THOMASS SANKARA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,055
- 4,695
Yaaan sana aisee long timeRichie alikuwa noma alimtongoza monalisa akakataliwa basi akakaa mlangoni usiku kucha ,dah wajinga ilitu touch yaani nusu watu tuandamane ili jamaa likubaliwe
Umenikumbusha mbali sana hiyo scene naikumbuka sana
Monalisa asubuhi anafungua mlango anakuta richie kalala mlangoni.