Tujikumbushe vifo vilivyotokea Morogoro, JB na wenzake walipopigwa risasi na kufa papo hapo

Tujikumbushe vifo vilivyotokea Morogoro, JB na wenzake walipopigwa risasi na kufa papo hapo

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Kama miaka kumi iliyopita kuna wafanyabiashara wa madini walikuwa nane walikuwa wanaenda Mahenge walipofika nanenane walimiminiwa risasi na Polisi wakidhaniwa ni majambazi akiwemo aliyekuoa mfadhili wa bendi nyingi za muziki mjini Darisalama aliyeitwa JB

Mnaokumbuka vizuri tukio hili mtukumbushe.
 
Kama miaka kumi iliyopita kuna wafanyabiashara wa madini walikuwa nane walikuwa wanaenda mahenge walipofika nanenane walimiminiwa risasi na polisi wakidhaniwa ni majambazi akiwemo aliyekuoa mfadhili wa bendi nyingi za muziki mjini darisalama aliyeitwa JB Mnaokumbuka vizuri tukio hili mtukumbushe.
Hawa ni wale wa Zombe au ni wengine
 
JB mzeee wa EXTRA BONGO enzi hizo Hapo Dar West imebamba, Meeda iko on Fire, Ukienda Vingunguti unamkuta Mama Sakina anakimbiza. Ukienda Tabata unamkuta Mzee Proffesa Mushoro yuko Rufita Night Park.

Daaaah Tumezeeeka aysee tuache vijana wale bata sasa. RIP Pedeshee JB uliondoka na radha ya Muziki wa Dansi maaaana ulifanya Muumin, Choki, RIP Banza wawe na thamani
 
JB mzeee wa EXTRA BONGO enzi hizo Hapo Dar West imebamba, Meeda iko on Fire, Ukienda Vingunguti unamkuta Mama Sakina anakimbiza. Ukienda Tabata unamkuta Mzee Proffesa Mushoro yuko Rufita Night Park.
Daaaah Tumezeeeka aysee tuache vijana wale bata sasa. RIP Pedeshee JB uliondoka na radha ya Muziki wa Dansi maaaana ulifanya Muumin, Choki, RIP Banza wawe na thamani
Fungua code mkuu wengine hatukuwepo
 
Yan
JB mzeee wa EXTRA BONGO enzi hizo Hapo Dar West imebamba, Meeda iko on Fire, Ukienda Vingunguti unamkuta Mama Sakina anakimbiza. Ukienda Tabata unamkuta Mzee Proffesa Mushoro yuko Rufita Night Park.
Daaaah Tumezeeeka aysee tuache vijana wale bata sasa. RIP Pedeshee JB uliondoka na radha ya Muziki wa Dansi maaaana ulifanya Muumin, Choki, RIP Banza wawe na thamani
Yani wewe kweli kabisa ulikuwa unamfahamu vema kongole mzee.
 
Mkuu hawa ni wengine kabisa wala hawahusiani na kina abdala zombe hawa waliuwawa morogoro mitaa ya nanenane Walipigwa risasi nyingi sana na waliuwawa wote saba acha tu mkuu.
Sad!!!

Watu wa Mahenge wameandamwa kulikoni!
Nakumbuka na hao wa zombe walikuwa ni wa huko na wote walikuwa wafanyabiashara ya madini
 
Back
Top Bottom