Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Haa Kama Stephen Wasira TysonNilimkuta maeneo hayo amefunga vishikizo vya shati vimepishana pishana kichekesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haa Kama Stephen Wasira TysonNilimkuta maeneo hayo amefunga vishikizo vya shati vimepishana pishana kichekesho
Huyu mtoa mada katoa taarifa zisizo za kweli, JB na wenzake walikuwa majambazi kweli na waliwekewa mtego palepale Moro walipotaka kuiba sehemu. Hawakutokea MahengeAjabu sana na ndio tunawategemea ktk kutulinda
Sawa kabisa huyo huyo juma balatoz almaarufu JB.
Na huo ndio ukweriii. Kosa lao ni kuonekana kuwa na pesa nyingi na kuwa na matumizi yenye viashiria vya wizi kutokana na intelijensia na weledi wa wale jamaa.Sad!!!
Watu wa Mahenge wameandamwa kulikoni!
Nakumbuka na hao wa zombe walikuwa ni wa huko na wote walikuwa wafanyabiashara ya madini
Hahaha kuna codes gani sasa hapo?!Fungua code mkuu wengine hatukuwepo
Ukifungua hii code pia ukafungue code ya Kombe JasusiKama miaka kumi iliyopita kuna wafanyabiashara wa madini walikuwa nane walikuwa wanaenda Mahenge walipofika nanenane walimiminiwa risasi na Polisi wakidhaniwa ni majambazi akiwemo aliyekuoa mfadhili wa bendi nyingi za muziki mjini Darisalama aliyeitwa JB
Mnaokumbuka vizuri tukio hili mtukumbushe.
... uliingia mjini lini?Fungua code mkuu wengine hatukuwepo
Tofauti wa Zombe ilikuwa buguruniHawa ni wale wa Zombe au ni wengine
Ha haaNilimkuta maeneo hayo amefunga vishikizo vya shati vimepishana pishana kichekesho
Sio sinza tena?Tofauti wa Zombe ilikuwa buguruni
Hawa wa Zombe kuwauwa waliwaulia msitu wa Pande ambao uko Mbezi ya Kimara ila taarifa waliyoiandaa wao pllolisi walisema walijibizana kwa risasi karibu na shule ya msingi Mugabe iliyopo Sinza.Sio sinza tena?
Huko ndio ilikuwa finalSio sinza tena?
Mwaka huo nilikuwa kidato cha nne Kigurunyembe secondary🙄Dah nimezeekaIlikuwa mwaka 2004 . Almost 18 years ago so sio miaka Kumi iliyopita. Edit uzi wako
Jb hakuwa jambazi alikuwa tapeli mpigaji siku hiyo inasemekana alikuwa Na mpunga mrefu Sana Na polisi walikuwa wanajua so wakaamua kumuua Na kuchukua mzigo wake Kisha wakamtangaza yeye kuwa Ni jambaziNakumbuka nilihudhulia mazishi ya JB miaka hio ilikua ni Musoma na watu wa huko wanajua kabisa jamaa alikua ni Jambazi
Jb hakuwa jambazi alikuwa tapeli mpigaji siku hiyo inasemekana alikuwa Na mpunga mrefu Sana Na polisi walikuwa wanajua so wakaamua kumuua Na kuchukua mzigo wake Kisha wakamtangaza yeye jambaziNakumbuka nilihudhulia mazishi ya JB miaka hio ilikua ni Musoma na watu wa huko wanajua kabisa jamaa alikua ni Jambazi
Ebaana superbug Acha uduwanzi chalii yangu. Lazima uniue timiza ahad yako ya kuniua baada ya kuwaibia TV chogo 1988.Kama miaka kumi iliyopita kuna wafanyabiashara wa madini walikuwa nane walikuwa wanaenda Mahenge walipofika nanenane walimiminiwa risasi na Polisi wakidhaniwa ni majambazi akiwemo aliyekuoa mfadhili wa bendi nyingi za muziki mjini Darisalama aliyeitwa JB
Mnaokumbuka vizuri tukio hili mtukumbushe.
Police kwa kipindi hicho walishitakiwa?Mkuu hawa ni wengine kabisa wala hawahusiani na kina Abdala Zombe hawa waliuawa Morogoro mitaa ya Nanenane Walipigwa risasi nyingi sana na waliuawa wote saba acha tu mkuu.