King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Halaf kipindi hiki kiliendeshwa na mwanamama mmoja mwenye sauti ya malezi kwa watoto sijui alikua anaitwa nani? Alikua akisimulia hadithi za kuvutia, alikua akianza na maneno, "PAUKWA..., hapo zamani za kale palikua na..."[/QU hadi machozi yanlenga lenga kwa kunikumbusha yazamani. Akhsante
na vijijini oh ni kiswahili chatumika.."...swahili lugha ya taifaaa ya taifaa..
Na visiwani oohh swahili lughaa ya taifa..
..swahili luughaaa.."
huu wimbo ulikua wasindikiza kipindi flani murua sana...
mbona una msahau Ezekiel Malongo
kwenye kipind cha michezo 1:30 jion kama sikosei
komboraaaaaa!hiki kilikua kipindi cha alfajiri kikiwa na miziki kabambe,kikifuatiwa na taarifa ya habari na kisha kipindi cha majira!
Namkumbuka sana Ahmed Jongo, Ben Kiko, Malima Ndelema, Richard Leo, Salim Mbonde, et al. By that time RTD ilivutia sana.
Kwa upande wa vipindi nilipenda sana Chaguo la msikilizaji j3 hadi ij sa8 mchana, mama na mwana j1 sa9 alasiri, Salaam za wagonjwa j2 sa4 asubuhi, Igizo la Twende na wakati wakiwemo kina Kidawa j4 sa3 usiku.
Mchezo wa radio wenye maadili ya kutosha saa 2:30 usiku kama sikosei hivi!
TWENDE NA WAKATI mixer ka mdundo fulani hivi nduuu! nduuuu! nduuu!
nilikuwa skai mbali na radio ya mkuliwa
NATIONAL!
Kumbe nawe ulikuwepo enzi za cheichei shangazi studio akiwemo mwanamama ELISIA ISABURA. Aisee kitambo sana.
Mnaikumbuka 'mikingamo', 'club raha leo show' pia mchezo wa kuigiza wa kiinua mgongo ukichezwa na mzee jangala kikidhaminiwa na dar brew watengenezaji wa pombe safi kibuku (enzi hizo lkn)
Ok ok barabaraaaa kabisa!! Ni mimi hapa Mswima Ernest.