Tujikumbushe Wachezaji wanaotoka mkoa wa Kigoma

Tujikumbushe Wachezaji wanaotoka mkoa wa Kigoma

Nasikia Sunday Manara alikuwa balaa sana enzi zake,
Ndio aliitwa Computer wakati Tanzania zilikuwa azijafika kipindi hicho, wengi walikuwa wanajua computer ni kifaa cha mahesabu (calculator) ndio wakampa jina ilo kwa mahesabu yake uwanjani
 
Baada ya kuwaona baadhi ya wachwzaji wanaotoka katika mkoa wa Mwanza hasa Wasukuma leo tujikumbushe wachezaji waliotokea mkoa wa Kigoma ambao kabila kuu ni Waha na Wamanyema, naanza na wafuatao
1. Edibily Lunyamila
2. Seleman Matola
3. Wilfred Kidau
4. Alphonce Modest
5. Said Sued "Scud"
6. Nteze John
7......


Hii 7 ni Ally Kiba. Mbeba maji ya wachezaji Na. 21 ni Diamond.
 
Back
Top Bottom