Tujikumbushe Wasukuma waliowahi kucheza soka

Mmoja kati ya wachezaji bora kabisa kutokea dereva huyo wa garimoshi enzi hizo kukiwa na mashindano ya mikoa (sunlight )yakifanyikia uwanja wa ilala (karume )walitwaa kombe hilo miaka mitatu mfululizo akiwa na juma mrisho nae alikuwa mwamba waqt mmoja wamekwenda uganda kucheza kombe la Gossage (challenge cup )mkewe a kajifungua huko basi alipotumiwa ujumbe atoe jina akatoa jina la mashindano (Gossage )kijana akakuwa na jina hilo la Gossage mrisho.
 
Paulo John Masanja ni muongeaji/mcheshi sana. Ukikaa naye hutachoka kumsikiliza. Ni msimuliaji mzuri na ana stori nyingi...hasa za wanawake na vituko vya wachezaji na michezo; mambo ya ulozi kwenye soka, vibweka vya wachezaji, ushamba wa wachezaji, na kadhalika. Kifupi ni mtu mzuri, anayecheka na kila mtu na anayependa utani.
Alicheza Young African (Yanga) na timu ya taifa kwa mafanikio kiasi chake. Kama wachezaji wengine wa zama za giza la soka Tanzania hana mafanikio kihiivyo. Ni Msukuma na anaishi Shinyanga. Kwasasa ni kondata katika mabasi ya Mohamed Trans.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…