuwa nasikitikaga nikiusikia!Richie alikuwa noma alimtongoza monalisa akakataliwa basi akakaa mlangoni usiku kucha ,dah wajinga ilitu touch yaani nusu watu tuandamane ili jamaa likubaliwe
Enzi hizo tukiwa makinda tunapendaga manyimbo ya amsha amsha ya bongo fleva basi nilikuwa naonaga nyimbo za Dando za kichokochoko tu na nilikuwa nikisikia inapigwa nasepa zangu au nabadili station. Sijawahi kupenda nyimbo zake mpaka kesho. Halafu nilikuwa namuona kama kajamaa fulani hivi kahovyo hovyo na ile kusuka suka yake nywele nilikuwa namuona ka shoga. Si unajua tena utoto wa kumezeshwa kuwa ukiona mwanaume amekaa kaa kifulani hivi basi jua shoga!Marry water.
Ok.
Asante mkuu.
Nilikuwa sijui. Huyu jamaa alipopata ajali nilikuwa baharia nchi za watu nikawa nasikiliza bbc swahili
Halafu utofautishe na huuo upumbavu wakooooWe mwana hebu angalia uthamani wa utu wako....
Hakuwa ana ngoma ila alikuwa anamzushia kumkomoa alipoenda kuzindua mwanza walimrushia chupa staji wakijifanya wana mpenda mfalme wa mwanza (Mtoto wa dandu)Mkuu hiyo ni kwenye movie au ni kweli? Wakati Nature anaimba wimbo wa inaniuma sana nilikuwa mdogo basi nikahisi ni kweli kuwa demu wake ana ngoma! Nilikuwa nasikitikaga nikiusikia!
Mimi hadi sasa hivi mwanaume akisuka au akitoga sikio namuona ni shoga shupe tuEnzi hizo tukiwa makinda tunapendaga manyimbo ya amsha amsha ya bongo fleva basi nilikuwa naonaga nyimbo za Dando za kichokochoko tu na nilikuwa nikisikia inapigwa nasepa zangu au nabadili station. Sijawahi kupenda nyimbo zake mpaka kesho. Halafu nilikuwa namuona kama kajamaa fulani hivi kahovyo hovyo na ile kusuka suka yake nywele nilikuwa namuona ka shoga. Si unajua tena utoto wa kumezeshwa kuwa ukiona mwanaume amekaa kaa kifulani hivi basi jua shoga!
Mkuu mpaka sasa utakuwa unamiliki simu ya G-TideEbhanaa eee daaah hapo tupo mikoani tunawaza dar tutafika lini? Enzi izo tunanunua kanda ambazo zina bongo fleva mchanganyiko, nature nilikua namkubali mpaka basi, hio inaniuma sanaa hadi leo nnayo kwenye simu yangu.
Tunaweza sema sinta alishushwa na Wema au siyo?Ila sintah alitesa jamani
Kweli kila zama na kitabu chakee
Dadeki ziko wapi siku tamu zile afuu baada ya kupiga wali maharage na juisi ya kuchanganyia maji na pakti ya unga wa juisi,kwa mbaali unasikia vitimbi ya masakuu inaanza
Nikifikiriiiaa huaga ninalia dem wang amepima amekutwa anangoma"''unasemaaaa unakwenda shoting kumbeeee unakwenda kufanya shopping ...''
Mkuu mpaka sasa utakuwa unamiliki simu ya G-Tide
Mtoto wa Mwalubandu,Nature nae du ,huku pia Inspekta Harun na yake
Baada ya kubwagana na Nature, akaenda Uganda kusoma na kipindi chote wakati ana-hustle na shule, ali-keep low profile to the point wengi wakawa hawafahamu yupo wapi!Mbn umarufu wake ulishuka gafla tatzo nn