Tujikumbushe safari ya yanga 8 bora CAF confederation cup 2016

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
369
Reaction score
747
Kwa kuwa Simba wameingia nane bora ya Caf confederation cup si vibaya tukawaambia kuwa wao siyo wa kwanza kuingia na Mwaka 2016 Dar es salaam Young Africans waliingia nane bora kisha yakapangwa makundi mawili


katika hatua hii Yanga walibahatika kumchapa MWARABU Mo Bejaia ya Algeria bao moja bila hapo Taifa, goli la kamusoko dakika ya 3 (Bila kupuliza madawa, bila paka, bila tochi)

Mo Bejaia ambaye ndiye aliyekuja kufika hadi fainali na TP Mazembe

HITIMISHO
Tunawaombea Simba waweze kuvuka hatua ya nane bora.
 
Simba kaishamfanfa al ahly hapo taifa, sio kucheza tu fainali akaenda kubeba ndoo yenyewe na sio confederation ni CHAMPIONS LEAGUE kabisa. Mnyama alimaliza nafasi ya kwanza kwenye kundi. Sio huyo aliyeburuza mkia.

Naiheshimu yanga, sasa iheshimuni simba alichokifanya, mna nafasi ya kufanya vizuri kuliko simba kama mkiamua kuachana kelele zisizo na msingi.
 
Wee hiyo sio quarter final, ni group stage, hebu tutoleee upuuzi wako hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbukumbu zinaonyesha Yanga iliishia group stage kwa kushika nafasi ya mwisho katika kundi akiwa na point 4 magoli manne na kufungwa tisa. Simba imevuka group stage kwa kushika nafasi ya pili katika kundi na kuingia Robo Fainali ikiwa na point 10, magoli 9 na kufungwa 7. Kwa ufupi Yanga haikuvuka group stage, na katika miaka michache iliyofanikiwa kucheza gropu stages, mara zote imekuwa ikishika mkia, huku Simba haijawahi kushika mkia

 
Yaani mafaniko ya Simba Kimataifa yanawafanya muwe na akili za namna hii.

Hakuna robo fainali ya makundi duniani.
 
Haya kawahi kunywa uji ulale sasa.
 
Kadiri Siku zinavyosonga ndivyo Akili Za Wana Utopolo zinazidi kuwa finyu.....l Kwa Akili hizi Wanaweza kuvuka Barabara bila kugongwa Kweli.?
 
Yanga mtakuja kuchanganyikiwa kujiringanisha na Mnyama mkali Simba, si mpambane na hali yenu nyie ni vibonde kimataifa, nyie ni wa mchangani tu
 
Sema tu Yanga hatuna maneno mengi kama wale vijana wa Moo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…