Tujikumbushe vifo vilivyotokea Morogoro, JB na wenzake walipopigwa risasi na kufa papo hapo

Wako wapi , usikute nao marehemu. Mjinga mmoja anatapatapa Mara achimbe kaburi, juzi kaagiza jeneza full kubabaika na bado shenzy

Damu ya mtu ni hatari sana....yote ni wenge anavyofanya ...hajitambui...Tunda asikae nae karibu anaweza akamfumua ubongo.
 
Ngwizukulu jilala nilikua namsimkia saana na kumsoma enzi hizo nakuwa kwenye magazeti ya maisha
Ebu mkuu tujuze kuhusu kifo chake ilikuwaje?

Alimuoa dada muingizaj miaka iyo Nina nafikir......hawa jamaa walikua ni majambaz matapeli na waganga waongo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
JB nje ya Uganga alikuwa Jambazi Yule Naona kuna watu wanamtetea Humu
 
Mtwara......!!!!
Zombe scenario
Hamza msomali
 
JB nje ya Uganga alikuwa Jambazi Yule Naona kuna watu wanamtetea Humu
Alikuwa ni jambazi tu ile sijui ufadhili wa mziki ni zuga tu
Na ktk wenzake pia waliyouliwa
Alikuwepo jamaa mmoja anaitwa simba alikuwa mbavu hivi naye aliuliwa....huyo alikuwa master wa kuvunja milango ya chuma kwa kutumia/kuchoma gesi

Ova
 
Alikuwa ni jambazi tu ile sijui ufadhili wa mziki ni zuga tu
Na ktk wenzake pia waliyouliwa
Alikuwepo jamaa mmoja anaitwa simba alikuwa mbavu hivi naye aliuliwa....huyo alikuwa master wa kuvunja milango ya chuma kwa kutumia/kuchoma gesi

Ova
Nafikili kuna watu hawamjui huyu jamaa tulikuwa tunakutana Sehemu na tena alitaka kunishilikisha tupige dili moja Mimi nikakataa sababu Kwanza nilikuwa na umri wa miaka 14
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…