Tujikumbushe wachezaji waliotamba AFCON miaka ya nyuma

Tujikumbushe wachezaji waliotamba AFCON miaka ya nyuma

Nafatilia Afcon ya mwaka huu inayofanyika Gabon, nimegundua Michuano imepoteza mvuto, haina msisimko kama zamani, viwanja ni vitupu, hakuna vikundi vya ushangiliaji kama ngoma nk ambao ni utamaduni wetu Afrika.

Leo hii Cameroon haina hata mchezaji staa anayejulikana, wengi wao wamekataa kuja kucheza michuano hii. Tofauti na zamani wachezaji walijitolea kuja kupambana kwa ajili ya mataifa yao, kama ni mpira ulipigwa mwingi sana tofauti na leo.

Tukumbushane timu na baadhi ya wachezaji waliosumbua Afcon za miaka ya nyuma kiasi cha kufanya michuano inoge sana.

Mimi naanza na hawa, Steven Appiah wa Ghana, Sunday Oliseh, Patrick Mboma, Sibosiso Zuma, Mohamed Aboutrika, Wael Gomaa, Amr Zaki, Khalilu Fadiga wa Senegal
3102053
default.jpg
stephen-appiah.jpg
Nafatilia Afcon ya mwaka huu inayofanyika Gabon, nimegundua Michuano imepoteza mvuto, haina msisimko kama zamani, viwanja ni vitupu, hakuna vikundi vya ushangiliaji kama ngoma nk ambao ni utamaduni wetu Afrika.

Leo hii Cameroon haina hata mchezaji staa anayejulikana, wengi wao wamekataa kuja kucheza michuano hii. Tofauti na zamani wachezaji walijitolea kuja kupambana kwa ajili ya mataifa yao, kama ni mpira ulipigwa mwingi sana tofauti na leo.

Tukumbushane timu na baadhi ya wachezaji waliosumbua Afcon za miaka ya nyuma kiasi cha kufanya michuano inoge sana.

Mimi naanza na hawa, Steven Appiah wa Ghana, Sunday Oliseh, Patrick Mboma, Sibosiso Zuma, Mohamed Aboutrika, Wael Gomaa, Amr Zaki, Khalilu Fadiga wa Senegal
3102053
default.jpg
stephen-appiah.jpg
Nafatilia Afcon ya mwaka huu inayofanyika Gabon, nimegundua Michuano imepoteza mvuto, haina msisimko kama zamani, viwanja ni vitupu, hakuna vikundi vya ushangiliaji kama ngoma nk ambao ni utamaduni wetu Afrika.

Leo hii Cameroon haina hata mchezaji staa anayejulikana, wengi wao wamekataa kuja kucheza michuano hii. Tofauti na zamani wachezaji walijitolea kuja kupambana kwa ajili ya mataifa yao, kama ni mpira ulipigwa mwingi sana tofauti na leo.

Tukumbushane timu na baadhi ya wachezaji waliosumbua Afcon za miaka ya nyuma kiasi cha kufanya michuano inoge sana.

Mimi naanza na hawa, Steven Appiah wa Ghana, Sunday Oliseh, Patrick Mboma, Sibosiso Zuma, Mohamed Aboutrika, Wael Gomaa, Amr Zaki, Khalilu Fadiga wa Senegal
3102053
default.jpg
stephen-appiah.jpg
Mi namkumbuka Junior Agogo alipewa mke. Sijui kama alibeba.
 
Rogermila na Makanaki, wa Cameroon.... Bila Ya Kumsahau Abed Pele Wa Ghana.... Na Mmoja Ambaye Alifika Hata Tanzania Mbele Ya Aliy Hassan Mwinyi Akiitwa Bolizozo..
 
Henry camara, sibosuso zuma, Denis Oliechi
 
Kelvin mutale umenikumbusha mbali alikuwa bwana mdogo tu miaka 19 ndio katoka kupiga hat trick ndio janga hilo la Gabon likatokea . Charles musonda alikuwa ubelgiji na ikawa ataungana na wenzie huko huko ndio ponea yake pia kulikuwa na mchezaji jina limenitoka alikuwa kambini kabisa na uhakika wa safari alikuwa nao ikatokea akastua ankle basi ikabidi abaki ndio pona yake . Hapo hujanitajia mtu mmoja wa kuitwa moses chikwalakwala na webby chikabala hiyo kk eleven ilikuwa moto
Peter Mwanza ndiyo aliumia siku moja kabla hawajaondoka na ndipo akaitwa Whiteson Changwe kuziba nafasi yake!Peter Mwanza nilionana nae Kyela mwezi wa 6 mwaka jana akaniambia ile ajali imemfanya hadi leo asilale vyema sababu aliwasindikiza wenzake yy anachechemea hadi Airport
Wengine walio poteza maisha siku ile ni pamoja na:
kipa namba mbili Richard Mwanza
Timotheo Mwitwa
Wisdom Mumba Chansa
Samuel Chomba
Mosses Masuwa
Kenan Simambe
Godfrey Kangwa
Winter Mumba
Patrick Banda
Makocha ni pamoja na Godfrey Chitalu"Ulcar"na msaidizi wake Alex Chola
Zambia hawaji kupata team kama hii!
 
Peter Mwanza ndiyo aliumia siku moja kabla hawajaondoka na ndipo akaitwa Whiteson Changwe kuziba nafasi yake!Peter Mwanza nilionana nae Kyela mwezi wa 6 mwaka jana akaniambia ile ajali imemfanya hadi leo asilale vyema sababu aliwasindikiza wenzake yy anachechemea hadi Airport
Wengine walio poteza maisha siku ile ni pamoja na:
kipa namba mbili Richard Mwanza
Timotheo Mwitwa
Wisdom Mumba Chansa
Samuel Chomba
Mosses Masuwa
Kenan Simambe
Godfrey Kangwa
Winter Mumba
Patrick Banda
Makocha ni pamoja na Godfrey Chitalu"Ulcar"na msaidizi wake Alex Chola
Zambia hawaji kupata team kama hii!
Huyu chitalu wazambia wanakwambia alifunga magoli mengi msimu mmoja wanashangaa rekodi kuvunja Messi . Yaah mwanza ndio aliumia na penye mahojiano alisema anaona kama nae amekufa haamini
 
Rogermila na Makanaki, wa Cameroon.... Bila Ya Kumsahau Abed Pele Wa Ghana.... Na Mmoja Ambaye Alifika Hata Tanzania Mbele Ya Aliy Hassan Mwinyi Akiitwa Bolizozo..
Wewe una utani na Simba Sc, kumtaja Bolizozo saa hizi si bure, itakuwa umetumwa
 
Huu uzi ni mzuri sana, umenipatia wasaa wa kukumbuka mashujaa waliosahaulika katika soka.

Kuna fundi mwingine wa kuitwa Mohamed Barakat, jamani acheni nyie jamaa alikuwa anasakata kabumbu la uhakika sana.

Pia kuna akina, Finidi George, Mutiu Adepoju, Sunday Oliseh, Rashid Yekini, Raymond Kalla, Salif Diao, Fadiga, Papa Bouba Diop nk
Papa B Diop hata Zidane na Henry wanajua vizuri. Aliwanyoa France kipindi hicho wako katka chati kabisa
 
Peter Mwanza ndiyo aliumia siku moja kabla hawajaondoka na ndipo akaitwa Whiteson Changwe kuziba nafasi yake!Peter Mwanza nilionana nae Kyela mwezi wa 6 mwaka jana akaniambia ile ajali imemfanya hadi leo asilale vyema sababu aliwasindikiza wenzake yy anachechemea hadi Airport
Wengine walio poteza maisha siku ile ni pamoja na:
kipa namba mbili Richard Mwanza
Timotheo Mwitwa
Wisdom Mumba Chansa
Samuel Chomba
Mosses Masuwa
Kenan Simambe
Godfrey Kangwa
Winter Mumba
Patrick Banda
Makocha ni pamoja na Godfrey Chitalu"Ulcar"na msaidizi wake Alex Chola
Zambia hawaji kupata team kama hii!
Ongeza effort Chabala
Patrick "bomba " banda
John Soko
Eston mulenga
Kelvin "malaza "mutale
Robert watiekeni
Derby Makinka
 
Moja kati ya fainali za kihistoria katika michuano hii ilikuwa mwaka 1992 kati ya Ivory Coast na Ghana nchini Senegal.
Katika mechi hiyo Ivory Coast walishinda kwa penati 11-10, penati ya mwisho ya Ghana alipiga Tony Baffoe alikosa, Pele hakucheza alikuwa na adhabu ya kadi aliyopata kwenye nusu fainali na Nigeria.
Abeid Pele alichezea Ghana na Brazil zote kwa pamoja.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom