Tujikumbushe: Series hii ya udogoni "journey to the west"

Tujikumbushe: Series hii ya udogoni "journey to the west"

Kwa wale wa kishua tuwaite kipindi hicho ITV walikuwa wanaicheki hii series journey to the west ..

Ilikuwa maarufu hii ilikuwa ni story ya kichina inayomuhusu master mmoja jina lake aliitwa Chen..ama sisi tulimuita "shivo"..
Mtu huyu alikuwa ni mtoto ambaye alitelekezwa kwa kuwekwa kwenye kitenga majini .na hatimaye mwalimu mmoja wa kibudha na mmiliki wa temple akamuokota na kumlea kwa misingi ya dini yao hiyo ya budha .

Mtoto akakua na akawa lecture ama tu muhubiri wa scripture hizo za kibudha

Hatimaye avalokitesvala " god of mercy" anashuka chini duniani kutafuta mtu mmoja msafi wa roho na mfuatiaji mzuri wa scripture za Buddha ili amtume safari ya mbali kwenda huko west kufata scripture ili baadae aje kuisambaza hiyo scripture (mahubiri) dunia nzima ijae watu wema

Lakini master huyu mdogo hana uwezo wa kupambana na monsters walioko huko njiani ni wengi na safari ni ndefu ilichukua takribani miaka 25 njiani.

Hatimaye anapatiwa walinzi watakaomlinda wakati wa safari ,kumtafutia chakula.

Mlinzi wa kwanza alikuwa ni monkey king jina lake halisi ni "wu Kong".

Huyu alizaliwa kwenye jiwe Na akafundishwa na master mmoja wa ki taoist ambapo akapewa transformation 72 za kujibadilisha .

Aliwahi kupewa kazi huko mawinguni ya kutunza farasi na akaacha na kuona ni dharau .
Kisha akala matunda ya bustane ya mfalme (immortal) ukila matunda hayo utaishi milele .tunda moja miaka 500 mengine miaka 1000

Alivuruga sana palace ya mfalme ( jade emperor)

Na wanajeshi wote angani walimshindwa ndipo tatagatha Buddha mkuu mwenyewe alipomdhibiti na kumfunga kwenye mawe chini na akasubiri kwa miaka 500 ndipo master yule apite hapo kuelekea safari yake ya kuelekea west .kuja hapo kusoma karatasi juu na kumtoa ..safari inaanza.

Mlinzi wa pili huyu ni Marshal tiang ama Piggie kama tunavyomuita.

Ana transformation 32 tofauti.

Alitupwa duniani baada ya kulewa kulipokuwa na sherehe huko mawinguni na yeye kama official akamtamani mke wa mfalme na kutupwa duniani akatokea ndani ya tumbo la nguruwe.

Udhaifu wake ni ulafi sana anaweza kula hata Mara 60 kwa siku.

Anapenda warembo.

Wa mwisho ni sha wuneng huyu alikuwa monster wa mto mmoja na akawa nae ni moja ya walinzi wa tsuang tsang ama master. Shivo

Inaaminika nyama ya huyu shivo ni atayeila atakuwa immortal ,ataishi milele..

Hii inafnya changamoto iwe kubwa njiani kwani kila monster anataka kuila.

Master huyu pia ana sifa ya ubishi japo ni kipanga kweli kweli ana uwezo wa kusoma vitabu 60 na kuvikariri vyote hapo hapo...!
Kuna series ilkua inaoneshwa kama sikosei ilku black and white,ndani ya kipindi cha watoto wetu
Jamaa alkua sjui magician ila alkua ana fanya tricks kbao kama kua na antenna kichwani, kupandda mbegu akaziamuru kwa kidole ziote na kukua mti kbsa mudaa uo uo etc,naitafuta kweli jina lake
 
Kuna series ilkua inaoneshwa kama sikosei ilku black and white,ndani ya kipindi cha watoto wetu
Jamaa alkua sjui magician ila alkua ana fanya tricks kbao kama kua na antenna kichwani, kupandda mbegu akaziamuru kwa kidole ziote na kukua mti kbsa mudaa uo uo etc,naitafuta kweli jina lake
Sikumbuki kabisa mkuu james corney atakujibu labda anakumbuka
 
Mbali sanaaaa.....

Wakaja kuuwa show na jumong
 
Kuna series ilkua inaoneshwa kama sikosei ilku black and white,ndani ya kipindi cha watoto wetu
Jamaa alkua sjui magician ila alkua ana fanya tricks kbao kama kua na antenna kichwani, kupandda mbegu akaziamuru kwa kidole ziote na kukua mti kbsa mudaa uo uo etc,naitafuta kweli jina lake
My Favourite Martian.jpg
 
Kwa wale wa kishua tuwaite kipindi hicho ITV walikuwa wanaicheki hii series journey to the west ..

Ilikuwa maarufu hii ilikuwa ni story ya kichina inayomuhusu master mmoja jina lake aliitwa Chen..ama sisi tulimuita "shivo"..
Mtu huyu alikuwa ni mtoto ambaye alitelekezwa kwa kuwekwa kwenye kitenga majini .na hatimaye mwalimu mmoja wa kibudha na mmiliki wa temple akamuokota na kumlea kwa misingi ya dini yao hiyo ya budha .

Mtoto akakua na akawa lecture ama tu muhubiri wa scripture hizo za kibudha

Hatimaye avalokitesvala " god of mercy" anashuka chini duniani kutafuta mtu mmoja msafi wa roho na mfuatiaji mzuri wa scripture za Buddha ili amtume safari ya mbali kwenda huko west kufata scripture ili baadae aje kuisambaza hiyo scripture (mahubiri) dunia nzima ijae watu wema

Lakini master huyu mdogo hana uwezo wa kupambana na monsters walioko huko njiani ni wengi na safari ni ndefu ilichukua takribani miaka 25 njiani.

Hatimaye anapatiwa walinzi watakaomlinda wakati wa safari ,kumtafutia chakula.

Mlinzi wa kwanza alikuwa ni monkey king jina lake halisi ni "wu Kong".

Huyu alizaliwa kwenye jiwe Na akafundishwa na master mmoja wa ki taoist ambapo akapewa transformation 72 za kujibadilisha .

Aliwahi kupewa kazi huko mawinguni ya kutunza farasi na akaacha na kuona ni dharau .
Kisha akala matunda ya bustane ya mfalme (immortal) ukila matunda hayo utaishi milele .tunda moja miaka 500 mengine miaka 1000

Alivuruga sana palace ya mfalme ( jade emperor)

Na wanajeshi wote angani walimshindwa ndipo tatagatha Buddha mkuu mwenyewe alipomdhibiti na kumfunga kwenye mawe chini na akasubiri kwa miaka 500 ndipo master yule apite hapo kuelekea safari yake ya kuelekea west .kuja hapo kusoma karatasi juu na kumtoa ..safari inaanza.

Mlinzi wa pili huyu ni Marshal tiang ama Piggie kama tunavyomuita.

Ana transformation 32 tofauti.

Alitupwa duniani baada ya kulewa kulipokuwa na sherehe huko mawinguni na yeye kama official akamtamani mke wa mfalme na kutupwa duniani akatokea ndani ya tumbo la nguruwe.

Udhaifu wake ni ulafi sana anaweza kula hata Mara 60 kwa siku.

Anapenda warembo.

Wa mwisho ni sha wuneng huyu alikuwa monster wa mto mmoja na akawa nae ni moja ya walinzi wa tsuang tsang ama master. Shivo

Inaaminika nyama ya huyu shivo ni atayeila atakuwa immortal ,ataishi milele..

Hii inafnya changamoto iwe kubwa njiani kwani kila monster anataka kuila.

Master huyu pia ana sifa ya ubishi japo ni kipanga kweli kweli ana uwezo wa kusoma vitabu 60 na kuvikariri vyote hapo hapo...!
Hii ilinifanya niwe naenda kanisani misa ya kwanza ili kuiwahi yenyewe tu. Nakumbuka ilikua ikioneshwa itv kila jpili mida ya saa tatu au nne asubuhi
 
Back
Top Bottom