Tujikumbushe Wachezaji ambao ni ndugu Katika Soka!

Ni kweli Mkuu! Walikuwa wanasafiri kwa Treni afu behewa lao limeandikwa KIBOKO YA VIGOGO! Pale JAMHURI Morogoro, Mnyama alipigwa 4-2! Hao akina MASENGA tayari washamtoa MASENGA mwengine anachezea MTIBWA na alicheza ile Fainali ya U20 v Azam FC ambayo MTIBWA akaibuka bingwa!
Umenikumbusha mtu huyu hamad said masenga waqt huo reli kweli ilikuwa kiboko ya vigogo bila kumsahau Ali malilo loketo au kidudumtu.
 
Mm nliwajua wa4! wengine ni BONIFACE NJOHOLE (Reli, Morogoro) RIP na mwingine RENATUS NJOHOLE (Yupo Uswizi) kwa sasa! Huyo Boniface Njohole alichezea Reli ikiwa na akina David Mihambo, Kilambo, Duncan Mwamba, Peter Mjata, Madundo Mtambo (Prof. SUA), MWANAMTWA, Magosso na wengineo
Nico na Deo Njoole walikuwa kama watatu hivi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana. Shomari Kapombe ni mtoto wa mchezaji wa zamani kutoka Morogoro, SALUM KAPOMBE
Lila Shomari na Alan Shomari, mmoja alikuwa Simba mmoja Yanga.

Ila sijui kama huyu Shomari Kapombe naye ni uzao wa hawa?
 
Hapana. Shomari Kapombe ni mtoto wa mchezaji wa zamani kutoka Morogoro, SALUM KAPOMBE
Ahsante kwa taarifa, na vipi kina Lila Shomari na Alan Shomari kama una taarifa yoyote?
 
huyo Simeon na Philiph inzaghi ni MTU mmoja hakuna wawili
 
Sunday Manara na Kitwana Manara na Kassim Manara, Peter Tino, Emma Peter , Gebo Peter, Abassi Dilunga, Maulid Dilunga, Haidary Abeid na Khalid Abeid, Issa Athumani Na Kassongo Athuman , Madaraka Selemani na Iddi Selemani nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…