Tujikumbushe Wasukuma waliowahi kucheza soka

Tujikumbushe Wasukuma waliowahi kucheza soka

ahha hhaa jamaa alikuwa noma,inaonekana timu yake ilipoenda kucheza na Kagera sugar alikuwa na mwanamke huko anapiga mzigo,timu ikienda Moro kukipiga na Moro utd pia alikuwa anachachua kidogo, akiwa Mwanza anapiga pia,akienda Songea kucheza na Majimaji pia anagegeda kidogo,mwisho wa siku watoto 11,lkn saa nyingine kuwa na watoto wengi huwa raha sana
Wacheza mpira na wanamziki wa enzi hizio ndo ilikuwa tabia japo siyo wote
 
inamankusweke

Huu sasa ubishi tu!

Unajua George Magere Masatu, Hussein Marsha, Deo Mkuki, Msonga Rashidi na wenzao watatu walitokea Coop United (Mabingwa wa Mwanza mwaka 1988/89 na kuimarisha TP Lindanda (Pamba FC)?

Uache ubishi usio na tija kwa taifa. Uliza vizuri nikupe historia ya George Magere Masatu na wakali wengine waliokuwa wanatuburudisha miaka hiyo. Sio unavyokurupuka hovyo hovyo.
 
inamankusweke

Huu sasa ubishi tu!

Unajua George Magere Masatu, Hussein Marsha, Deo Mkuki, Msonga Rashidi na wenzao watatu walitokea Coop United (Mabingwa wa Mwanza mwaka 1988/89 na kuimarisha TP Lindanda (Pamba FC)?

Uache ubishi usio na tija kwa taifa. Uliza vizuri nikupe historia ya George Magere Masatu na wakali wengine waliokuwa wanatuburudisha miaka hiyo. Sio unavyokurupuka hovyo hovyo.
Wakitokea coop united hawezi kuwa msukuma!!?..hebu nieleweshe
 
Back
Top Bottom