ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,326
- 8,505
Nina alikuwa black beauty, macho yake bana lol.....[emoji8] alimsumbua sana Dr cheniKulikuwa na Nina, na Cathy duuh kumbe Bongo movie wameanza kitambo nao..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina alikuwa black beauty, macho yake bana lol.....[emoji8] alimsumbua sana Dr cheniKulikuwa na Nina, na Cathy duuh kumbe Bongo movie wameanza kitambo nao..
Hahah hio nyimbo naijua,,, nimeisahau jina tu ila almost nyimbo nyingi za nature naziskilizaga zina mistari ya kihuni huni na inachekesha sana. Natamani nature arudi gemuni na style ile ile ya rap katuni.Necha ana ile nyimbo yake..anasema " akatokea jamaa sijui anautahira gani.."
Yaani huwa nacheka sana mistari yake ilikuwa imekaa kiswahili sana...yaani lazima ufurahi....
Juma alichange alivyotoa mgambo lakini Bado alikuwa na love...kutoka kwa fans...kosa lilikuwa kuendelea na style ile ile ya mgambo ikamfanya asiwe kibishara...+ bifu na kina Tale wakambania ktk media na isingekuwa umaarufu wake hata zile show asingepata
Hivi alibamba huyu mmama eeh?Ila sintah alitesa jamani
Kweli kila zama na kitabu chakee
Ndo nini maana akeHawezi kukuelewa
Huyo Nina katoboa life kinoma...Kulikuwa na Nina, na Cathy duuh kumbe Bongo movie wameanza kitambo nao..
Jicheki picha zako za enzi hizo utaelewa kwann walikuwa wakali. Nimeshawahi kujikana kwenye pichaMademu tuliokuwa tunawaona wakali zamani kwenye TV ukiwaangalia kwenye marudio ya hizo tamthilia zao za nyuma unamuona mlugaluga sana wakati kipindi hicho alikuwa anakamata,labda wakati huu kuna kila dizaini ya urembo so mademu wengi wakare hata wa uswazi.
Nakumbuka enzi hizo, pull table kwa sana pale bonga.Kitambo sna mitaa ya kwetu ilala sharif shamba kuna chuo cha dsj cha mambo uandishi wa hbr mtt sinta alikuwa anasoma pale ilikuwa hatari ikifika launch time bonga bar full kujibwaga...
Endelea kuponda Mali mtoto Mungu yupo atakusaidia!Halafu utofautishe na huuo upumbavu wakoooo
Kwa kucheza dili na magazeti waweze kuharibu jina
Haya sasa hili ni suala lako mamaaa usimsingizie ninaaaa
Akaja norahTunaweza sema sinta alishushwa na Wema au siyo?
Sana Wema akasome tena hakuna IG wala jf!!!!Hivi alibamba huyu mmama eeh?
Nilimuona kwenye hukumu ya kesi ya lulu, kajikwatua yaani nilimuona ni wa kawaida kinoma!
Hakuna km sintah [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kwa sasaCintah alipigwa denda hadi gari likagoma kwenda... hii line ipo kwenye wimbo gani...
Hivi kwasasa nani JLO wa sasa kama ilivyokuwa kwa Cintah
Sure... but best couple yangu ever ya Bongo mamovie weka na fleva... ni Complex na vivi... na bora walifariki pamoja.Hakuna km sintah [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kwa sasa
Single inaniuma sana!
Liwema bana..chenga sanaSana Wema akasome tena hakuna IG wala jf!!!!
Yaaaan umaarufu wake ulikua unamtosha ata kumilikia jet......kaishia kunjunjwa na vimodo vya bongo vilivyozd kuishusha thamani yake.Liwema bana..chenga sana
Nina lile jicho lilikuwa hatari tupu...Kulikuwa na Nina, na Cathy duuh kumbe Bongo movie wameanza kitambo nao..